Hakuhitaji kuyasema haya kama ni kweli amesema hivyo maana si ilishatangazwa ya kuwa Chanjo ni Hiyari !!Askofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Rubbish Gwajiboy, hukuchaguliwa na Yeyote. Wa kumshukuru Ni Mwendazake kwa kukupa Ubunge wa dhuruma kwa Halima Mdee.Askofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Huyu jamaa ni kukaza kweli kweli, kwa hiyo dunia nzima walochanja ni wajinga alafu yeye ndo mwerevu?
Kule alikuwa bendera fuata upepo kipindi cha lowasaGwajima alikuwaga Chadema!
Gwajima alikuwaga Chadema!
What? UnataniaWakazi wa Kawe!
Kulikuwa na ulazima gani kwenye ibada hiyo kutaja mambo ya chanjo?
Kiki zitamtoa manyoya
Huyu jamaa ni kukaza kweli kweli, kwa hiyo dunia nzima walochanja ni wajinga alafu yeye ndo mwerevu?
Angekuwa na nguvu angekufa?? Mfuate chato mzoga mwenzakoWawafukuze tu wananchi tumeshamuelewa hawa ndo wanamuenzi Magufuli kwa vitendo aliyesema Chanjo hazifai.
2025 tuna letu Jambo,ndo watajua nguvu ya JPM japo alipitiwa na Israel akamtwaa.
Sio dunia nzima,baadhi tu ndio waliochanja,Marekani mpk wanakupa dola 100,ili uchanjwe.Huyu jamaa ni kukaza kweli kweli, kwa hiyo dunia nzima walochanja ni wajinga alafu yeye ndo mwerevu?
Keshaona maji ya shingo huyo na anajua anafukuzwa Ndo mana anasema hayo!Askofu Gwajima amesema vikao vya kamati za bunge vinaanza kesho na yeye atakuwepo Dodoma lakini hatachanja chanjo ya Corona
Gwajima amesema ubunge ni kazi ya heshima na anawashukuru sana wana Kawe kwa kumchagua kuwa mbunge wao lakini kuchanja hapana hata kama itamlazimu kupoteza ubunge wake
"Nitarudi hapa nyumbani kuwatumikia' askofu Gwajima amewaambia waumini wa kanisa lake.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Lakini chadema wanaunga mkono chanjo!Gwajima alikuwaga Chadema!
China , Urusi, Uganda, India , Rwanda, Uingereza na kwingine wametoa hela kuchanja watu?? Mbona watu wa chato ni wajinga kiasi icho?Sio dunia nzima,baadhi tu ndio waliochanja,Marekani mpk wanakupa dola 100,ili uchanjwe.
Wafukuzwe uanachama kwa kukataa kuchanjwa?! Hicho kitakuwa chama, au kampuni ya watu fulani!Anyway, bungeni ataruhusiwa. Ila yeye na Polepole wanafukuzwa chamani.
Wiki hii ya kesho haitoisha.
Hakuna mwanasiasa anayetimizaga ahadi!Keshaona maji ya shingo huyo na anajua anafukuzwa Ndo mana anasema hayo!
Chanjo ni hiari na hata Bunge lilishasema sasa anaendeleza mjadala ili iweje??
Kaona kete ya ukabila aliyotegemea kumpandisha haina nguvu tena ndo ameamua Kuna na hizi hekaya zake za abunuasi.
Ameona Pia alitoa ahadi nyingi za uongo Kawe ambazo hawezi kuzitimiza so ni bora amwage mboga ili afukuzwe na kukosa ubunge! mara chuo cha uvuvi, mara kununua boti mara kuwapeleka wanakawe marekani kumbe fix tu
Nani kakwambia?Hakuna mwanasiasa anayetimizaga ahadi!