Askofu Gwajima: Mbunge smart kuwahi kutokea katika Bunge la Tanzania

Huyu askofu wa wajinga apuuzwe.
 
Watu wa kawe tumepigwa[emoji16][emoji16]hakuna mbunge pale kuna ujinga ujinga tu

Hivi hawa wanaomuita smart, brilliant sijui hajawahi kutokea ni watu wazima, au ? I think hawa ndo walipima mapapai na simblis na kukuta Corona !!
Dumbest....
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa ulichoandika Ni kweli, kwamba kawazidi wote waliowahi kuwa bungeni MIAKA yote hiyo kweli?
 
Ni mbunge wa kwanza kama sikosei kuwatetea UAMSHO, God bless him!
 

Utawezaje kumuita mtu smart ambae anaweza kufanya kosa la kizembe na la kitoto kwa kijirikodi akizini na sio hivyo bali kutoweza kuilinda clip hiyo isiingie mitandaoni?
 
eti ule mkono ulikuwa wa Baunsa.....!! ha ha ha
 
Huyo anayeongea asiyekijua, tapeli na mwizi wa kura asiye na haya. Acheni kuvamia hapa JF kuongea jambo msilokuwa na uhakika nalo
 
Mfufua misukule halafu hakumfufua mwendazake anashangaa tu!!! Yaani mi simuelewi huyu mtu!!!!
 
Nimetuma, mbona kimya?
Gwajima, man of the people, talks to the people and people understand him!
Mbwa bwekeni
We m∆t∆ko Gwajima unakuja na ID mpya kila siku humu JF kujisifia sifia tu, keng£ wewe huna lolote zaidi ya uzinifu na utapeli wa kivuli cha dini.
Wewe ni wakala mkuu wa shetani hapa Tz, umewashika wapumbavu na wajinga wachache unawaibia sadaka na kutembea na wake zao.

Ogopa wake za watu askofu rashidi mapenzi, kuna siku utapakwa KY mat∆kon upigwe dushee
 
Haramu itabaki kuwa haramu tu mbinguni na duniani.
Siasa za uchaguzi huwa hazifanywi Msikitini au Kanisani, kwa hiyo unayo yaona hapa duniani ni ya dunia na yataishia hapa hapa duniani.

Hata uchaguzi wa vyama vya siasa figisu zipo Itakuwa uchaguzi wa nchi ukishindana na wagombea kutoka vyama vingine?

Jitahidi kuzoea siasa za uchaguzi na hii ndio hali halisi. Hata uchaguzi wa viongozi wa Makanisani au Misikitini figusi zipo, unashangaa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…