Askofu Gwajima nani alikudanganya kuwa ni Mic na Kiti tu ndiyo vinaweza Kukuondoa Kimafia duniani?

Askofu Gwajima nani alikudanganya kuwa ni Mic na Kiti tu ndiyo vinaweza Kukuondoa Kimafia duniani?

Si mlikuwa mnampa Jeuri na kumjaza Ujinga leo mbona mnaanza kumuonea Huruma? Ninachojua tu ni kwamba Mission Accomplished!!!
Kwanza si kila mtu anamuunga mkono na hata wasio muunga mkono sidhani kama wanataka afe hivi kama kila mtu anaye enda kinyume na matakwa ya kundi flani akiuwawa unadhani nani atabakia maana hata hao wanasiasa wanaenda kinyume na matakwa ya wanachi kila siku je wananchi nao waanze kuwawinda na kuwauwa ili kufikisha ujumbe wao ? si sawa kuja ku brag hapa kwa kitu kama hiki kwa hali halisi kama una high level security clearance na unakuja hapa kuropoka tayari umeharibu mission yote,haina faida zaidi ya kuthibitisha kuwa ni genge la wahalifu ..ila kinyume chake nakuona kama wewe ndi mfuasi wa gwajima una backbite kwa kuitoa siri kama whistleblower na kama ni si hivyo basi ni wazi nchi hii haina think tank ina sim tank zimejaa maji kichwani
 
Kama kuna Mtu ambaye nilidhani ni Mjanja tena wa Kukwepa Mitego ya Kimafia kutoka Jengo Tai Tanzania ( JTT ) basi alikuwa ni Askofu Gwajima ila baada ya Kutegwa Kitaalamu hatimaye kaingia mwenyewe Mtegoni.

Askofu Gwajima ni Mpuuzi gani alikudanganya na ukamuamini kuwa kama Watu wa Jengo Tai Tanzania ( JTT ) wakikutaka basi sehemu zao pekee za Kukukamatia ni katika Mic na Kiti pekee ambavyo ulivikataa kwa Maelekezo uliyopewa na uliodhani wako pamoja nawe kumbe ndiyo walikupeleka katika Mdomo wa Mamba Kiulaini?

Yaani Askofu Gwajima pamoja na Kujimwambafai ( Kujitapa ) Kwako kote kule na Kutenbea sana Ulaya na Marekani umeshondwa tu kujua kuwa Umafia wa Siku hizi umeshakuwa more advanced na kwamba unaweza Ukaondoka hata kwa Kalamu au Saa au Taa au Mvuke au Miale au Mkanda wa Kiunoni au Camera zinazokumulika?

Nimekudharau kuliko vile ambavyo unaweza kudhani japo hapo mwanzoni nilikuwa nakukubali. Kuna Kitu nilikiona ile Siku ya Kwanza ulivyokuwa Grilled na Kingine pia nimekiona Jana ambacho nasikitika pamoja na kujifanya Kwako Mtoto wa Mjini hukukishtukia ila wenye Kazi yao wameshamaliza Jukumu lao na sasa tunaanza kujiandaa kwa Breaking News nchini.

Mwenzako Slaa kachungulia na Kasepa!
Chanjo ni hiari, kupinga au kukubali ni hiari pia ...sasa hao mamafia uchwara wanataka nini kwa Gwajima? ....let say kumdhuru" kawakosea nini? ni kwa faida ya nani? ..ili iweje?

Na wewe keyboard mafia. .....Gwajima kakuzidi kila kitu hapa duniani, kumuona mpuuzi hakupunguzi ugumu wa maisha unayoyapitia sasa.



Sent from my SM-P605 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza si kila mtu anamuunga mkono na hata wasio muunga mkono sidhani kama wanataka afe hivi kama kila mtu anaye enda kinyume na matakwa ya kundi flani akiuwawa unadhani nani atabakia maana hata hao wanasiasa wanaenda kinyume na matakwa ya wanachi kila siku je wananchi nao waanze kuwawinda na kuwauwa ili kufikisha ujumbe wao ? si sawa kuja ku brag hapa kwa kitu kama hiki kwa hali halisi kama una high level security clearance na unakuja hapa kuropoka tayari umeharibu mission yote,haina faida zaidi ya kuthibitisha kuwa ni genge la wahalifu ..ila kinyume chake nakuona kama wewe ndi mfuasi wa gwajima una backbite kwa kuitoa siri kama whistleblower na kama ni si hivyo basi ni wazi nchi hii haina think tank ina sim tank zimejaa maji kichwani
Kuna mahala popote pale nimesema kuwa Askofu Gwajima anaenda Kuuawa / Kuuwawa? Nionyeshe tafadhali...!!!
 
