Askofu Gwajima: Nchi ni lazima iwe na maono ya kimaendeleo kwa miaka mingi. Tunafanya mambo kwa kukimbia kimbia tu

Askofu Gwajima: Nchi ni lazima iwe na maono ya kimaendeleo kwa miaka mingi. Tunafanya mambo kwa kukimbia kimbia tu

Km nchi
maskini.
Changa.
ya wasiojua wengi

tumeamua malengo yetu yawe kwa stahili hii ya miaka mitano.mitano
Kulingana na uwezo wetu fikra zetu.

Lkn pia hatujusema iwe hivo milele no tunakwenda na wkt!

twaweza punguza au kuongeza kwa jinsi tunavoona inafaa. Huyu kakurupuka km kondoo malishoni.

Soon atakuwa mkurupukaji au msema hovyo km mtikila au jina zuri mchemkaji.

Naamini alikuwa mtoro. hakusoma somo la siasa shuleni,akaelewa vizuri alikuwa anatayarishwa kulisha kondooo!!
!.siku hizi mnaita uraia.

Malengo unaweza kuweka hata ya siku moja ni suala la maamuzi yako tu.
Jkt tulikuwa tunaweka malengo ya siku tu baaassi kulingana na tunachofanya.hili chungaji kwanza halikwenda jkt toro
 
Back
Top Bottom