Sio kweli.......Wanaokufa wapo wengi tu kwasababu ya vaccine...na nikupe data tu hiyo j&j haina uwezo wa kuzuia delta virus...inaweza kuzuia wimbi la kwanza tu....
Mods naomba msiunganishe hii thread naomba ibaki hapa hapa...tuanze sasa...
Nipo nadrive ila nimepaki kwanza pembeni niandike captions kidogo tu
Kwanza kabisa kuna mtu atauliza mbona tulichanjwa toka utotoni sasa kwanini tupinge hii Nikuelemishe kidogo tu
Umechanjwa chanjo utotoni sawa hata mm pia ...hivi unajua kwamba chanjo za covid za pfzer,modena na j&j zimetengenezwa tofauti na chanjo nyingine zitengenezwavyo hizo tatu zimetengenezwa na mrna technology ambayo inaingizwa kwenye cell,vinasaba dna pamoja na genetics ambavyo ni hatari ndo maana watu wanapinga......
Gwajima yupo sahihi kwa asilimia 100%
Gwajima kaongea fact tupu nakubaliana nae kabisa
Chanjo za MRNA kama pfzer,moderna na JJ hazifai ni hatari tupu
Chanjo zote ni emergency authorization na hazijathibitishwa
Zote zinahesabiwa kama majaribio tu na madhara ni juu yako wewe mtumiaji
Chanjo hizi za mrna ni uongo mwingi mnooo na hata uwezo wake wa kuzuia version mpya ya virus ni mdogo unazuia mno ile ya wimbi la mwanzo tu
Wanaokufa wamechoma mrna vaccine ni maelfu huko marekani lakini media za mabeberu hawatangazi japo kwa uchache mnooo
Gwajima kaongea fact kabisa hata hao wanaojimwambafy wamechoma na wamegeuka pro chanjo kama yule wa ndege za tanapa kukodi yule tunamjua anavyoweza kutumika kwa vipande vya fedha.....
Gwajima nakuunga mkono sikatai chanjo ila hizi za mrna hapana aisee bora hata zile za wachina na wacuba ila sio huo utupolo wa mrna vaccines wa kuchoma mkachome ila mjue mrna zinagusa mpaka cell, dna,aka vinasaba na genetics hapo ndo noma
Halaf hawatengenezi kwa njia kama zilivyo za surua,polio etc....wao wanatengeneza kwa liteknolojia la mrna ambalo halijawahi kutengeza chanjo yoyote ile hiyo kitu ni hatari mno nenda hata google mkasome....
Mwishoni big up gwajima........umejitahidi sana broo....umeukataa huu ushetani
Nimepata toka attachment yako, asante sana
In June, more than 9 out of 10 Americans, or 99.2 percent, of those who died from COVID-19 had not gotten vaccinated.
In Maryland, 100 percent of patients diagnosed with COVID-19 who died were not vaccinated, with 93 percent of those with new cases or those being hospitalized also are unvaccinated, The Washington Post reported.
Mods naomba msiunganishe hii thread naomba ibaki hapa hapa...tuanze sasa...
Nipo nadrive ila nimepaki kwanza pembeni niandike captions kidogo tu
Kwanza kabisa kuna mtu atauliza mbona tulichanjwa toka utotoni sasa kwanini tupinge hii Nikuelemishe kidogo tu
Umechanjwa chanjo utotoni sawa hata mm pia ...hivi unajua kwamba chanjo za covid za pfzer,modena na j&j zimetengenezwa tofauti na chanjo nyingine zitengenezwavyo hizo tatu zimetengenezwa na mrna technology ambayo inaingizwa kwenye cell,vinasaba dna pamoja na genetics ambavyo ni hatari ndo maana watu wanapinga......
Gwajima yupo sahihi kwa asilimia 100%
Gwajima kaongea fact tupu nakubaliana nae kabisa
Chanjo za MRNA kama pfzer,moderna na JJ hazifai ni hatari tupu
Chanjo zote ni emergency authorization na hazijathibitishwa
Zote zinahesabiwa kama majaribio tu na madhara ni juu yako wewe mtumiaji
Chanjo hizi za mrna ni uongo mwingi mnooo na hata uwezo wake wa kuzuia version mpya ya virus ni mdogo unazuia mno ile ya wimbi la mwanzo tu
Wanaokufa wamechoma mrna vaccine ni maelfu huko marekani lakini media za mabeberu hawatangazi japo kwa uchache mnooo
Gwajima kaongea fact kabisa hata hao wanaojimwambafy wamechoma na wamegeuka pro chanjo kama yule wa ndege za tanapa kukodi yule tunamjua anavyoweza kutumika kwa vipande vya fedha.....
Gwajima nakuunga mkono sikatai chanjo ila hizi za mrna hapana aisee bora hata zile za wachina na wacuba ila sio huo utupolo wa mrna vaccines wa kuchoma mkachome ila mjue mrna zinagusa mpaka cell, dna,aka vinasaba na genetics hapo ndo noma
Halaf hawatengenezi kwa njia kama zilivyo za surua,polio etc....wao wanatengeneza kwa liteknolojia la mrna ambalo halijawahi kutengeza chanjo yoyote ile hiyo kitu ni hatari mno nenda hata google mkasome....
