#COVID19 Askofu Gwajima Kaathiriwa na Filamu za Hollywood "Fiction movies" Pamoja na Mambo dhahania

#COVID19 Askofu Gwajima Kaathiriwa na Filamu za Hollywood "Fiction movies" Pamoja na Mambo dhahania

Hivi Kwa Teknolojia iliyopo Kwa akili yako unaamini kabisa maneno anayoongea Gwajima na watu wa Aina zake??

Mimi ni mtunzi wa stori, nafahamu mambo mengi anayopendelea kuyasema Gwajima yamejikita katika fictions Stories or movies ambazo wengi WA Watanzania hawazijui.

Gwajima Hana tofauti kubwa na ndugu yangu Mshana Jr kwenye mambo ya stori za kubuni tuu
Ujinga mkubwa kabisa, ni kushindwa kujibu hoja na kuanza kufokea watoa hoja, na wewe ni miongoni mwao, wewe ni zuzu, jibuni hoja za Gwajima siyo kukimbila kubwabwaja na habari za filam!!
 
GWAJIMA AMEATHIRIWA NA FILAMU ZA HOLLYWOOD "FICTION MOVIES" PAMOJA NA MAMBO DHAHANIA.

Na, Robert Heriel.

Gwajima anaonekana ni muumini mkubwa wa filamu za kimarekani "Hollywood", hasa zile fiction movies, adventure movies na Horror movies.
Ukimsikiliza Kwa umakini mkubwa Ndugu Gwajima utakuungana na Mimi kuwa, tayari anaathari mbaya ya Filamu hizo.
Mbali na athari za Filamu za Hollywood lakini pia AMEATHIRIWA na mambo DHAHANIA, mambo ya kusadikika, mambo ya kufikirika ambayo kimsingi hayawezekaniki.

Sio ajabu Gwajima, ukimsikia akijitapa kuwa yeye ananguvu mpaka za kufufua wafu, kurejesha misukule. Mtu yeyote wa namna hiyo AMEATHIRIWA kisaikolojia na Kiroho.

Ukikaa na watu Kama kina Gwajima sio ajabu kwenye Stori zao ukiwasikia wakisema wanaouwezo wa kupaa angani Kama Spiderman au Batman, wenyewe watakuambia wanaouwezo wa kuruka juu kupitia nguvu za Yule wamwitaye Yesu.

Gwajima Hana tofauti kubwa na wala unga "madawa ya kulevya", ambao mawazo Yao mengi ni Kama wapo ndotoni, sio ajabu wakajiona wapo Marekani ilhali kiuhalisia wapo Buza Kwa mpalange huko.

Gwajima na watu wote wa dizaini yake, sio ajabu akakupa kikombe cha chai ya Kahawa alafu akakuambia ukinywa utapona UKIMWI, au gonjwa lolote kubwa.

Kumuamini Gwajima au watu dizaini yake itakupasa uwe na akili na mtazamo Kama wake, aidha uwe imeathiriwa na Filamu za Hollywood au unapenda mambo dhahania ambayo ni fiksi tuu.

Gwajima ni Aina ya watu Kama kinjektile Ngwale, Mzee wa maji maji. Yaani Wazee wa fiksi fiksi tuu. Gwajima ni Aina Ile Ile ya watu Kama kina Kibwetere.

Kumsikiliza Gwajima labda iwe Kwa kujifurahisha, kujiburudisha, au Comedy tuu.

Ingawaje kuna wakati anaweza kuongea mambo ya msingi lakini mara nyingi akiongea mambo asiyo na utaalamu nayo hujikuta akipata athari za Filamu za Hollywood na mambo ya dhahania.

Juzi nilimsikiliza nikacheka Sana, yaani Gwajima anatafuta istilahi ya kitaalamu ngumu ngumu ambayo waumini wake hawaijui kisha huilezea kuipa nguvu hoja zake.

Jambo moja la hakika na ambalo Gwajima anaweza kujivunia ni uwezo wa kujieleza na kushawishi watu hasa WAVIVU WA KUFIKIRI,
Watu dizaini ya Gwajima wengi wao wamejaliwa Ushawishi na uwezo mkubwa wa kujieleza. Kwenye biashara Kama za Mtandaoni Kama Qnet,Aim Global, Rifaro na biashara za namna hiyo watu Kama Gwajima ni wamoto, yaani wakija kukushawishi ujue umekwisha.

