ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Labda 'Roho mtakavitu'.Wanakwenda kiroho zaidi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda 'Roho mtakavitu'.Wanakwenda kiroho zaidi!
STATEMENT au SWALI?Wewe unamjua Mume au boy friend wa Mzee Halima Mdee !.
STATEMENT au SWALI?
Hana tofauti na huyu hapa aliyewatia kiberiti waumini wake kisha akatokomea kusikojulikana hadi leo hiiAnakwenda kuomba ili milango ya gereza ifunguke kama ile ya Paulo na Sila
Jamani huyu jamaa ni tapeli , siku ya kiyama huyu atakuwa kuni [emoji1787]
Kuongezea tu alikuwa na majumba,magari na ndege,na PhD kabla hajawaza Mbunge.Gwajima ni askofu kabla hajawa mbunge.
Usisahau hilo bwashee!
Update bwashe? Weka picha za Ukonga pia.Kwa maana tumepewa mtoto wa mwanamme na uweza wa kifalme utakuwa juu yake naye ataitwa jina lake Emmanuel.
Leo inategemewa askofu Gwajima na viongozi wengine wa dini watatembelea gereza la Ukonga na kufanya maombi na Mahabusu na Wafungwa.
Wapendwa katika Bwana Halima James Mdee na Esther Bulaya wanatajwa kuwemo katika msafara huo.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!