Askofu Gwajima nani alikudanganya kuwa ni Mic na Kiti tu ndiyo vinaweza Kukuondoa Kimafia duniani?

Askofu Gwajima nani alikudanganya kuwa ni Mic na Kiti tu ndiyo vinaweza Kukuondoa Kimafia duniani?

MOD unawezaje kukubali uzi wa kuvunja haki za binadamu na katiba ya nchi ya Tanzania. Huyu Mightier anatoa maelezo ya vitisho sio tu kwa Mtanzania lakini pia kiongozi Mh mbunge Askofu Gwajima. Uzi huu tangu jana umeachwa.

Naanza kuwa na wasiwasi kuwa sasa JF imeanza kupromote watu wenye nia ovu ktk jamii. Zamani huyu angelipigwa ban na andiko lake kuondolewa..
Kama kuna sehemu ( mahala ) nimesema kuwa Askofu Gwajima atauliwa ( atauwawa ) na una uhakika napo tafadhali nionyeshe ili Hoja yako kwa MODS ikamilike sawa?

Halafu ni nani aliyekuambia kuwa neno kuondolewa Kimafia kumemaanisha kuwa ndiyo atauliwa? Hivi Mafia wao huwa ni Wauwaji tu pekee?

Unaelewa dhana pana ya neno Umafia hasa Kiuwasilishaji wake na nilivyolitumia hapa kufikisha Ujumbe?

Nakukumbusha tu sasa hivi Uzi wangu umefika Ukurasa wa 7 na nashukuru kuwa unachangiwa vyema tu na wenye Akili wengi wamenielewa ila umebaki Moron Wewe tu peke yako.

Mtafute Mtu akupe maana ya UMAFIA.
 
Achana naye huyo fala anajifanya ni mjuaji yani much know kumbe kenge mmoja hivi ,....watu type yake ukikutana naye bar wanajifanyaga usalama wataifa ,usalama gani wa taifa anayejitangaz ovyo!!
Kumbe Mightier alishawahi Kujutangaza hapa JamiiForums kuwa Yeye ni Usalama wa Taifa?

Kama ni kweli alijitangaza hivyo tafadhali wekeni Ushahidi upesi hapa ili akamatwe na TISS sawa?

Pumbavu...!!!
 
Kama kuna sehemu ( mahala ) nimesema kuwa Askofu Gwajima atauliwa ( atauwawa ) na una uhakika napo tafadhali nionyeshe ili Hoja yako kwa MODS ikamilike sawa?

Halafu ni nani aliyekuambia kuwa neno kuondolewa Kimafia kumemaanisha kuwa ndiyo atauliwa? Hivi Mafia wao huwa ni Wauwaji tu pekee?

Unaelewa dhana pana ya neno Umafia hasa Kiuwasilishaji wake na nilivyolitumia hapa kufikisha Ujumbe?

Nakukumbusha tu sasa hivi Uzi wangu umefika Ukurasa wa 7 na nashukuru kuwa unachangiwa vyema tu na wenye Akili wengi wamenielewa ila umebaki Moron Wewe tu peke yako.

Mtafute Mtu akupe maana ya UMAFIA.
Usijibaraguze umeandika na ushahidi huko wazi. Kwenye kichwa cha habari neno KUONDOKA kwa Mtanzania wa kawaida lina maana gani?. Ushahidi mwingine ndani ya uzi wako ni kama ifuatavyo:

Paragraph ya kwanza....."baada ya kutegwa kiutaalamu hatimaye kaingia mjengoni".

Paragraph ya pili.... maelezo yako ya nia ovu yako wazi.

Paragraph ya tatu....."unaweza kuondoka hata kwa salamu au saa au taa au mvuke au....
au kamera zinazokumulika".

Paragraph ya nne ...wenye kazi zao wameishamaliza. ....tunaanza kujiandaa na breaking news nchini.

Bado unajitetea pamoja na maandishi yenye nia ovu kwa kiongozi wa wananchi.

Bado namshangaa MOD kwa kuendelea kuweka uzi huu. Labda ana sababu anazijua mwenyewe. Angelikusaidia kwa kuondoa uzi hui na kukupigia BAN.

"
 
Katika Medani huwa kuna Kifurushi cha kukuondoa ndani ya Siku, Wiki, Mwezi, Miezi mitatu, Miezi 6, Mwaka Mmoja au hata Miaka Miwili hivyo inategemea ulichozawadiwa ni kipi ila Kuondoka ni lazima tu.
Walioamuru TAL amwagiwe magazine wako 6ft under .

Hakuna faida yoyote kikubwa haki
 
Usijibaraguze umeandika na ushahidi huko wazi. Kwenye kichwa cha habari neno KUONDOKA kwa Mtanzania wa kawaida lina maana gani?. Ushahidi mwingine ndani ya uzi wako ni kama ifuatavyo:

Paragraph ya kwanza....."baada ya kutegwa kiutaalamu hatimaye kaingia mjengoni".

Paragraph ya pili.... maelezo yako ya nia ovu yako wazi.

Paragraph ya tatu....."unaweza kuondoka hata kwa salamu au saa au taa au mvuke au....
au kamera zinazokumulika".

Paragraph ya nne ...wenye kazi zao wameishamaliza. ....tunaanza kujiandaa na breaking news nchini.

Bado unajitetea pamoja na maandishi yenye nia ovu kwa kiongozi wa wananchi.

Bado namshangaa MOD kwa kuendelea kuweka uzi huu. Labda ana sababu anazijua mwenyewe. Angelikusaidia kwa kuondoa uzi hui na kukupigia BAN.

"
Bahati nzuri tu ni kwamba MODS wa JamiiForums wana Akili sana na hawana Upumbavu wa Kurithishwa ulionao na ambao ndiyo unakutesa kama siyo Kukusumbua.
 