Wala hili haliwezi kumtisha,
Kuna maisha baada ya kifo, na kwa hili amejiandaa vizuri pengine kuliko wewe.
Kwake yeye kuishi Ni Kristo kufa Ni faida. Vyovyote itakavyokuwa na huenda isiwe pia(maana hakuna mwenye maamuzi na maisha ya binadamu mwenzake isi
 
Chanjo ni hiari, kupinga au kukubali ni hiari pia ...sasa hao mamafia uchwara wanataka nini kwa Gwajima? ....let say kumdhuru" kawakosea nini? ni kwa faida ya nani? ..ili iweje?

Na wewe keyboard mafia. .....Gwajima kakuzidi kila kitu hapa duniani, kumuona mpuuzi hakupunguzi ugumu wa maisha unayoyapitia sasa.



Sent from my SM-P605 using JamiiForums mobile app
Kuna mahala popote pale nimesema kuwa Askofu Gwajima anaenda Kuuawa / Kuuwawa? Nionyeshe tafadhali...!!!
 
Wala hili haliwezi kumtisha,
Kuna maisha baada ya kifo, na kwa hili amejiandaa vizuri pengine kuliko wewe.
Kwake yeye kuishi Ni Kristo kufa Ni faida. Vyovyote itakavyokuwa na huenda isiwe pia(maana hakuna mwenye maamuzi na maisha ya binadamu mwenzake isi
Kuna mahala popote pale nimesema kuwa Askofu Gwajima anaenda Kuuawa / Kuuwawa? Nionyeshe tafadhali...!!!
 
Kuna mahala popote pale nimesema kuwa Askofu Gwajima anaenda Kuuawa / Kuuwawa? Nionyeshe tafadhali...!!!
Kuna sehemu nimeandika kuuwawa? .....naona umeamua kuukimbiza uzi, inawezekana pia huna cha kufanya KKB..

muda wa kutafuta hela huu, toka hapo barazani kwa shemeji, katafute hela.

Uwe na Siku njema.

Sent from my SM-P605 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mahala popote pale nimesema kuwa Askofu Gwajima anaenda Kuuawa / Kuuwawa? Nionyeshe tafadhali...!!!
mtu kundolewa kimafia duniani inamaanisha nini ? nisamehe kama nimeelewa hilo eneo vibaya
 
Wala hili haliwezi kumtisha,
Kuna maisha baada ya kifo, na kwa hili amejiandaa vizuri pengine kuliko wewe.
Kwake yeye kuishi Ni Kristo kufa Ni faida. Vyovyote itakavyokuwa na huenda isiwe pia(maana hakuna mwenye maamuzi na maisha ya binadamu mwenzake isipokuwa Mungu), bado Ni maamuzi yake Mungu.
Wala ujanja si kuishi duniani milele, ujanja Ni kuwa na uhakika wa maisha mbinguni.
Bwana awe nanyi...

Wala
 
Kwanza si kila mtu anamuunga mkono na hata wasio muunga mkono sidhani kama wanataka afe hivi kama kila mtu anaye enda kinyume na matakwa ya kundi flani akiuwawa unadhani nani atabakia maana hata hao wanasiasa wanaenda kinyume na matakwa ya wanachi kila siku je wananchi nao waanze kuwawinda na kuwauwa ili kufikisha ujumbe wao ? si sawa kuja ku brag hapa kwa kitu kama hiki kwa hali halisi kama una high level security clearance na unakuja hapa kuropoka tayari umeharibu mission yote,haina faida zaidi ya kuthibitisha kuwa ni genge la wahalifu ..ila kinyume chake nakuona kama wewe ndi mfuasi wa gwajima una backbite kwa kuitoa siri kama whistleblower na kama ni si hivyo basi ni wazi nchi hii haina think tank ina sim tank zimejaa

mtu kundolewa kimafia duniani inamaanisha nini ? nisamehe kama nimeelewa hilo eneo vibaya
Mkuu achana nae anazengua maana haeleweki ametuaminisha kuwa kazi imeisha alafu anaulizwa anamaana gani anashindwa kusema anamungun ya maneno tuu
 
Kuna mahala popote pale nimesema kuwa Askofu Gwajima anaenda Kuuawa / Kuuwawa? Nionyeshe tafadhali...!!!
Ndivyo post yako ilivyoeleweka mkuu, umeandika kwa lugha ya mdokezo ili tujiongeze, na ndivyo tulivyojiongeza, vinginevyo u ahitaji ufafanue zaidi ulichokiandika.
 