Watu Kama Gwajima wanaposhikilia msimamo hasa kwenye ishu wasizo na utaalamu nazo, huwa na Agenda ZIFUATAZO

1. Kuvumisha jina lake.
Watu mashuhuri wa dizaini ya kina Gwajima, wakiona jina limepoa Kwa kitambo, hutafuta kitu cha kuinuka nacho.
Gwajima anajua baada ya kuwa opposite na Serikali na kuipinga basi lazima atakutwa na misuko suko ambayo itamuimarisha zaidi kuliko kumfifisha.
Gwajima hata akiwekwa ndani Leo hii, kwake ni faida. Maana lengo lake litakuwa limetimia.

2. Kurejesha Imani ya waumini wake.
Mbali na Gwajima kujitetea baada ya video ya ngono iliyovuja yenye Sura yake lakini bado waumini wengi Imani zao zilishuka. Baadhi yao waliacha hata kwenda kanisani kwake.
Hivyo Kitendo cha Gwajima kushikilia msimamo wake kuhusu Chanjo ya Corona kutarejesha Imani ya waliorudi nyuma na ikiwezekana kupata waumini wapya.

Zingatia, Watanzania wengi wameathiriwa na mambo dhahania zaidi kuliko halisia. Watu Kama Gwajima hupendwa zaidi kwenye jamii Kama ya kitanzania.

3. Kuitikisa SERIKALI.
Gwajima hakuwahi kwenda kinyume na serikali ya awamu ya tano licha ya kuwa na mapungufu mengi. Gwajima nilishawahi kumsikia wakati wa Kikwete akiishambulia serikali, lakini awamu ya tano hakuwahi kuthubutu kuleta vyokovyoko zake.

Kuingia Kwa Samia Suluhu, Gwajima kaanza tena kujifaraguza Kama mtu mwenye kusimamia ukweli(kile akionacho ni ukweli) Gwajima ningekuwa upande wake Kama angekuwa msema ukweli pasipo hofu wakati awamu ya tano, lakini ukimya wake kipindi kile na zaidi alikuwa akipongeza pekeake kunanipa mashaka.

Wapo Maaskofu Kama kina Mwingira, Kakobe, Mwamakula, Fredrick Shoo, na Yule wa Bukoba hawa walishajipambanua kuwa ni wasema ukweli ingawaje ukweli wao unaigusa tuu serikali ya CCM na mara nyingi hawakosoi Vyama pinzani. Hata hivyo nikitaka kuwatetea naweza sema kuwa, siku zote Mdogo anatetewa, na mkubwa ndiye anayelaumiwa.

Gwajima Hana tofauti na Wale wanaokupigia hesabu za kilimo cha Tikitiki wakati hawajawahi kulima tikiti, ni watu wa nadharia na mambo dhahania.

Gwajima hafai kwenye mambo Sirius kwani anaweza ingiza hadithi Kwa ishu halisi.

Gwajima ni Wale wanaokuambia hadithi za 666 sijui Freemason, vitu ambavyo Kwa lugha rahisi ni matokeo ya Utandawazi.

Vitu Kama Passport (Hati za kusafiria), Vitambulisho vya NIDA, Tin number, Kadi za Benk ni Teknolojia ya namna ya kupata Huduma tuu havina uhusiano wowote na mambo ya kiroho.
Hivyo sio ajabu miaka ijayo kadiri Teknolojia inavyokuwa hiyo 666 ikawa ni sehemu Teknolojia ya kumrahisishia kupata Huduma.

Kuliko kutembea na makarabrasha mengi kwenye mkoba, ni Bora upigwe chapa moja sehemu yoyote ya mwili kurahisisha upewaji wa Huduma mbalimbali.

Watu Kama kina Gwajima hupenda kutisha watu ili nafasi Yao nao iwepo.

Ndio maana wao kila kitu huweza kukitumia kutisha watu, sababu ni Ile ile, nayo ni ili nafasi Yao nayo ionekane, nao wazingatiwe.

Sio ajabu watu dizaini ya Gwajima, ukiwasikia wakizungumza ishu za kulogwa, sijui uchawi, sijui majini, yaani wao mambo Yao Kwa 90% huyachukulia kidhahania dhahania.

Wakati mambo dhahania kwenye maisha ya binadamu hayazidi hata Asilimia 10%.

Mwisho, Gwajima Hana makosa. Jamii bado ndiyo yenye makosa Kwa sababu IPO katika Giza la Ujinga.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Morogoro

Na kaswali kamoja tu ivi kwanini hamjibu hoja zake?
 
Unaweza kuta anaangalia na zile nyingine pia..
 
