Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jadili hoja, sio mto hoja.hivi hii mbuzi inachotaka ni nini jasa? hayo mambo siyaliisha isha?
hii mbuzi imesahahu kama yenyewe iliiambia hiyo misukule yake kwamba haiwezi kugombea ubunge maana ni demotion?
nimeshagundua kinachoisumbua hii mbuzi inataka umaarufu wa kuongelewa mitandaoni
Gwajima Ni Boyer kipeo Cha pili lkn nimefurahi pia kuzijua Tabia halisi za Halima Mdee huyu Ni utopolo square.Hakuna mtaalam aliyelazimisha majiko ni Magufuli na Samia ambao ndio walimpa huo ubunge wa damu na vifo vya Raia.
Hata kaa awe na amani Gwajima. Hiki kinachoendelea ni laana
Sasa huyo Samia si ndio huyo huyo alieanza kuchanjwa siku ya kwanza ya kampeni ya chanjo, nini sasa kilicho mpata mpaka kushindwa kusimamia alicho tuaminisha?Hakuna mtaalam aliyelazimisha majiko ni Magufuli na Samia ambao ndio walimpa huo ubunge wa damu na vifo vya Raia.
Hata kaa awe na amani Gwajima. Hiki kinachoendelea ni laana
Pitia kwanza utumbo ulioandika,then nenda shule tena ndipo umkosoe Gwajima.hivi hii mbuzi inachotaka ni nini jasa? hayo mambo siyaliisha isha?
hii mbuzi imesahahu kama yenyewe iliiambia hiyo misukule yake kwamba haiwezi kugombea ubunge maana ni demotion?
nimeshagundua kinachoisumbua hii mbuzi inataka umaarufu wa kuongelewa mitandaoni
Hawa tunawaita wanafiq.Utaalamu bongo hakuna watu walewale waliopiga nyungu ndio sasa wanapata chanjo hata mwaka haujaisha.
Ni Magufuli ndo aliyekuwa anasema chanjo hazifai..Jadili hoja, sio mto hoja.
Inaeleka baba yako alipoteza pesa zake bure kukupeleka shule, bora angezipeleka bar tu.
Viongozi na wataalam hao hao ndio walio kua mistari wa mbele kutushauri Wananchi kua chanjo hazifai badala yake tujifukize, sasa leo vipi wanageuka tena?
Au wanafuata upepo unapo vuma?
Gwajima anasema viongozi na wataalamu wetu ni vigeugeu na hawafai kuongoza, Wanafanya mambo kwa kuangalia upepo na sio utaalamu
Anasisitiza wajiuzulu mapema kwenye suala la korona
Akihutubia maelfu ya waumini wake leo Gwajima amesema wataalamu wetu ndio hao walijenga pale muhimbili jiko la kujifukiza nyungu na waliwaaminisha wananchi kuwa chanjo hazifai
Gwajima anasema Leo ghafla wataalamu hao wanahubiri chanjo, Je wanamdanganya nani?
Gwajima anahoji lile jiko sasa wana alitumia kwa kazi gani pale muhimbili kwani waliokataa chanjo ndio hao vinara wa kusisitiza chanjo
Gwajima anasisitiza hao wataalamu wa ndani walete Papers au Research zao wamefanya lini na wapi kuhusu chanjo za korona?
Gwajima anasema waje wataalamu hao wa ndani waeleze Madhara ya muda mrefu na mfupi wa chanjo ndio hapo atakuja na Maswali magumu ya kufanya watawanyike
Anasema viongozi makini wangejiuzuru kazi hawafai kuongoza Taifa kwa kuwa vigeugeu kwa kuangalia nani anaongoza juu yao
Kwa mwendazake mbona mbali. Hakumfufua mama yake mzazi alipofariki.Nayeye ajiuzulu kwanza huo ubunge wa kupora halafu aje atuambie kwanini hakumfufua Mwendazake
[emoji3]Kwa mwendazake mbona mbali. Hakumfufua mama yake mzazi alipofariki.
Watu muna jua kutema sheet, sio poa. [emoji1][emoji1][emoji1]Kwa mwendazake mbona mbali. Hakumfufua mama yake mzazi alipofariki.
Ndo maana sisi wengine tunaamini 100pc kuwa hamna kitu pale ni utapeli tu wa kukusanya sadaka za misukule.Dunia hii ina maajabu sana! Hivi hao wanaoitwa wafuasi wake wanawezaje kukaa na kuanza kulisikiliza jitu taahira kama hilo,au ndio mataahira yamekutana?