Yani Gwaji Boy ndio kazibua mitaro!GWAJIMA KAZI KAZI
Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Dkt Josephat Gwajima (MNEC) Leo amemaliza kilio Cha wakazi wa Msasani Mtaa wa Bonde la Mpunga Kwa kuzibua mitaro yote na kuiongezea urefu na kujenga mifumo mizuri ya kupokea maji ili kuepuka Mafuriko wakati wa Mvua.
Move nzuri wakati dp world imepamba moto!GWAJIMA KAZI KAZI
Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Dkt Josephat Gwajima (MNEC) Leo amemaliza kilio Cha wakazi wa Msasani Mtaa wa Bonde la Mpunga Kwa kuzibua mitaro yote na kuiongezea urefu na kujenga mifumo mizuri ya kupokea maji ili kuepuka Mafuriko wakati wa Mvua.
Wapeleke vifaa. Dunia ya sasa nani anataka kuotesha sugu mikononi wakati teknolojia imeturahisishia?
Anadai yuko mbioni kumfufua yule mwovu wa chatoHivi siku hizi kapiga chini kanisa lake au bado yupo anafufua mara chache chache??
Nireteeni gwajima, nireteeni gwajimaaa nireteeeeni gwaaaajimaaaaaaBora akae kwa kutulia. 2025 hayumo
Kama ndivyo aache kazi ya uaskofu na ubunge tumuajiri kweye hiyo maana ameifanya kwa ufanisi kwa muda mfupiGWAJIMA KAZI KAZI
Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Dkt Josephat Gwajima (MNEC) Leo amemaliza kilio Cha wakazi wa Msasani Mtaa wa Bonde la Mpunga Kwa kuzibua mitaro yote na kuiongezea urefu na kujenga mifumo mizuri ya kupokea maji ili kuepuka Mafuriko wakati wa Mvua.
View attachment 2665077
Gwajima is bad news!GWAJIMA KAZI KAZI
Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Dkt Josephat Gwajima (MNEC) Leo amemaliza kilio Cha wakazi wa Msasani Mtaa wa Bonde la Mpunga Kwa kuzibua mitaro yote na kuiongezea urefu na kujenga mifumo mizuri ya kupokea maji ili kuepuka Mafuriko wakati wa Mvua.
View attachment 2665077