Askofu Gwajima nani alikudanganya kuwa ni Mic na Kiti tu ndiyo vinaweza Kukuondoa Kimafia duniani?

Askofu Gwajima nani alikudanganya kuwa ni Mic na Kiti tu ndiyo vinaweza Kukuondoa Kimafia duniani?

ushawahi kusikia mtu anapona kitanzi au firing squad eti siku yake haijafika?
Kuna jamaa anaitwa Wenceslao Moguel huko Mexico alihukumiwa kifo , firing squad ilimchapa risasi 9 na ya mwisho wanasema ni ya kichwani bado hakufa😁
 
Kwani askofu kakukosea nini wewe personally? Hii chuki uliyonayo kwake inafaida gani? Kumbuka imeandikwa, "auwaye kwa upanga atauawa kwa upanga" usifurahie mabaya kwa wenzako kwa kufanya hivyo mabaya yatakuja kwako soon or later. Pole
 
Kama kuna Mtu ambaye nilidhani ni Mjanja tena wa Kukwepa Mitego ya Kimafia kutoka Jengo Tai Tanzania ( JTT ) basi alikuwa ni Askofu Gwajima ila baada ya Kutegwa Kitaalamu hatimaye kaingia mwenyewe Mtegoni.

Askofu Gwajima ni Mpuuzi gani alikudanganya na ukamuamini kuwa kama Watu wa Jengo Tai Tanzania ( JTT ) wakikutaka basi sehemu zao pekee za Kukukamatia ni katika Mic na Kiti pekee ambavyo ulivikataa kwa Maelekezo uliyopewa na uliodhani wako pamoja nawe kumbe ndiyo walikupeleka katika Mdomo wa Mamba Kiulaini?

Yaani Askofu Gwajima pamoja na Kujimwambafai ( Kujitapa ) Kwako kote kule na Kutenbea sana Ulaya na Marekani umeshondwa tu kujua kuwa Umafia wa Siku hizi umeshakuwa more advanced na kwamba unaweza Ukaondoka hata kwa Kalamu au Saa au Taa au Mvuke au Miale au Mkanda wa Kiunoni au Camera zinazokumulika?

Nimekudharau kuliko vile ambavyo unaweza kudhani japo hapo mwanzoni nilikuwa nakukubali. Kuna Kitu nilikiona ile Siku ya Kwanza ulivyokuwa Grilled na Kingine pia nimekiona Jana ambacho nasikitika pamoja na kujifanya Kwako Mtoto wa Mjini hukukishtukia ila wenye Kazi yao wameshamaliza Jukumu lao na sasa tunaanza kujiandaa kwa Breaking News nchini.

Mwenzako Slaa kachungulia na Kasepa!
Upuuzi mtupuuu...hujui chochote kaa utulie hiz kaz zinawenyewe
 
Even tissue akamuulize mwalimu huko siku wakikutana.

Watu wako tayari kuharibu maji ya kiwanda kwa ajili ya only one bottle nyingine zikapelekwa baharini.

Ngoja sasa tuone.
 
Umeshaona ID yangu ni Mightier halafu tena unaniuliza Mimi ni nani. Zinakutosha sawa sawa?

Faida ni Kumtia Adabu huyo Chizi Wenu.
Eti mightier...watz buana hakuna chchte gwaji boy ataendelea kukamua hadi kieleweke
 
Wanaopinga kuchanjwa ni wengi, na hawafuati maoni ya gwajboy, kaitwa mmoja tu anayejulikana hata kama akibadili maoni achanjwe wengi watabaki na misimamo yao kutokuchanjwa
 
Wanaopinga kuchanjwa ni wengi, na hawafuati maoni ya gwajboy, kaitwa mmoja tu anayejulikana hata kama akibadili maoni achanjwe wengi watabaki na misimamo yao kutokuchanjwa
 
Katika Medani huwa kuna Kifurushi cha kukuondoa ndani ya Siku, Wiki, Mwezi, Miezi mitatu, Miezi 6, Mwaka Mmoja au hata Miaka Miwili hivyo inategemea ulichozawadiwa ni kipi ila Kuondoka ni lazima tu.
Kifo kipo tu, na hakuna anayejua atakufa lini. Fikiria wale askari walienda kuchanjwa kabisa chanjo ya Corona ili waishi muda mrefu, wakakutana na Hamza, akawapiga risasi Wakafa!
 
kama usemacho ni kweli hao unaosema wamefanya unachosema basi pia wamefikia mwisho wa kufikiri maana matendo ya namna hiyo ya wazi ama kificho ikiwa nia ni kutia watu hofu hayana mwisho mzuri kwa nchi yeyote ni kweli watu huingiwa na hofu lakini hofu ikigeuzwa hasira ni kitu cha hatari sana. Ni muda wakufikiri namna yakupunguza watu wenye hasira na nchi yao ni muda wa kulileta taifa pamoja tukubali hatuwezi kukubaliana kila jambo na hatuwezi wote kuwa na imani au itikadi moja ya kisiasa dini NK ila tunaweza kuwa na taifa moja lenye watu wa kariba zote
Muongo huyo anajuwa nini
Kasema ā€œMwenzako Slaa kachungulia na Kasepa!ā€ Kile kiti alichokalia na maiki aliyotumia Ndo imemfanya kushindwa kufika kwenye kikao

Gwajima kasema kwenye zile chanjo kuna vitu vimewekwa. Kuna taarifa kuwa Japana wamesitisha kutoa Chanjo ya modern kuna vitu vimegundulika kwenye kwenye chupa ya Chanjo vinavyokadiliwa kufika milimita .
 
