Lakini angekuwa askofu wa kweli asingekubali ubunge uliopatikana kwa dhulmaAskofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Dhulma kivipi wakati kura zilipigwa na mshindi akapatikana?Lakini angekuwa askofu wa kweli asingekubali ubunge uliopatikana kwa dhulma
Kwanza Askofu Gwajima siyo mganga njaa!Huo ndiyo uanamume. Hautingishwi kwa sababu ya kutetea ugali. Utaupata kwingine tu.
Anyway, bungeni ataruhusiwa. Ila yeye na Polepole wanafukuzwa chamani.
Wiki hii ya kesho haitoisha.
Utakuwa ni msukumaDhulma kivipi wakati kura zilipigwa na mshindi akapatikana?
Ni mrombo!Utakuwa ni msukuma
Hakuchaguliwa na wana Kawe.Tuanzie hapoAskofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Unaonaeee...eti askofu!!!Lakini angekuwa askofu wa kweli asingekubali ubunge uliopatikana kwa dhulma
Bila kujali aclichokisema Gwajima, kulazimisha wabunge ni useng* mkubwa sana! Baadaye watumishi wote watalazimishwa, baadaye wananchi watafungiwa milango ya ofisi za serikali maana hakuna faida ya kuchanja wakati wanaokuzunguka hawakuchanja.Askofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Hii debate kuhusiana na hii chanjo mimi hata siielewi. Hii chanjo ni ya hiari, kwani kuna mtu kamlazimisha Askofu kuchanja? Au chanji imeshabadilika tena na kuwa ni ya lazima? Kama si lazima, hii debate ni ya nini?Askofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Ndugu bwana ndugai katoa kauli vikao vya bunge vikianza kila mbunge awe amechanjwa.so asiechanjwa katishia kumvua ubunge.Hii debate kuhusiana na hii chanjo mimi hata siielewi. Hii chanjo ni ya hiari, kwani kuna mtu kamlazimisha Askofu kuchanja? Au chanji imeshabadilika tena na kuwa ni ya lazima? Kama si lazima, hii debate ni ya nini?
Binafsi hii inayoitwa chanjo si chanjo Ni ALAMA tu, yaan Kama vile ukienda supa market kununua bidhaa kila bidhaa ina barcord(Kama neno nmelipatia)Askofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Sasa yeye Askofu anafuata kauli ya nani, ya Mama (au ya Serikali), au ya Spika? Swala hili ukiliangalia kisheria, lina advantage kubwa kwake kwa sababu Serikali imeshasema ni hiari kwa hiyo kitu kingine tofauti na tamko la Serikali ni batili na anao uwezo wa kwenda mahakamani kudai haki yake na uwezekano wa kushinda ni mkubwa ikiwa ni pamoja na fidia.Ndugu bwana ndugai katoa kauli vikao vya bunge vikianza kila mbunge awe amechanjwa.so asiechanjwa katishia kumvua ubunge.
Ama tuseme mbunge asiechanjwa hatoweza hudhuria vikao.na ukishindwa hudhuria vikao kwa mda Fulani basi utavuliwa ubunge.
Ndo mana gwajima kajibu hivi
Aondoke tu kwani yeye ni nani?? Ucha kuwapumbaza watuAskofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Spika katoa kauli kama kitisho.ndo mana nae anamjibu.Sasa yeye Askofu anafuata kauli ya nani, ya Mama (au ya Serikali), au ya Spika? Swala hili ukiliangalia kisheria, lina advantage kubwa kwake kwa sababu Serikali imeshasema ni hiari kwa hiyo kitu kingine tofauti na tamko la Serikali ni batili na anao uwezo wa kwenda mahakamani kudai haki yake na uwezekano wa kushinda ni mkubwa ikiwa ni pamoja na fidia.
Wewe hujawa ndondocha kwasababu ni hiariIngekuwa hiari wasingefuata uchawi Nigeria kuja kuwageuza kuwa mandondocha.