#COVID19 Askofu Gwajima ni bora uwe mpole tu uendelee na mambo yako lakini ukitaka kushindana na shemeji yako utaumbuka

#COVID19 Askofu Gwajima ni bora uwe mpole tu uendelee na mambo yako lakini ukitaka kushindana na shemeji yako utaumbuka

Hakuna majuto kwa Mch. Gwajima. Nakupa uhakika mmoja, nao ni huu, kuwa, kama waziri na naibu wake wataendelea kuwepo ktk nafasi zao hadi mwezi November, ni PM nikupe zawadi...

Tumetunza record mkuu... Tunasubiri November utabiri utimie
 
Huyu mama ni wale wanawake ngangari na Askofu Gwajima akiendelea kushindana naye ataingia cha kike.
Naunga mkono hoja, huyu Mama ni mwanamke wa shoka, ni chuma cha pua. Hebu msikie hapa alivyomuita mtu Kibwet

P
 
Single touch, double manifestation.
🤣🤣🤣
Nafikiri anajiandaa kumshushia shemeji yake kitu kizito kama alivyoahidi.
Wakichunguza conclusion inakuja tu kuwa alishushiwa kitu kizito.
 
Back
Top Bottom