Hivi Kwa Teknolojia iliyopo Kwa akili yako unaamini kabisa maneno anayoongea Gwajima na watu wa Aina zake??

Mimi ni mtunzi wa stori, nafahamu mambo mengi anayopendelea kuyasema Gwajima yamejikita katika fictions Stories or movies ambazo wengi WA Watanzania hawazijui.

Gwajima Hana tofauti kubwa na ndugu yangu Mshana Jr kwenye mambo ya stori za kubuni tuu
Hahahaahaaaa...
Kwa hiyo wote ni wazee wa story za kubumba!!?.
 
GWAJIMA AMEATHIRIWA NA FILAMU ZA HOLLYWOOD "FICTION MOVIES" PAMOJA NA MAMBO DHAHANIA.

Na, Robert Heriel.

Gwajima anaonekana ni muumini mkubwa wa filamu za kimarekani "Hollywood", hasa zile fiction movies, adventure movies na Horror movies.
Ukimsikiliza Kwa umakini mkubwa Ndugu Gwajima utakuungana na Mimi kuwa, tayari anaathari mbaya ya Filamu hizo.
Mbali na athari za Filamu za Hollywood lakini pia AMEATHIRIWA na mambo DHAHANIA, mambo ya kusadikika, mambo ya kufikirika ambayo kimsingi hayawezekaniki.

Sio ajabu Gwajima, ukimsikia akijitapa kuwa yeye ananguvu mpaka za kufufua wafu, kurejesha misukule. Mtu yeyote wa namna hiyo AMEATHIRIWA kisaikolojia na Kiroho.

Ukikaa na watu Kama kina Gwajima sio ajabu kwenye Stori zao ukiwasikia wakisema wanaouwezo wa kupaa angani Kama Spiderman au Batman, wenyewe watakuambia wanaouwezo wa kuruka juu kupitia nguvu za Yule wamwitaye Yesu.

Gwajima Hana tofauti kubwa na wala unga "madawa ya kulevya", ambao mawazo Yao mengi ni Kama wapo ndotoni, sio ajabu wakajiona wapo Marekani ilhali kiuhalisia wapo Buza Kwa mpalange huko.

Gwajima na watu wote wa dizaini yake, sio ajabu akakupa kikombe cha chai ya Kahawa alafu akakuambia ukinywa utapona UKIMWI, au gonjwa lolote kubwa.

Kumuamini Gwajima au watu dizaini yake itakupasa uwe na akili na mtazamo Kama wake, aidha uwe imeathiriwa na Filamu za Hollywood au unapenda mambo dhahania ambayo ni fiksi tuu.

Gwajima ni Aina ya watu Kama kinjektile Ngwale, Mzee wa maji maji. Yaani Wazee wa fiksi fiksi tuu. Gwajima ni Aina Ile Ile ya watu Kama kina Kibwetere.

Kumsikiliza Gwajima labda iwe Kwa kujifurahisha, kujiburudisha, au Comedy tuu.

Ingawaje kuna wakati anaweza kuongea mambo ya msingi lakini mara nyingi akiongea mambo asiyo na utaalamu nayo hujikuta akipata athari za Filamu za Hollywood na mambo ya dhahania.

Juzi nilimsikiliza nikacheka Sana, yaani Gwajima anatafuta istilahi ya kitaalamu ngumu ngumu ambayo waumini wake hawaijui kisha huilezea kuipa nguvu hoja zake.

Jambo moja la hakika na ambalo Gwajima anaweza kujivunia ni uwezo wa kujieleza na kushawishi watu hasa WAVIVU WA KUFIKIRI,
Watu dizaini ya Gwajima wengi wao wamejaliwa Ushawishi na uwezo mkubwa wa kujieleza. Kwenye biashara Kama za Mtandaoni Kama Qnet,Aim Global, Rifaro na biashara za namna hiyo watu Kama Gwajima ni wamoto, yaani wakija kukushawishi ujue umekwisha.

Watu Kama Gwajima wanaposhikilia msimamo hasa kwenye ishu wasizo na utaalamu nazo, huwa na Agenda ZIFUATAZO

1. Kuvumisha jina lake.
Watu mashuhuri wa dizaini ya kina Gwajima, wakiona jina limepoa Kwa kitambo, hutafuta kitu cha kuinuka nacho.
Gwajima anajua baada ya kuwa opposite na Serikali na kuipinga basi lazima atakutwa na misuko suko ambayo itamuimarisha zaidi kuliko kumfifisha.
Gwajima hata akiwekwa ndani Leo hii, kwake ni faida. Maana lengo lake litakuwa limetimia.

