King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,041
- 1,349
Sio Gwajima tu na walokole uchwara wengine na makanisa yao ya ajabuajabu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwagito kamwene......hahahaaaa!Ujumbe uwafikie wanalumumba wote na kule Mwanakwerekwe
Mimi Na wewe nani KilazaWewe kilaza hata chanjo ya pepopunda huwa inarudiwa rudiwa, ukichanjwa mara moja haimaanishi hutapata kabisa pepopunda.
Kamwene....Mnoge yuve?Mwagito kamwene......hahahaaaa!
Unaelewa maana na dhumuni ya chapa ya TBS katika sigara ? Ni kuonyesha imekidhi kiwango cha ubora wa kuitwa sigara unaokubalika kimataifa huo ubora unaanzia inapohifadhiwa, inapoandaliwa mpaka kumfikia mtumiaji na kutokana na mvutano uliopo kimataifa matangazo yote ya sigara na hata makasha ya sigara yanahitaji kuwa na onyo ili kujaribu kupunguza ongezeko la watumiaji wa sigara bila kuingilia uhuru wa wale ambao watataka kuitumia pamoja na kujua athari yake, hiyo ni kwa mujibu wa Sheria ya Matumizi ya bidhaa za Tumbaku Tanzania. Hata matangazo ya sigara yanatakiwa kulenga kuwafikia watumiaji waliopo na sio kushawishi watumiaji wapya, ambapo mpaka leo hii ni tatizo kwa maana bado kuna watumiaji wapya wanashawishiwa, hata mahali pa kuweka hayo matangazo pametajwa na sheria hiyo hiyo.Ngoja nikuoneshe jinsi ulivyo naive......
nime quote baadhi ya maneno yako kama ifuatavyo...........uliandika hivi "Serikali ndio inayofanya kazi ya kujua kipi ni salama kwa wananchi wake, kama serikali na vyombo husika vikisema kitu ni salama, serikali za nchi nyingine zikasema ni salama, taasisi nyingine za kimataifa zikasema ni salama then who are you kupinga bila evidence ?"
Sasa naomba ukachukue kasha la kuhifadhia sigara yoyote iliyotengenezwa hapa Tanzania,utaona kuna maandishi makubwa yanasema "UVUTAJI WA SIGARA NI HATARI KWA AFYA YAKO",halafu pembeni ya kasha hilo kuna nembo ya TBS imepigwa hapo juu ya kasha,
Je,unaweza kunieleza kwanini TBS wamekubali kuthibitisha matumizi ya kitu ambacho hata aliyekitengeneza anakubali kwamba ni hatari kwa matumizi?
Nimekupa evidence kama ulivyotaka,maana najua utauliza evidence,sasa kafanye kama nilivyokwambia ili wewe mwenyewe ujionee hiyo evidence,ukishafanya hivyo rudi tena hapa niite nikupe elimu labda naweza kukuokoa na ujinga ambao unaweza kukusababishia madhara makubwa kwako au kwa uwapendao sasa au baadaye.
Wewe nani kakwambia hiari watumishi wa afya usipochanjwa unawez,akupoteza ajira watuminshi wengi wanaweza kuacha kazi kwa sababu ya chanjo
Hoja iko wapi? Umekosa hoja unakimbilia kwenye uanachama wangu humu JF! Hiyo tarehe isikusumbue wengine tumo humu tangu enzi za akina Kichwa Mbovu na akina Magazine! Sijui wewe ulikuwa wapi mida hiyo. Humu JF unaweza kuingia na kutoka kadri upendavyo kwa Avatar yoyote tu. Sasa lete hoja kama unavyo on the subject in question!
Hiyo propaganda ilipigwa kipindi hicho ambapo huo uchunguzi ulikuwa mufilisi mashine iliyowekewa mfumo wa kuangalia kama kuna viashiria vya corona au la kwenye mwili wa binadamu italeta majibu yasiyo sahihi kama ukiipa mapapi, mbuzi na oili chafu...hilo jambo lilielezwa na wataalamu waliopigwa mawe na hiyo ripoti haiwezi kutolewa kwa sababu itamchafua Rais kwa hiyo ni funika kombwe mwanaharamu apite.Kazi kubwa ya propaganda ni kuibadili akili timamu ya mtu ili aweze kuamini zaidi anachoambiwa na mtu mwingine kuliko kile anachokiona yeye mwenyewe.
Hivi ile ripoti ya kujua kwanini sample kutoka kwa mbuzi,papai nk zilitoa majibu positive baada kupimwa covid19 ilishatolewa eenh?Naombeni kujuzwa tafadhali...
Nadhani nitakua nimeeleweka hata kama aliyenielewa hatasema waziwazi.
Kati ya mtume Simon Petro aliyemkana Yesu na Yuda Iskarioti aliyemsaliti Yesu, ni yupi mwenye dhambi iliyo kuu zaidi? - Kardinali Pengo
Ndugu, mwenye dhamana ya maisha yako ni wewe mwenyewe si serikali.
Amina bwashee!Mkuu hyo salamu ya mwisho ni yetu Sisi wasabato , jmos nakupitia twende church mzee