mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Ila niliona andiko lake mgunduzi huhu wa chanjo ya mRNA akilalamika kuwa anasikitika kuwa madhara ya chanjo nii aliyoigundua hayazungumzwi kwa wazi na utafiti wa athari za chanjo hii za muda mrefu haujafanyika!! Kwa kifupi haungi mkono chanjo hii kutumika kwa watu wengi maana bado ipo kwenye majaribio.