Askofu Gwajima: Kamati ya Bunge imenifanya nionekane kama Jitu baya na Korofi, sasa hili ndio lililojiri kikaoni

Askofu Gwajima: Kamati ya Bunge imenifanya nionekane kama Jitu baya na Korofi, sasa hili ndio lililojiri kikaoni

Askofu Gwajima yuko mubashara Rudisha Online tv anatoa ufsfanuzi na kujibu yale yaliyosemwa na kamati e maadili ya bunge.

Updates;

Niliitwa na kamati ya maadili ya bunge na kunihoji yale niliyohubiri Kanisani nami nikawaambia wao hawana mandate ya kuhoji kile kilichotokea Kanisani ambapo niliongea kwa uwezo wa Roho mtakatifu.

Pili, nimeijulisha kamati ya bunge kwamba sisi Kanisa la ufufuo na uzima hatutachanja iwe leo au kesho

Tatu, nimewajulisha kwamba hakuna mtu wa kunizuia na kwamba mtu huyo bado hajazaliwa.

Sasa askofu Gwajima anaelezea umuhimu wa Royal tour inayofanywa na Rais Samia.
Huyu adabu yake ni akamtwe na achanjwe kwa lazima, tuone kama ataleta tena ngebe
 
Matayo 7:22-23👇👇👇
22 Siku ile itakapofika wengi wataniambia, ‘Bwana, Bwana, hatukutoa unabii na kufukuza pepo kwa jina lako; na kufanya miujiza mingi ya ajabu kwa jina lako?’23 Ndipo nitawaambia wazi, ‘Sikuwafahamu kamwe. Ondokeni kwangu ninyi watenda maovu!’
 
Hahaha, Twanga kabisa hao, mimi ningekua polisi ningekuwa navunja viuno kabisa, especially ningekukamata wewe na mashairi yako

Uwanja huu ndiyo wenu sisi hautuhusu endeleeni nao wenyewe
 
Askofu Gwajima yuko mubashara Rudisha Online tv anatoa ufsfanuzi na kujibu yale yaliyosemwa na kamati e maadili ya bunge.

Updates;

Niliitwa na kamati ya maadili ya bunge na kunihoji yale niliyohubiri Kanisani nami nikawaambia wao hawana mandate ya kuhoji kile kilichotokea Kanisani ambapo niliongea kwa uwezo wa Roho mtakatifu.

Pili, nimeijulisha kamati ya bunge kwamba sisi Kanisa la ufufuo na uzima hatutachanja iwe leo au kesho

Tatu, nimewajulisha kwamba hakuna mtu wa kunizuia na kwamba mtu huyo bado hajazaliwa.

Sasa askofu Gwajima anaelezea umuhimu wa Royal tour inayofanywa na Rais Samia.

Mwisho askofu Gwajima amefanya maombi rasmi kwa Rais Samia, makamu wa Rais Dr Mpango na Jaji mkuu Prof Juma
Tofauti na ibada nyingine leo askofu Gwajima hajamuombea Spika Ndugai, Naibu spika Dr Tulia wala muhimili wa bunge.

Mwimbo ulioongoza ibada ni " Msalaba mbele dunia nyuma"
Hawezi kumuombea mtu aliye karibu na " Mume wa Maria "
 
Wa kumzuia bado hajazaliwa!! Serikali hata kama ni ndogo, usicheze na dola, bora uhame kwenye hiyo dola. Hata kwenye maandiko yanatilia mkazo namna ya kuitii dola.
 
Back
Top Bottom