Askofu Gwajima kaufyata?

Askofu Gwajima kaufyata?

Mambo yanakwenda kwa Kasi sana!

Miezi miwili iliyjopita Baba Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima(sijui upi) alikuwa gumzo kitokana naKupinga chanjo ya Corona.

Kabla ya hapo pia alikuwa ni Kama anapinga uwepo wa Corona na jitihada zote zilizokuwa zikifanywa ,kwa kuwaaminisha Waumini wake kuwa Hilo Mungu alilimalia au atalimaliza bila Sayansi.

Cha ajabu baada ya kibano alichopewa na Bunge ,Askofu Gwajima amepoa saana!
Tatizo ni Nini ...amelegea au kalegezwa.

Tulitegemea hata haya yanayoitwa Matrilioni ya IMF kuhsu Korona ayasuse.

Ndio maana kwenye Siasa unaambiwa ...UWE NA AKIBA YA MANENO.

Askofu Gwajima upo!?

Unaweza kusema kuwa KAUFYATA au WAMEUFYATA WAO iwapo Mch. Gwajima AMECHANJA au HAJACHANJA chanjo ya UVIKO - 19...

JIBU NI:

1. Bishop Rev. Josephat Gwajima hajachanja, yupo tist na msimamo wake na mjadala huo ameshaufunga...

2. CCM ya wahafidhina ilikuwa na movement ya kumfukuza na kumfuta uanachama. Tuwaulize wao, WAMEUFYATA au WANAENDELEA...?

Nadhani jibu ni: CCM WAMEUFYATA KWA MCH. GWAJIMA...!!
 
Mambo yanakwenda kwa Kasi sana!

Miezi miwili iliyjopita Baba Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima(sijui upi) alikuwa gumzo kitokana naKupinga chanjo ya Corona.

Kabla ya hapo pia alikuwa ni Kama anapinga uwepo wa Corona na jitihada zote zilizokuwa zikifanywa ,kwa kuwaaminisha Waumini wake kuwa Hilo Mungu alilimalia au atalimaliza bila Sayansi.

Cha ajabu baada ya kibano alichopewa na Bunge ,Askofu Gwajima amepoa saana!
Tatizo ni Nini ...amelegea au kalegezwa.

Tulitegemea hata haya yanayoitwa Matrilioni ya IMF kuhsu Korona ayasuse.

Ndio maana kwenye Siasa unaambiwa ...UWE NA AKIBA YA MANENO.

Askofu Gwajima upo!?
Watanzania nan aliyeturoga?
Yawezekanaa unafrahia sana battle za gwajima.
Huyo umaarufu hajaupata ccm wala kwenye ubunge na wala hawezi kuupoteza huko.
 
Wewe unaoma hiyo korona kuna mtu anahangaika nayo? Best hayo yote unayoyaona yanafavywa na serkali ili wapate hela hawana la maana lolote! Wanahamasisha uvaaji barakoa na chanjo ili waomekane na watoa misaada hamana kingine hapo!

unacho kiongea ni ukweli kabisa best,
sema basi tuu, fact zakupinga c19 ndo tunakosa..
 
Baba yake ni Mrundi, si raia.
Kwa nini Mrundi asiwe raia? Unaamuaje kama mtu ni Mrundi?
 
Ameufyata baada ya ule mkwara mzito wa mzee wa Upako.
Huwa hana kawaida ya kuto kujibu mashambulizi, lakini lile konde kutoka kwa mzee wa Upako lilimfanya atulize mbongo.
 
Hakuna ww ni mchonganishi hupendi kuona amani ikitawala
Mkuu wanasiasa ni public figure,Kama walivo Maaskofu ,ni lazima tujue mien3ndo yao!
Mara zote alikuwa anarusha clip tujiandae na makombora ,Leo ametulia tumsimuulizie!
Kama unampenda Sana ...Mkono wa Baunsa,acha wenzio tumfuatilie Public Figure wetu!
Tunauliza Tena ...hiki kimyaa Cha Gwajima kulikoni ...kaufyata?!?!
 
Uzuri ni moja hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anayekubali chanjo kifala fala. Kila mtu anaangalia hali yake. Ukikubali rukhsa na uendelee hadi booster ya sita. Mimi nachubiri nione Rais SSH anapiga booster ya pili na tatu then ya nne. Akipiga booster ya nne nitajua kweli dawa imeingia.
Tatizo la TZ ni ujuaji, sasa na wewe unajiona una akili timamu kisa tu umevaa kigauni chako, shanga, na pedi. Dadangu tumia akili yako kwa usahihi, Corona imeua wengi sana.
 
Mambo yanakwenda kwa Kasi sana!

Miezi miwili iliyjopita Baba Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima(sijui upi) alikuwa gumzo kitokana naKupinga chanjo ya Corona.

Kabla ya hapo pia alikuwa ni Kama anapinga uwepo wa Corona na jitihada zote zilizokuwa zikifanywa ,kwa kuwaaminisha Waumini wake kuwa Hilo Mungu alilimalia au atalimaliza bila Sayansi.

Cha ajabu baada ya kibano alichopewa na Bunge ,Askofu Gwajima amepoa saana!
Tatizo ni Nini ...amelegea au kalegezwa.

Tulitegemea hata haya yanayoitwa Matrilioni ya IMF kuhsu Korona ayasuse.

Ndio maana kwenye Siasa unaambiwa ...UWE NA AKIBA YA MANENO.

Askofu Gwajima upo!?
Ukitaka kujua nguvu ya Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge muulize Kaka Paskali. Na yeye aliishawahi kwenda huko.
 
kuna watu wakikwambia achaa na ukaendelea we ni mwanaume na huna maisha marefu......
 
Kwa nini Mrundi asiwe raia? Unaamuaje kama mtu ni Mrundi?
Soma sheria za Uhamiaji uelimike.
Na mikoa ya Geita, Kigoma ni sehemu zenye wahamiaji haramu wengi toka Burundi.
Kuwa Mtanzania lazima sheria na tarstibu zifuatwe, na kama Kasheku hajaujana ubin wa baba yaje na kujiandikisha rasmi Uhamiaji basi ana matatizo.
 
Back
Top Bottom