MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
- #41
Imeshaisha hiyo Ndugu. Subiria tu utaona.Tusubiri mavuno sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeshaisha hiyo Ndugu. Subiria tu utaona.Tusubiri mavuno sasa
Ukikumbuka nothing last forever, unajua hizi ni mbwembwe za duniani tu..unaua ila kuna siku utakufa pia, its all nonsense.Kama kuna Mtu ambaye nilidhani ni Mjanja tena wa Kukwepa Mitego ya Kimafia kutoka Jengo Tai Tanzania ( JTT ) basi alikuwa ni Askofu Gwajima ila baada ya Kutegwa Kitaalamu hatimaye kaingia mwenyewe Mtegoni.
Askofu Gwajima ni Mpuuzi gani alikudanganya na ukamuamini kuwa kama Watu wa Jengo Tai Tanzania ( JTT ) wakikutaka basi sehemu zao pekee za Kukukamatia ni katika Mic na Kiti pekee ambavyo ulivikataa kwa Maelekezo uliyopewa na uliodhani wako pamoja nawe kumbe ndiyo walikupeleka katika Mdomo wa Mamba Kiulaini?
Yaani Askofu Gwajima pamoja na Kujimwambafai ( Kujitapa ) Kwako kote kule na Kutenbea sana Ulaya na Marekani umeshondwa tu kujua kuwa Umafia wa Siku hizi umeshakuwa more advanced na kwamba unaweza Ukaondoka hata kwa Kalamu au Saa au Taa au Mvuke au Miale au Mkanda wa Kiunoni au Camera zinazokumulika?
Nimekudharau kuliko vile ambavyo unaweza kudhani japo hapo mwanzoni nilikuwa nakukubali. Kuna Kitu nilikiona ile Siku ya Kwanza ulivyokuwa Grilled na Kingine pia nimekiona Jana ambacho nasikitika pamoja na kujifanya Kwako Mtoto wa Mjini hukukishtukia ila wenye Kazi yao wameshamaliza Jukumu lao na sasa tunaanza kujiandaa kwa Breaking News nchini.
Mwenzako Slaa kachungulia na Kasepa!
Kwani si hata nilipokuwa wa Kwanza kusema hapa hapa JamiiForums ( tena kwa Kujiamini kabisa ) kuwa Haji Manara ni Kirusi ndani ya Simba SC na kwamba ni Yanga SC na wanamtumia mlinitukana na Kunidhihaki hivi hivi?kuna mmoja humu ka comment kuwa umeshiba viazi na magimbi
naoma n kweli
Kazi keshaimaliza kitambooo wamchukie tuMbona juzi alikuwa Mpole na mwenye Huruma mno tofauti na nyuma? Tatizo ni nini?
Kakumbuka shuka kukiwa Kumeshakucha. Kategwa patamu kweli kweli na kapaingia vile vile.
Kuna mahala popote pale nimesema kuwa Askofu Gwajima anaenda Kuuawa / Kuuwawa? Nionyeshe tafadhali...!!!Unavizia kumuua mwanadamu mwenzako kama njiwa.this is a Satan in human uniform
Mjuaji saaaana af kichwani holaKama kuna Mtu ambaye nilidhani ni Mjanja tena wa Kukwepa Mitego ya Kimafia kutoka Jengo Tai Tanzania ( JTT ) basi alikuwa ni Askofu Gwajima ila baada ya Kutegwa Kitaalamu hatimaye kaingia mwenyewe Mtegoni.
Askofu Gwajima ni Mpuuzi gani alikudanganya na ukamuamini kuwa kama Watu wa Jengo Tai Tanzania ( JTT ) wakikutaka basi sehemu zao pekee za Kukukamatia ni katika Mic na Kiti pekee ambavyo ulivikataa kwa Maelekezo uliyopewa na uliodhani wako pamoja nawe kumbe ndiyo walikupeleka katika Mdomo wa Mamba Kiulaini?
Yaani Askofu Gwajima pamoja na Kujimwambafai ( Kujitapa ) Kwako kote kule na Kutenbea sana Ulaya na Marekani umeshondwa tu kujua kuwa Umafia wa Siku hizi umeshakuwa more advanced na kwamba unaweza Ukaondoka hata kwa Kalamu au Saa au Taa au Mvuke au Miale au Mkanda wa Kiunoni au Camera zinazokumulika?
Nimekudharau kuliko vile ambavyo unaweza kudhani japo hapo mwanzoni nilikuwa nakukubali. Kuna Kitu nilikiona ile Siku ya Kwanza ulivyokuwa Grilled na Kingine pia nimekiona Jana ambacho nasikitika pamoja na kujifanya Kwako Mtoto wa Mjini hukukishtukia ila wenye Kazi yao wameshamaliza Jukumu lao na sasa tunaanza kujiandaa kwa Breaking News nchini.
Mwenzako Slaa kachungulia na Kasepa!
Mbona hata Wewe umekuja kwa mapovu kama yote ili nawe ukitaka kutuonyesha kuwa uko huko? Hopeless...!!!Mmeshaanza kujifanya watu wa system JF kila mtu anaijua system nje ndani
Nilimuona Mjanja kumbe ni Mpuuzi tu.Mjuaji saaaana af kichwani hola
Unauliza Shahawa Ukeni?Kwahiyo mleta mada ndio kusema Jima karuka kojo kakanyaga nyesi na kudondokea hapo.
Mimi nalima nguchiro weweMbona hata Wewe umekuja kwa mapovu kama yote ili nawe ukitaka kutuonyesha kuwa uko huko? Hopeless...!!!
Mimi nafuga Kenge Wewe..!!!Mimi nalima nguchiro wewe
Sio ukeni tu zinaweza hata kumwagwa makalioni kama ninavyoziona hapo zikiwa zimemwagwa kwenye mstari wako wa makalioUnauliza Shahawa Ukeni?
Endeleeni tu Kumponza ila hatoamini...!!Jumapili nitakuwa kiti cha mbele kabisa wanapokaa maUshers...kusikiliza namna baba Askofu atabyokuwa akisimulia kwa mbwembwe jinsi alivyopangua mitego ya adui...
🤭🤭🤭
Kubanduliwa mubashara.Mkuu tupe mbinu nyingine za kumalizana.
Ni kazi sawa na kazi zingine tu.Unavizia kumuua mwanadamu mwenzako kama njiwa.this is a Satan in human uniform