Habari wana Jamìi Forum popote mlipo.
Hatujambo, lakini niwahi kukujibu kuwa, hakuna majuto kwa Rev. Gwajima...!!
Nilitaka tu kumpa ushauri wa bure Askofu Gwajima kwasababu naona huko anakoelekea atakuja kujuta.
Hakuna majuto kwa Mch. Gwajima. Nakupa uhakika mmoja, nao ni huu, kuwa, kama waziri na naibu wake wataendelea kuwepo ktk nafasi zao hadi mwezi November, ni PM nikupe zawadi...
Nilianza kuona viashiria tangu wiki za nyuma baada ya watu mbalimbali kuanza kumuongelea Askofu kuhusu chanjo ya Uviko. Sasa nasikia waziri wa afya, Dk Dorothy Gwajima ameshaviandikia vyombo vya ulinzi na usalama vimuhoji Askofu Gwajima.
Kwani kuhojiwa ndiyo kuhukumiwa? Sikia ndugu, wataishia kumhoji tu lakini mwisho wa siku Waziri wenu huyu atapoteza uwaziri wake kabla ya mwaka huu kwisha...!!!
Huyu mama ni wale wanawake ngangari na Askofu Gwajima akiendelea kushindana naye ataingia cha kike.
View attachment 1899611
Eti nini? Mama ngangari?
Ugangari usio na akili ni ujinga na hauna maana...!
Wewe labda umesahau. Ngoja nikukumbushe;
Unalikumbuka sakata la Kadinali Polycap Pengo, waislamu na mahakama ya Kadhi dhidi ya Rev. Bishop Gwajima miaka 6 au 7 iliyopita...?
Walioitaka mahakama walimwona mchungaji huyu ni kikwazo kufikia malengo yao kama tu ilivyo leo wataka chanjo za UV-19 wanavyoona huyu bwana ndiyo tatizo na kikwazo chao ktk dhamira zao ovu...
Wakati huo, sheria haikuwa na nguvu kwake. Badala yake walidhamiria kum - eliminate kwa njia ya kifo cha sumu Rev. Gwajima na walifanikiwa kum - paralyze na kumfanya atembelee wheel chair for just some days...
Mwisho wa siku nani alishinda vita hiyo?
Ni Rev. Gwajima na tuliokuwa nyuma yake tukimuunga mkono maana;
å Sumu haikufua dafu kuuondoa uhai wake...
å Mungu alimwinua toka kwenye wheel chair na kusimama ktk afya yake tena na moto uleule hadi leo...
å Mahakama ya kadhi haikuanzishwa Tanzania kwa kutanbuliwa na katiba ya JMT..!!
Nakushangaa sana kusema leo eti Rev. Gwajima anaweza kuwa ktk vita na huyu mama mpuuzi asiyejielewa na mwenye ufahamu mdogo kabisa wa mambo...
Nakuhakikishia atapigwa mpaka atajisalimisha mwenyewe kwa Yesu Kristo...!!