2. Kurejesha Imani ya waumini wake.
Mbali na Gwajima kujitetea baada ya video ya ngono iliyovuja yenye Sura yake lakini bado waumini wengi Imani zao zilishuka. Baadhi yao waliacha hata kwenda kanisani kwake.
Hivyo Kitendo cha Gwajima kushikilia msimamo wake kuhusu Chanjo ya Corona kutarejesha Imani ya waliorudi nyuma na ikiwezekana kupata waumini wapya.

Zingatia, Watanzania wengi wameathiriwa na mambo dhahania zaidi kuliko halisia. Watu Kama Gwajima hupendwa zaidi kwenye jamii Kama ya kitanzania.

3. Kuitikisa SERIKALI.
Gwajima hakuwahi kwenda kinyume na serikali ya awamu ya tano licha ya kuwa na mapungufu mengi. Gwajima nilishawahi kumsikia wakati wa Kikwete akiishambulia serikali, lakini awamu ya tano hakuwahi kuthubutu kuleta vyokovyoko zake.

Kuingia Kwa Samia Suluhu, Gwajima kaanza tena kujifaraguza Kama mtu mwenye kusimamia ukweli(kile akionacho ni ukweli) Gwajima ningekuwa upande wake Kama angekuwa msema ukweli pasipo hofu wakati awamu ya tano, lakini ukimya wake kipindi kile na zaidi alikuwa akipongeza pekeake kunanipa mashaka.

Wapo Maaskofu Kama kina Mwingira, Kakobe, Mwamakula, Fredrick Shoo, na Yule wa Bukoba hawa walishajipambanua kuwa ni wasema ukweli ingawaje ukweli wao unaigusa tuu serikali ya CCM na mara nyingi hawakosoi Vyama pinzani. Hata hivyo nikitaka kuwatetea naweza sema kuwa, siku zote Mdogo anatetewa, na mkubwa ndiye anayelaumiwa.

Gwajima Hana tofauti na Wale wanaokupigia hesabu za kilimo cha Tikitiki wakati hawajawahi kulima tikiti, ni watu wa nadharia na mambo dhahania.

Gwajima hafai kwenye mambo Sirius kwani anaweza ingiza hadithi Kwa ishu halisi.

Gwajima ni Wale wanaokuambia hadithi za 666 sijui Freemason, vitu ambavyo Kwa lugha rahisi ni matokeo ya Utandawazi.

Vitu Kama Passport (Hati za kusafiria), Vitambulisho vya NIDA, Tin number, Kadi za Benk ni Teknolojia ya namna ya kupata Huduma tuu havina uhusiano wowote na mambo ya kiroho.
Hivyo sio ajabu miaka ijayo kadiri Teknolojia inavyokuwa hiyo 666 ikawa ni sehemu Teknolojia ya kumrahisishia kupata Huduma.

Kuliko kutembea na makarabrasha mengi kwenye mkoba, ni Bora upigwe chapa moja sehemu yoyote ya mwili kurahisisha upewaji wa Huduma mbalimbali.

Watu Kama kina Gwajima hupenda kutisha watu ili nafasi Yao nao iwepo.

Ndio maana wao kila kitu huweza kukitumia kutisha watu, sababu ni Ile ile, nayo ni ili nafasi Yao nayo ionekane, nao wazingatiwe.

Sio ajabu watu dizaini ya Gwajima, ukiwasikia wakizungumza ishu za kulogwa, sijui uchawi, sijui majini, yaani wao mambo Yao Kwa 90% huyachukulia kidhahania dhahania.

Wakati mambo dhahania kwenye maisha ya binadamu hayazidi hata Asilimia 10%.

Mwisho, Gwajima Hana makosa. Jamii bado ndiyo yenye makosa Kwa sababu IPO katika Giza la Ujinga.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Morogoro
No, Gwajima yuko sahihi 100%
 
😃😃😃😃
Umeandika ukweli kabisa. Gwajima kuna mambo mengi anajigamba nayo kanisani kwake kwenye mahubiri lakini mtu mwenye akili huwezi kuamini hata kidogo.

Eti anasema vaccine za covid zimewekwa chip! Kwa mtu asiyejua chip ni nini anaweza kuamini. Hebu tujiulize. Hizo chip zinawekwa ngapi kwenye chupa moja? (chupa moja inaweza kutumika na zaidi ya mtu mmoja).

Na wakiweka chip zaidi ya moja watajuaje kila chip itaenda kwa mtu mmoja tu na si zote ziingie kwenye mwili wa mtu mmoja? Na zikingia kwenye mzunguko wa damu hazitoki? Zitakaa wapi?