Kama kuna Mtu ambaye nilidhani ni Mjanja tena wa Kukwepa Mitego ya Kimafia kutoka Jengo Tai Tanzania ( JTT ) basi alikuwa ni Askofu Gwajima ila baada ya Kutegwa Kitaalamu hatimaye kaingia mwenyewe Mtegoni.

Askofu Gwajima ni Mpuuzi gani alikudanganya na ukamuamini kuwa kama Watu wa Jengo Tai Tanzania ( JTT ) wakikutaka basi sehemu zao pekee za Kukukamatia ni katika Mic na Kiti pekee ambavyo ulivikataa kwa Maelekezo uliyopewa na uliodhani wako pamoja nawe kumbe ndiyo walikupeleka katika Mdomo wa Mamba Kiulaini?

Yaani Askofu Gwajima pamoja na Kujimwambafai ( Kujitapa ) Kwako kote kule na Kutenbea sana Ulaya na Marekani umeshondwa tu kujua kuwa Umafia wa Siku hizi umeshakuwa more advanced na kwamba unaweza Ukaondoka hata kwa Kalamu au Saa au Taa au Mvuke au Miale au Mkanda wa Kiunoni au Camera zinazokumulika?

Nimekudharau kuliko vile ambavyo unaweza kudhani japo hapo mwanzoni nilikuwa nakukubali. Kuna Kitu nilikiona ile Siku ya Kwanza ulivyokuwa Grilled na Kingine pia nimekiona Jana ambacho nasikitika pamoja na kujifanya Kwako Mtoto wa Mjini hukukishtukia ila wenye Kazi yao wameshamaliza Jukumu lao na sasa tunaanza kujiandaa kwa Breaking News nchini.

Mwenzako Slaa kachungulia na Kasepa!

Hapo kwenye kukuondoa hata kwa camera zinazokumulika, kwa mazingira yale aliyokuwepo.. basi wazungu itabidi waje kuchukua hiyo teknolojia kwetu, maana nao hawana sheikh.
 
wewe ni kum@

wewe ni mpumbavu namba moja duniani

ni mjinga usiyejitambua

nakuahidi utakufa wewe kabla ya gwajima

unapokuja hivi hadharani kutamba kwamba mafia wameshamwekea sumu gwajima ya kumua kwa sababu anapinga chanjo ni udhaifu wa hali ya juu, hii inathibitisha kwamba madai ya gwajima ni sahihi ila kuna mipumbavu michache duniani inataka kulazimisha ajenda zao za chanjo kwa kuua watu wengine

wewe jiangalie sana inawezekana hata Magufuli unajua alikufa kwa mbinu ipi na nikuahidi tu utapatikana haijalishi upo wapi
Matusi yako haya hayajanitosha Askofu Jossphat Mathias Gwajima tafadhali niongezee mengine.

Ninachojua Kazi Kwako imeshamalizika.
 
Kama kuna Mtu ambaye nilidhani ni Mjanja tena wa Kukwepa Mitego ya Kimafia kutoka Jengo Tai Tanzania (JTT) basi alikuwa ni Askofu Gwajima ila baada ya Kutegwa Kitaalamu hatimaye kaingia mwenyewe Mtegoni.

Askofu Gwajima ni Mpuuzi gani alikudanganya na ukamuamini kuwa kama Watu wa Jengo Tai Tanzania (JTT ) wakikutaka basi sehemu zao pekee za Kukukamatia ni katika Mic na Kiti pekee ambavyo ulivikataa kwa Maelekezo uliyopewa na uliodhani wako pamoja nawe kumbe ndiyo walikupeleka katika Mdomo wa Mamba Kiulaini?

Yaani Askofu Gwajima pamoja na Kujimwambafai (Kujitapa ) Kwako kote kule na Kutembea sana Ulaya na Marekani umeshindwa tu kujua kuwa Umafia wa Siku hizi umeshakuwa more advanced na kwamba unaweza Ukaondoka hata kwa Kalamu au Saa au Taa au Mvuke au Miale au Mkanda wa Kiunoni au Camera zinazokumulika?

Nimekudharau kuliko vile ambavyo unaweza kudhani japo hapo mwanzoni nilikuwa nakukubali. Kuna Kitu nilikiona ile Siku ya Kwanza ulivyokuwa Grilled na Kingine pia nimekiona Jana ambacho nasikitika pamoja na kujifanya Kwako Mtoto wa Mjini hukukishtukia ila wenye Kazi yao wameshamaliza Jukumu lao na sasa tunaanza kujiandaa kwa Breaking News nchini.

Mwenzako Slaa kachungulia na Kasepa!

Tafuteni vingine hivyo kastuka
 
Kwani askofu kakukosea nini wewe personally? Hii chuki uliyonayo kwake inafaida gani? Kumbuka imeandikwa, "auwaye kwa upanga atauawa kwa upanga" usifurahie mabaya kwa wenzako kwa kufanya hivyo mabaya yatakuja kwako soon or later. Pole
Nimesema ataondoka na sijasema atauliwa.
 
Eti mightier...watz buana hakuna chchte gwaji boy ataendelea kukamua hadi kieleweke
Unaipenda sana hii Brand ID yangu ya Mightier Ndugu? Nikupe Wewe uitumie? Wengine ID's zetu tunaendana nazo.

Mimi ndiyo Mightier ( alias ) Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed na hakuna mwingine.
 
wao ndio wamejitege, kitendo cha kumpa publicity halafu kikamtokea kitu kibaya ni wazi kuwa watakuwa washukiwa wa kwanza
 
Back
Top Bottom