Tetesi: Askofu Gwajima kutembelea gereza la Ukonga na kuwaombea Wafungwa na Mahabusu. Halima Mdee na Esther Bulaya watakuwepo pia!

Tetesi: Askofu Gwajima kutembelea gereza la Ukonga na kuwaombea Wafungwa na Mahabusu. Halima Mdee na Esther Bulaya watakuwepo pia!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwa maana tumepewa mtoto wa mwanamme na uweza wa kifalme utakuwa juu yake naye ataitwa jina lake Emmanuel.

Leo inategemewa askofu Gwajima na viongozi wengine wa dini watatembelea gereza la Ukonga na kufanya maombi na Mahabusu na Wafungwa.

Wapendwa katika Bwana Halima James Mdee na Esther Bulaya wanatajwa kuwemo katika msafara huo.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
 
Kwa maana tumepewa mtoto wa mwanamme na uweza wa kifalme utakuwa juu yake naye ataitwa jina lake Emmanuel.

Leo inategemewa askofu Gwajima na viongozi wengine wa dini watatembelea gereza la Ukonga na kufanya maombi na Mahabusu na Wafungwa.

Wapendwa katika Bwana Halima James Mdee na Esther Bulaya wanatajwa kuwemo katika msafara huo.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Msalimieni bwana yule anayeitwa Gaidi
 
Kwa maana tumepewa mtoto wa mwanamme na uweza wa kifalme utakuwa juu yake naye ataitwa jina lake Emmanuel.

Leo inategemewa askofu Gwajima na viongozi wengine wa dini watatembelea gereza la Ukonga na kufanya maombi na Mahabusu na Wafungwa.

Wapendwa katika Bwana Halima James Mdee na Esther Bulaya wanatajwa kuwemo katika msafara huo.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!


"... askofu Gwajima na viongozi wengine wa dini watatembelea gereza la Ukonga.."

Halima na mwenzi wake nafasi za uongozi kidini, ni kama zile za kina Kingai na wenzake, yaani wasiojulikana?
 
Back
Top Bottom