OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
tofauti yao ni kwamba Gwaji yupo nyuma ya watu wazito kwenye chama na dolaHii freedom of speech mbona haipo kwa wapinzani
Tuoneshe tusi hapo...Nchi ya ajabu sana, rais anatukanwa wazi wazi lakini kwa kuwa anayefanya hivyo ni askofu inachukuliwa poa tu lakini angekuwa sheikh au muislam tu tayari tungesikia kapewa kesi ya ugaidi au kapotea kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haaaaah! AmmmahView attachment 1893260
Umeuliza swali zuri sana,ingekuwa mpinzani huyu angekuwa tayari yupo lock up,kuna double standards sanaHii freedom of speech mbona haipo kwa wapinzani
"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi. Inapofika mahali pa kuilinda Tanzania dhidi ya majanga, simuogopi mtu yeyote, siogopo kitu chochote hatuchanjwi"
Askofu Josephat Gwajima akizungumza kanisani kwake leo.!
My Take
Hii imevuka mipaka. Lakini mambo haya hayatokei bahati mbaya. Samia Suluhu umemuonea sana Mh.Mbowe acha upigwe tu mpaka utie akili.
Kitendo cha kuikashifu serikali kila kukicha kwa maamuzi yake maana yake ni kumkashifu kiongozi wake,kwani asiyetaka kuchanjwa ni yeye tu mbona hatusikii hizo kelele kutoka kwa wengine? Ana lake jambo huyo mbwa.Tuoneshe tusi hapo.
Tuliza makalio mimi sijamtaja huyo mbowe wako,bwege we.Tuoneshe tusi hapo...
Halafu Mbowe aliyepewa kesi ya ugaidi ni Muislam?
Umenifanya nisome upya hapo juu. Wapi rais katukanwa?Nchi ya ajabu sana, rais anatukanwa wazi wazi lakini kwa kuwa anayefanya hivyo ni askofu inachukuliwa poa tu lakini angekuwa sheikh au muislam tu tayari tungesikia kapewa kesi ya ugaidi au kapotea kabisa.
hii nchi ni kama hatuna amir jesh mkuu tuna sanamu tu
dharau zimezidi sasa