#COVID19 Askofu Gwajima: Nasubiri wataalamu wa ndani wa chanjo ya COVID-19 waongee kisha nitawapiga kwa risasi moja tu watawanyike

#COVID19 Askofu Gwajima: Nasubiri wataalamu wa ndani wa chanjo ya COVID-19 waongee kisha nitawapiga kwa risasi moja tu watawanyike

hivi hii mbuzi inachotaka ni nini jasa? hayo mambo siyaliisha isha?

hii mbuzi imesahahu kama yenyewe iliiambia hiyo misukule yake kwamba haiwezi kugombea ubunge maana ni demotion?

nimeshagundua kinachoisumbua hii mbuzi inataka umaarufu wa kuongelewa mitandaoni
Jadili hoja, sio mto hoja.
Inaeleka baba yako alipoteza pesa zake bure kukupeleka shule, bora angezipeleka bar tu.

Viongozi na wataalam hao hao ndio walio kua mistari wa mbele kutushauri Wananchi kua chanjo hazifai badala yake tujifukize, sasa leo vipi wanageuka tena?

Au wanafuata upepo unapo vuma?
 
Hakuna mtaalam aliyelazimisha majiko ni Magufuli na Samia ambao ndio walimpa huo ubunge wa damu na vifo vya Raia.

Hata kaa awe na amani Gwajima. Hiki kinachoendelea ni laana
Gwajima Ni Boyer kipeo Cha pili lkn nimefurahi pia kuzijua Tabia halisi za Halima Mdee huyu Ni utopolo square.
 
Hakuna mtaalam aliyelazimisha majiko ni Magufuli na Samia ambao ndio walimpa huo ubunge wa damu na vifo vya Raia.

Hata kaa awe na amani Gwajima. Hiki kinachoendelea ni laana
Sasa huyo Samia si ndio huyo huyo alieanza kuchanjwa siku ya kwanza ya kampeni ya chanjo, nini sasa kilicho mpata mpaka kushindwa kusimamia alicho tuaminisha?
 
Kitendo cha gwajima kusema viongozi ni vigeugeu na kuwataka wajiuzulu ni mwendelezo wa dhihaka na kebehi kwa kiti cha urais na mwenyekiti wake wa chama. Huyu mtu adhibitiwe mapema kabla hajaaribu zaidi
 
Ila Gwajima anamuona Samia Ni mnyonge Sana kwake na hana Cha kumfanya.

Nikikumbuka Gwajima alivyokua anamwambia JK pale madhabahuni eti nakukemea kikweteeeee Hahah Ila alivyoingia Magu kakafyata mkia kakaishia tu kusema wasukuma nchi mzima tujiunge sisi Ni jeshi kubwaa.

Nadhani hua ana allergy na kiongozi waislam na ana ukabila ndani yake.
 
hivi hii mbuzi inachotaka ni nini jasa? hayo mambo siyaliisha isha?

hii mbuzi imesahahu kama yenyewe iliiambia hiyo misukule yake kwamba haiwezi kugombea ubunge maana ni demotion?

nimeshagundua kinachoisumbua hii mbuzi inataka umaarufu wa kuongelewa mitandaoni
Pitia kwanza utumbo ulioandika,then nenda shule tena ndipo umkosoe Gwajima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaalamu bongo hakuna watu walewale waliopiga nyungu ndio sasa wanapata chanjo hata mwaka haujaisha.
Hawa tunawaita wanafiq.
Mtume Muhammad (s.a.w) alitufundisha kua, mnafiq ana dalili tatu, moja yapo ndio hiyo walio ionyesha hao wataalm wetu.
 
Anachokitafuta kipo ready ajili yake aoon atapata
 
Jadili hoja, sio mto hoja.
Inaeleka baba yako alipoteza pesa zake bure kukupeleka shule, bora angezipeleka bar tu.

Viongozi na wataalam hao hao ndio walio kua mistari wa mbele kutushauri Wananchi kua chanjo hazifai badala yake tujifukize, sasa leo vipi wanageuka tena?

Au wanafuata upepo unapo vuma?
Ni Magufuli ndo aliyekuwa anasema chanjo hazifai..

Wewe mtu anawazingua hadi Maaskofu kanisani kisa tu wamevaa barakoa..hawa mawaziri wasingeweza kwenda kinyume chake..Usicheze na mkono wa chuma.

The problem started from JPM witch-doctoring on covid19 issue.
 
Wa kwanza kujiuzulu awe ni dadake anarukaruka uradhani kavuta bangi. Mdomo abauchonga utadhani kala pilipili kichaa. Wakati wa Kayafa ndiye alikuwa anafanya komedi nyiingi za kupinga chanjo. Mwingine ni yule aliyeokotwa jalani aliyeifuata juisi Madagaska akawa anafanya shoo za kuinywa. Mpaka leo haijulikana juisi aliimaliza au ipo
Gwajima anasema viongozi na wataalamu wetu ni vigeugeu na hawafai kuongoza, Wanafanya mambo kwa kuangalia upepo na sio utaalamu

Anasisitiza wajiuzulu mapema kwenye suala la korona

Akihutubia maelfu ya waumini wake leo Gwajima amesema wataalamu wetu ndio hao walijenga pale muhimbili jiko la kujifukiza nyungu na waliwaaminisha wananchi kuwa chanjo hazifai

Gwajima anasema Leo ghafla wataalamu hao wanahubiri chanjo, Je wanamdanganya nani?

Gwajima anahoji lile jiko sasa wana alitumia kwa kazi gani pale muhimbili kwani waliokataa chanjo ndio hao vinara wa kusisitiza chanjo

Gwajima anasisitiza hao wataalamu wa ndani walete Papers au Research zao wamefanya lini na wapi kuhusu chanjo za korona?

Gwajima anasema waje wataalamu hao wa ndani waeleze Madhara ya muda mrefu na mfupi wa chanjo ndio hapo atakuja na Maswali magumu ya kufanya watawanyike

Anasema viongozi makini wangejiuzuru kazi hawafai kuongoza Taifa kwa kuwa vigeugeu kwa kuangalia nani anaongoza juu yao
FB_IMG_16119979908203189.jpeg
FB_IMG_15892629981088060.jpeg
 
Back
Top Bottom