#COVID19 Askofu Gwajima: Bunge linaanza kesho, sitachanja hata kama itanilazimu kupoteza Ubunge nitarudi nyumbani

#COVID19 Askofu Gwajima: Bunge linaanza kesho, sitachanja hata kama itanilazimu kupoteza Ubunge nitarudi nyumbani

Askofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona

Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake

"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Hakuhitaji kuyasema haya kama ni kweli amesema hivyo maana si ilishatangazwa ya kuwa Chanjo ni Hiyari !!
 
Askofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona

Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake

"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Rubbish Gwajiboy, hukuchaguliwa na Yeyote. Wa kumshukuru Ni Mwendazake kwa kukupa Ubunge wa dhuruma kwa Halima Mdee.
 
Askofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona

Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake

"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Keshaona maji ya shingo huyo na anajua anafukuzwa Ndo mana anasema hayo!

Chanjo ni hiari na hata Bunge lilishasema sasa anaendeleza mjadala ili iweje??

Kaona kete ya ukabila aliyotegemea kumpandisha haina nguvu tena ndo ameamua Kuna na hizi hekaya zake za abunuasi.

Ameona Pia alitoa ahadi nyingi za uongo Kawe ambazo hawezi kuzitimiza so ni bora amwage mboga ili afukuzwe na kukosa ubunge! mara chuo cha uvuvi, mara kununua boti mara kuwapeleka wanakawe marekani kumbe fix tu
 
Sio dunia nzima,baadhi tu ndio waliochanja,Marekani mpk wanakupa dola 100,ili uchanjwe.
China , Urusi, Uganda, India , Rwanda, Uingereza na kwingine wametoa hela kuchanja watu?? Mbona watu wa chato ni wajinga kiasi icho?
 
Keshaona maji ya shingo huyo na anajua anafukuzwa Ndo mana anasema hayo!

Chanjo ni hiari na hata Bunge lilishasema sasa anaendeleza mjadala ili iweje??

Kaona kete ya ukabila aliyotegemea kumpandisha haina nguvu tena ndo ameamua Kuna na hizi hekaya zake za abunuasi.

Ameona Pia alitoa ahadi nyingi za uongo Kawe ambazo hawezi kuzitimiza so ni bora amwage mboga ili afukuzwe na kukosa ubunge! mara chuo cha uvuvi, mara kununua boti mara kuwapeleka wanakawe marekani kumbe fix tu
Hakuna mwanasiasa anayetimizaga ahadi!
 
Back
Top Bottom