Yaani tuhuma zake za kijinga hazileti sense hata kidogo lakini kwa bahati mbaya sana utasikia baadhi ya wabongo wakikomaa eti mbona ''hoja'' zake hazijibiwi
 
Umeandika ukweli kabisa. Gwajima kuna mambo mengi anajigamba nayo kanisani kwake kwenye mahubiri lakini mtu mwenye akili huwezi kuamini hata kidogo.

Eti anasema vaccine za covid zimewekwa chip! Kwa mtu asiyejua chip ni nini anaweza kuamini. Hebu tujiulize. Hizo chip zinawekwa ngapi kwenye chupa moja? (chupa moja inaweza kutumika na zaidi ya mtu mmoja).

Na wakiweka chip zaidi ya moja watajuaje kila chip itaenda kwa mtu mmoja tu na si zote ziingie kwenye mwili wa mtu mmoja? Na zikingia kwenye mzunguko wa damu hazitoki? Zitakaa wapi?

Yaani tuhuma zake za kijinga hazileti sense hata kidogo lakini kwa bahati mbaya sana utasikia baadhi ya wabongo wakikomaa eti mbona ''hoja'' zake hazijibiwi
We sema tu unatetea ugali huna lolote. Hao wazungu wanaosambaza clip za madhara ya hiyo chanjo kuhusu kutumika kwa nano technology unawazungumziaje au nao ni mafala na mbona wao huko kwao ambako ndo kitovu cha hiyo biashara hatujasikia wakikamatwa.

Bwana dalali ebu tupeleke polepole
 
Hao walikuwa wanalinda vitumbua vyao visiingie mchanga
Kwa nini na sasa hivi tusiamini wanalinda ugali wao pia? Waziri wa Afya miezi michache nyuma alikuwa anakula mitishamba na alidefy science. Leo bila aibu wala kuomba radhi ameshupaza shingo na chanjo. She cannot be trusted.
 
We sema tu unatetea ugali huna lolote. Hao wazungu wanaosambaza clip za madhara ya hiyo chanjo kuhusu kutumika kwa nano technology unawazungumziaje au nao ni mafala na mbona wao huko kwao ambako ndo kitovu cha hiyo biashara hatujasikia wakikamatwa.

Bwana dalali ebu tupeleke polepole
Dalali wa nini mimi? Mimi ni mwakilishi wa viwanda vya chanjo? Hivi unajua hata hizi chanjo za watoto kuna watu wanazipinga kila sehemu? Hivi unajua UKIMWI kuna watu Marekani wanahubiri kuwa haupo? Wewe jambo likipingwa na ''wazungu'' ndiyo linakuwa ukweli. Umekaririshwa ''nano technology'' sidhani hata kama unajua maana yake. Nikikuambia uelezee sana sana utatumia maelezo ya Gwajima the porn star ambayo nayo ni upotoshaji wa hali ya juu.
 
Wanasayansi kama wanaakili kama zako, nao kumbe ni mazuzu tu!!

Ni mjinga tu anayeona hoja za Gwajima siyo hoja!


Gwajima hana hoja isipokuwa anapaswa apewe ushauri wa kisaikolojia kuwa aachane na kuangalia Sana fiction movies

Zinamuathiri Kwa kweli
 
Kwa nini na sasa hivi tusiamini wanalinda ugali wao pia? Waziri wa Afya miezi michache nyuma alikuwa anakula mitishamba na alidefy science. Leo bila aibu wala kuomba radhi ameshupaza shingo na chanjo. She cannot be trusted.


Kwani Chanjo imeletwa lini Boss??
 
Sawa tu
Mwili wangu
Maamuzi yangu
Yanini kuumizana na masindano hata wanao chanja haawaelei nini wanachanja


Sasa Kama mtu hujawahi kupande Ndege na huna mpango wa kwenda nchi za mbali unafikiri hili la Chanjo linakuhusu Mkuu?

Binafsi siiogopi hiyo Chanjo, yaani niogope kisa nimemsikia muangalia Filamu za kizombi akinitisha 😃😃😃
 
Ujinga mkubwa kabisa, ni kushindwa kujibu hoja na kuanza kufokea watoa hoja, na wewe ni miongoni mwao, wewe ni zuzu, jibuni hoja za Gwajima siyo kukimbila kubwabwaja na habari za filam!!

Yaani mtu atoe hoja Kwa mtu anayetoa Porojo za movies.
Unazingua ujue
 
Back
Top Bottom