Askofu Gwajima KAZI KAZI jimboni Kawe

Askofu Gwajima KAZI KAZI jimboni Kawe

GWAJIMA KAZI KAZI

Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Dkt Josephat Gwajima (MNEC) Leo amemaliza kilio Cha wakazi wa Msasani Mtaa wa Bonde la Mpunga Kwa kuzibua mitaro yote na kuiongezea urefu na kujenga mifumo mizuri ya kupokea maji ili kuepuka Mafuriko wakati wa Mvua.

View attachment 2665077
Huyu mbunge wetu HAFAI.
Abaki kuwa mjumbe wa propaganda katika chama.
Miaka inaenda barabara hatuzioni.
Arudi kwenye kazi ya kuwaongopea waumini wake.
 
GWAJIMA KAZI KAZI

Mbunge wa Jimbo la Kawe Askofu Dkt Josephat Gwajima (MNEC) Leo amemaliza kilio Cha wakazi wa Msasani Mtaa wa Bonde la Mpunga Kwa kuzibua mitaro yote na kuiongezea urefu na kujenga mifumo mizuri ya kupokea maji ili kuepuka Mafuriko wakati wa Mvua.

View attachment 2665077
Hili ni jembe kazi, tunakamilisha taratibu za kufanya awe mbunge wetu wa milele jimbo la Kawe
P
 
Back
Top Bottom