Kama kuna Mtu ambaye nilidhani ni Mjanja tena wa Kukwepa Mitego ya Kimafia kutoka Jengo Tai Tanzania (JTT) basi alikuwa ni Askofu Gwajima ila baada ya Kutegwa Kitaalamu hatimaye kaingia mwenyewe Mtegoni.

Askofu Gwajima ni Mpuuzi gani alikudanganya na ukamuamini kuwa kama Watu wa Jengo Tai Tanzania (JTT ) wakikutaka basi sehemu zao pekee za Kukukamatia ni katika Mic na Kiti pekee ambavyo ulivikataa kwa Maelekezo uliyopewa na uliodhani wako pamoja nawe kumbe ndiyo walikupeleka katika Mdomo wa Mamba Kiulaini?

Yaani Askofu Gwajima pamoja na Kujimwambafai (Kujitapa ) Kwako kote kule na Kutembea sana Ulaya na Marekani umeshindwa tu kujua kuwa Umafia wa Siku hizi umeshakuwa more advanced na kwamba unaweza Ukaondoka hata kwa Kalamu au Saa au Taa au Mvuke au Miale au Mkanda wa Kiunoni au Camera zinazokumulika?

Nimekudharau kuliko vile ambavyo unaweza kudhani japo hapo mwanzoni nilikuwa nakukubali. Kuna Kitu nilikiona ile Siku ya Kwanza ulivyokuwa Grilled na Kingine pia nimekiona Jana ambacho nasikitika pamoja na kujifanya Kwako Mtoto wa Mjini hukukishtukia ila wenye Kazi yao wameshamaliza Jukumu lao na sasa tunaanza kujiandaa kwa Breaking News nchini.

Mwenzako Slaa kachungulia na Kasepa!
genta aka popoma katika upopoma wako.
 
Si mlikuwa mnampa Jeuri na kumjaza Ujinga leo mbona mnaanza kumuonea Huruma? Ninachojua tu ni kwamba Mission Accomplished!!!
Acha kutafuta attention..

Gwajima alikua makini sana kiroho na kimwili.. NILIUONA UTIMILIFU WAKE TOKA NDANI YAKE..

PUNGUZA KUTIZAMA MOVIE, TANZANIA HII HATUJAFIKA HUKO... BADO TUKO MIAKA YA 1980 KATIKA KUMALIZANA, HATUJAFIKA KWENYE MATUMIZI YA KAMERA, HATUJAFIKA KWENYE HIZO PENI.. TUPO KWENYE PHYSICAL POISONING...

Itapita miaka miwili utasema alipewa kifurushi cha miaka kumi..

Roho wa Mungu ni AFISA UPELELEZI MKUBWA KULIKO MAAFISA VIPENYO WA TISS NA CIA AU KGB..
 
genta aka popoma katika upopoma wako.
Asante, ndiye huyo bwana.. mnyarwanda mmoja ambaye nimepata kuoneshwa ID's zake nyingi sana katika ulimwengu wa roho... NITAZILETA HAPA na hapo ndipo atajua kuwa ROHO MTAKATIFU NI ZAIDI YA AFISA UPELELEZI WA KIDUNIA TOKA KIGALI RWANDA.
 
Asante, ndiye huyo bwana.. mnyarwanda mmoja ambaye nimepata kuoneshwa ID's zake nyingi sana katika ulimwengu wa roho... NITAZILETA HAPA na hapo ndipo atajua kuwa ROHO MTAKATIFU NI ZAIDI YA AFISA UPELELEZI WA KIDUNIA TOKA KIGALI RWANDA.
huko aliko mda huu tayari kashashikwa na tumbo la kuhara lililosababishwa na uoga. alidhani hatajulikana.

kiherehere chake cha kujifanya mjuaji wa kuropoka asiyoyajua kitamtokea puani.
 
Kama kuna Mtu ambaye nilidhani ni Mjanja tena wa Kukwepa Mitego ya Kimafia kutoka Jengo Tai Tanzania (JTT) basi alikuwa ni Askofu Gwajima ila baada ya Kutegwa Kitaalamu hatimaye kaingia mwenyewe Mtegoni.

Askofu Gwajima ni Mpuuzi gani alikudanganya na ukamuamini kuwa kama Watu wa Jengo Tai Tanzania (JTT ) wakikutaka basi sehemu zao pekee za Kukukamatia ni katika Mic na Kiti pekee ambavyo ulivikataa kwa Maelekezo uliyopewa na uliodhani wako pamoja nawe kumbe ndiyo walikupeleka katika Mdomo wa Mamba Kiulaini?

Yaani Askofu Gwajima pamoja na Kujimwambafai (Kujitapa ) Kwako kote kule na Kutembea sana Ulaya na Marekani umeshindwa tu kujua kuwa Umafia wa Siku hizi umeshakuwa more advanced na kwamba unaweza Ukaondoka hata kwa Kalamu au Saa au Taa au Mvuke au Miale au Mkanda wa Kiunoni au Camera zinazokumulika?

Nimekudharau kuliko vile ambavyo unaweza kudhani japo hapo mwanzoni nilikuwa nakukubali. Kuna Kitu nilikiona ile Siku ya Kwanza ulivyokuwa Grilled na Kingine pia nimekiona Jana ambacho nasikitika pamoja na kujifanya Kwako Mtoto wa Mjini hukukishtukia ila wenye Kazi yao wameshamaliza Jukumu lao na sasa tunaanza kujiandaa kwa Breaking News nchini.

Mwenzako Slaa kachungulia na Kasepa!
Pumzika kwa Amani Mch.Mtikila..
 
Back
Top Bottom