Kama kuna Mtu ambaye nilidhani ni Mjanja tena wa Kukwepa Mitego ya Kimafia kutoka Jengo Tai Tanzania ( JTT ) basi alikuwa ni Askofu Gwajima ila baada ya Kutegwa Kitaalamu hatimaye kaingia mwenyewe Mtegoni.

Askofu Gwajima ni Mpuuzi gani alikudanganya na ukamuamini kuwa kama Watu wa Jengo Tai Tanzania ( JTT ) wakikutaka basi sehemu zao pekee za Kukukamatia ni katika Mic na Kiti pekee ambavyo ulivikataa kwa Maelekezo uliyopewa na uliodhani wako pamoja nawe kumbe ndiyo walikupeleka katika Mdomo wa Mamba Kiulaini?

Yaani Askofu Gwajima pamoja na Kujimwambafai ( Kujitapa ) Kwako kote kule na Kutenbea sana Ulaya na Marekani umeshondwa tu kujua kuwa Umafia wa Siku hizi umeshakuwa more advanced na kwamba unaweza Ukaondoka hata kwa Kalamu au Saa au Taa au Mvuke au Miale au Mkanda wa Kiunoni au Camera zinazokumulika?

Nimekudharau kuliko vile ambavyo unaweza kudhani japo hapo mwanzoni nilikuwa nakukubali. Kuna Kitu nilikiona ile Siku ya Kwanza ulivyokuwa Grilled na Kingine pia nimekiona Jana ambacho nasikitika pamoja na kujifanya Kwako Mtoto wa Mjini hukukishtukia ila wenye Kazi yao wameshamaliza Jukumu lao na sasa tunaanza kujiandaa kwa Breaking News nchini.

Mwenzako Slaa kachungulia na Kasepa!


Kama kuna Mtu ambaye nilidhani ni Mjanja tena wa Kukwepa Mitego ya Kimafia kutoka Jengo Tai Tanzania ( JTT ) basi alikuwa ni Askofu Gwajima ila baada ya Kutegwa Kitaalamu hatimaye kaingia mwenyewe Mtegoni.

Askofu Gwajima ni Mpuuzi gani alikudanganya na ukamuamini kuwa kama Watu wa Jengo Tai Tanzania ( JTT ) wakikutaka basi sehemu zao pekee za Kukukamatia ni katika Mic na Kiti pekee ambavyo ulivikataa kwa Maelekezo uliyopewa na uliodhani wako pamoja nawe kumbe ndiyo walikupeleka katika Mdomo wa Mamba Kiulaini?

Yaani Askofu Gwajima pamoja na Kujimwambafai ( Kujitapa ) Kwako kote kule na Kutenbea sana Ulaya na Marekani umeshondwa tu kujua kuwa Umafia wa Siku hizi umeshakuwa more advanced na kwamba unaweza Ukaondoka hata kwa Kalamu au Saa au Taa au Mvuke au Miale au Mkanda wa Kiunoni au Camera zinazokumulika?

Nimekudharau kuliko vile ambavyo unaweza kudhani japo hapo mwanzoni nilikuwa nakukubali. Kuna Kitu nilikiona ile Siku ya Kwanza ulivyokuwa Grilled na Kingine pia nimekiona Jana ambacho nasikitika pamoja na kujifanya Kwako Mtoto wa Mjini hukukishtukia ila wenye Kazi yao wameshamaliza Jukumu lao na sasa tunaanza kujiandaa kwa Breaking News nchini.

Mwenzako Slaa kachungulia na Kasepa!

wewe ni kum@

wewe ni mpumbavu namba moja duniani

ni mjinga usiyejitambua

nakuahidi utakufa wewe kabla ya gwajima

unapokuja hivi hadharani kutamba kwamba mafia wameshamwekea sumu gwajima ya kumua kwa sababu anapinga chanjo ni udhaifu wa hali ya juu, hii inathibitisha kwamba madai ya gwajima ni sahihi ila kuna mipumbavu michache duniani inataka kulazimisha ajenda zao za chanjo kwa kuua watu wengine

wewe jiangalie sana inawezekana hata Magufuli unajua alikufa kwa mbinu ipi na nikuahidi tu utapatikana haijalishi upo wapi
 
Mafia washamaliza kazi haya subiri hiyo kazi uone lini itakamilika
 
Tukubali tusikubali gwajima anatupa funzo katika jamii zetu "tuwe na misimamo"
 
Anachopaswa kujua gwajima na hao unaowaita JJT ni kuwa kama siku zako zimefika hata ukwepe vipi utakufa tu

Na hao JJT kama siku za wanaye muwinda hazijafika hata wampige laser level (3x5000) bado mtu atatoka akiwa mzima kabisa.
ushawahi kusikia mtu anapona kitanzi au firing squad eti siku yake haijafika?
 
Back
Top Bottom