Askofu Gwajima nani alikudanganya kuwa ni Mic na Kiti tu ndiyo vinaweza Kukuondoa Kimafia duniani?

Askofu Gwajima nani alikudanganya kuwa ni Mic na Kiti tu ndiyo vinaweza Kukuondoa Kimafia duniani?

Anachopaswa kujua gwajima na hao unaowaita JJT ni kuwa kama siku zako zimefika hata ukwepe vipi utakufa tu

Na hao JJT kama siku za wanaye muwinda hazijafika hata wampige laser level (3x5000) bado mtu atatoka akiwa mzima kabisa.
Hakika mkuu
 
Katika Medani huwa kuna Kifurushi cha kukuondoa ndani ya Siku, Wiki, Mwezi, Miezi mitatu, Miezi 6, Mwaka Mmoja au hata Miaka Miwili hivyo inategemea ulichozawadiwa ni kipi ila Kuondoka ni lazima tu.
Huyu Gwajiboy ataondoka kwa changamoto ya upumuaji kama mwendazake. Yule mdudu wa 19 hatakagi mtu anayemletea madharau. Na wale jamaa wa Jengo la Tai wanaweza kumwambukiza hugo mdudu au kumtengenezea msiba unaofanana na msiba wa ugonjwa wa mdudu wa 19...

Ndipo waumini wake misukule watakapojua hawajui
 
Huna jipya....unapenda ushabiki tu....
Tafuta tiba mzee hayo ni mawenge
 
Kama kuna Mtu ambaye nilidhani ni Mjanja tena wa Kukwepa Mitego ya Kimafia kutoka Jengo Tai Tanzania ( JTT ) basi alikuwa ni Askofu Gwajima ila baada ya Kutegwa Kitaalamu hatimaye kaingia mwenyewe Mtegoni.

Askofu Gwajima ni Mpuuzi gani alikudanganya na ukamuamini kuwa kama Watu wa Jengo Tai Tanzania ( JTT ) wakikutaka basi sehemu zao pekee za Kukukamatia ni katika Mic na Kiti pekee ambavyo ulivikataa kwa Maelekezo uliyopewa na uliodhani wako pamoja nawe kumbe ndiyo walikupeleka katika Mdomo wa Mamba Kiulaini?

Yaani Askofu Gwajima pamoja na Kujimwambafai ( Kujitapa ) Kwako kote kule na Kutenbea sana Ulaya na Marekani umeshondwa tu kujua kuwa Umafia wa Siku hizi umeshakuwa more advanced na kwamba unaweza Ukaondoka hata kwa Kalamu au Saa au Taa au Mvuke au Miale au Mkanda wa Kiunoni au Camera zinazokumulika?

Nimekudharau kuliko vile ambavyo unaweza kudhani japo hapo mwanzoni nilikuwa nakukubali. Kuna Kitu nilikiona ile Siku ya Kwanza ulivyokuwa Grilled na Kingine pia nimekiona Jana ambacho nasikitika pamoja na kujifanya Kwako Mtoto wa Mjini hukukishtukia ila wenye Kazi yao wameshamaliza Jukumu lao na sasa tunaanza kujiandaa kwa Breaking News nchini.

Mwenzako Slaa kachungulia na Kasepa!
Alafu sialisema yeye HAOGOPI mtu wala kitu , mbona kaogopa kiti na Mic ? 😆😆😆😆 Maisha haya bana
 
Kama kuna Mtu ambaye nilidhani ni Mjanja tena wa Kukwepa Mitego ya Kimafia kutoka Jengo Tai Tanzania ( JTT ) basi alikuwa ni Askofu Gwajima ila baada ya Kutegwa Kitaalamu hatimaye kaingia mwenyewe Mtegoni.

Askofu Gwajima ni Mpuuzi gani alikudanganya na ukamuamini kuwa kama Watu wa Jengo Tai Tanzania ( JTT ) wakikutaka basi sehemu zao pekee za Kukukamatia ni katika Mic na Kiti pekee ambavyo ulivikataa kwa Maelekezo uliyopewa na uliodhani wako pamoja nawe kumbe ndiyo walikupeleka katika Mdomo wa Mamba Kiulaini?

Yaani Askofu Gwajima pamoja na Kujimwambafai ( Kujitapa ) Kwako kote kule na Kutenbea sana Ulaya na Marekani umeshondwa tu kujua kuwa Umafia wa Siku hizi umeshakuwa more advanced na kwamba unaweza Ukaondoka hata kwa Kalamu au Saa au Taa au Mvuke au Miale au Mkanda wa Kiunoni au Camera zinazokumulika?

Nimekudharau kuliko vile ambavyo unaweza kudhani japo hapo mwanzoni nilikuwa nakukubali. Kuna Kitu nilikiona ile Siku ya Kwanza ulivyokuwa Grilled na Kingine pia nimekiona Jana ambacho nasikitika pamoja na kujifanya Kwako Mtoto wa Mjini hukukishtukia ila wenye Kazi yao wameshamaliza Jukumu lao na sasa tunaanza kujiandaa kwa Breaking News nchini.

Mwenzako Slaa kachungulia na Kasepa!
hii nchi banaa!
yani gwajiboy kupinga chanjo n kitu kizito sanaa eeh

mbna tuko wengi tunaopinga na tumetulia tu

mwacheni gwajiboy apige neno la MUNGU
 
Wamechelewa sana kirusi cha Gwajiboi kishazagaa mtaani na vile vile anapokufa mgambo wanajeshi huzaliwa
 
Wamechelewa sana kirusi cha Gwajiboi kishazagaa mtaani na vile vile anapokufa mgambo wanajeshi huzaliwa
Mbona juzi alikuwa Mpole na mwenye Huruma mno tofauti na nyuma? Tatizo ni nini?

Kakumbuka shuka kukiwa Kumeshakucha. Kategwa patamu kweli kweli na kapaingia vile vile.
 
Kwa alichofanyiwa atawakuta Wachanjaji Udongoni.
mbna unaongea kwa uhakika sanaa ww

anyway kama una uhakika sana
ipo hivi kama gwajiboy ana MUNGU kweli
hakuna cha kumtokea apo

ila kama anaigiza basi then cjui ila

HACHANJWI MTU HAPAAAAAA
 
Gwajboy ni kama kirusi tu kinavyozaliana by means of multiplication, hata iwe deep state kumtowesha eti kwa kuwa anapingana na mipango inayopangwa ni shughuli pevu. Wenye fikra kama zake wako wengi ila hawana vyeo wala nyadhifa na hawajulikani. Deep state ni binadamu tu nao wana ukomo wa kufanya umafia wao
.... Nao ni binadamu tu kama binadamu wengine.

Tofauti ya hiyo deep state na hao ndege Tai ni ipi? Au ndio kitu kimoja ni majina tu tofauti?

Mightier
 
Back
Top Bottom