Askofu Gwajima: Mbunge smart kuwahi kutokea katika Bunge la Tanzania

Yaani wewe unakuwa kama unavuta bangi? Hayo siyo mawazo ya mtu sober. Rais ni SSH

Huyo unayemtaja kurithiwa alifukiwa Chato mwezi Machi
 
Dalili za Mimba Changa hizi
 
Umechanganyikiwa na hujui hata unachotaka
 
Sawa ataenda kumlithi kaburini
 
Aliyekujaza iyo mimba alikosea, ilitakiwa akujaze mdomoni
 
gwajima ni smart kwa misukule siyo kwa wanaojitambua
 
gwajima ni smart kwa misukule siyo kwa wanaojitambua
Mkuu ni kweli Gwaji boy amejivhanganya sana kwenye vifusi vingi but naona wazi anaitendea haki nafasi yake bungeni...kila mchango anaotoa bungeni inaonyesha anachimba vitu
 
Bungeni nimeingia tu ili kuwasaidia watu, sio kupiga hayo mamilioni, huko nilishapita . Big up Gwajima
 
Ni bora Gwajima aliyesaidiwa kuibwa kura akawa mbunge kuliko yule tom boy Mdee aliyenunuliwa kihasara hasara
Hii imeonesha kuwa Kawe walikuwa na wrong mp in Mdee..
 
Gwajima yupo smart sana
 
Watu wa kawe tumepigwa[emoji16][emoji16]hakuna mbunge pale kuna ujinga ujinga tu
Taja sababu kwa nini unaamini kwamba umepigwa mkuu,haitoshi kusema tu kwamba umepigwa,je kama chuki binafsi.
 
Gwajima ni msaka tonge asiye na lolote bali kujikomba. Anajua bunge lijalo atalisikia redioni.
Redioni RTD au TBC?? Siyo YouTube 😅 😂 Mtumishi wa Mungu ni zaidi ya mbunge, zaidi ya waziri, zaidi ya rais.
Nireteeeeeeeniiii Gwajiiiimmmmaaaa
Nimekumbuka ile sauti!

Everyday is Saturday................................😎
 
Hata Aogeshwe Baharini Gwajima ni Mchafu tu
 
Hahahaha ukiwa na akili mgando huwezi kuelewa, yeyusha ubongo wako kwanza uanze kuwaza kama mwenye akili timamu.
weee ndo pastor Max! Eti unajiita mchungaji sasa utasema nini nae ndo anakupa ugali?

Ukimpinga tu hauli utarudi ngudu kijijini.
 
😀 😀 😀 Hasa hawa nyumbu wa saccos, wao hawawezi tofautisha kati ya mbivu na mbichi.
Hasa wanaofanya uharifu wa taarifa ilikudanganya watu kwa lengo la kufuta mazuri ya Magufuli. Pumbavu kweli kweli. Angalia hapa namna chanjo inavyowafanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…