Mwishoni big up gwajima........umejitahidi sana broo....umeukataa huu ushetani
Gwajima au wewe mmefanya utafiti upi wa kisayansi kama siyo porojo tu? Unapotilia mashaka jambo fulani la kitaalamu, lazima walau uwe umeshalifanyia kazi. Mfano, chanjo iliyoletwa hapa Tanzania na serikali ikakubali kwamba ni salama na wewe na Gwajima mnakataa, si walau mngeonyesha huo utafiti wenu ili kukataa kwenu kuwe na justification? Maoni tu ambayo yako nje ya mada kama haya ya kwako na ya Gwajima hayana substance.
Hebu irejeshe hiyo sare ya jeshi letu tukufu Kwa uliyemuazima ili upigie picha ya kutapeli watu humu! Jeshi letu halina na halijawahi kuwa na mashoga yangu kuanzishwa kwake sijui wewe ulipenyezwa na nani Hadi kuwa huko! Kila ukiweka bando lako la jero unamuwaza Mbowe TU as if huna lingine ulijualo? Unakera Sana shoga wewe kubali kuachika unapoachwa?
Acha UPOTOSHAJI wewe unataka kumpinga mtu anayekusanya takwimu za wanaolazwa ná kufa kwa COVID-19!? Watu kama wewe ni hatari sana ni hasara kubwa Kwa Taifa. Ulichoandika ni UONGO MTUPU!!!
Sio kweli.......Wanaokufa wapo wengi tu kwasababu ya vaccine...na nikupe data tu hiyo j&j haina uwezo wa kuzuia delta virus...inaweza kuzuia wimbi la kwanza tu....
Waswahili wanasema kenge hasikii mpaka damu imtoke masikioni. Huyu kenge hadi afe ndipo hao wajinga wenzake watakapoelewa kuwa covid siyo ya kufanyia mzaha.
Wwe inaonekana unaogopa sana kifo, usiogope sana kifo, maana kuna Watu wanalala tu wakiwa wazima wa afya na kifo kinawakuta usingizini! Kifo hakikwepeki ndg muda wowote kikikufika huna ujanja hata Kama umezungukwa na ma Dakitari Bora wa Dunia,utakwenda tu kwa Sir God bila ubishi!!
Kama chanjo imekuja na ni salama, hofu ya nini kuwachanja wanajeshi na polisi, kwani hata wao wanaweza kuwa sehemu ya kusambaza maambuzi kwa wengine, kama wao hawafai kuchanjwa basi na wengine hawafai kuichanjwa, hili siyo taifa la wanajeshi na polisi ni taifa na watanzania wote.
Baada ya jana mbunge wa Kawe mh Gwajima kuwataka watanzania waikatae chanjo ya Corona leo wameibuka wabunge machachari wa CCM January Makamba na Dr Kigwangalla na kumjibu
Kigwangalla amemtaka Askofu Gwajima ajisomee majalada ya sayansi na kama hawezi basi aende ofisini kwake akampe twisheni kwa sababu yeye ni daktari wa binadamu kitaaluma.
Naye January Makamba amemtaka askofu Gwajima kuacha kutumia nafasi yake ya uongozi wa kiroho kuupotosha Umma
Kama gwajima anaupotosha uma kwa kutumia uongozi wake nao watumie uongozi wao kuuelimisha uma kuhusu chamjo sio kumponda mchungaji wa Mungu MB. Gwajima.
Huko New Jersey Marekani, watu 50 ambao wamepata chanjo yote ya Covid 19, yaani wamepata chanjo zote 2 wamefariki kwa Covid 19. Hivyo kupata chanjo haina maana kua hautaugua covid 19 na haina maana kwamba hutafariki kwa Covid 19. Ndio maana ukisoma ile form ya kupata chanjo ya serikali...
www.jamiiforums.com
Second hiyo J&J yenu haiwezi zuia delta variant
Kutoka kwenye mtandao wa jarida la Forbes
Sign In
Subscribe
BREAKING|Jul 20, 2021,07:34pm EDT|271,882 views
Johnson & Johnson Vaccine Far Less Effective Against Delta Variant, Study Suggests
I'm a news reporter for Forbes, primarily covering the U.S. South.

Updated Jul 21, 2021, 07:13pm EDT
TOPLINE
A study from a team of New York University researchers found the one-shot Johnson & Johnson vaccine is far less effective at preventing coronavirus infections from the Delta variant and other mutated forms of the virus than from earlier strains, a concerning find since the Delta variant now accounts for almost all U.S. Covid-19 cases.

In this photo illustration a Johnson & Johnson[+]
SOPA IMAGES/LIGHTROCKET VIA GETTY IMAGES
KEY FACTS
The study, which has not been peer reviewed, was based on tests conducted on blood samples drawn from people who have received the three coronavirus vaccines approved for use in the U.S..
According to the New York Times, the findings are consistent with earlier reviews of the similar AstraZeneca vaccine’s performance against the Delta variant, which found around a 33% efficacy rate.
Clinical trials put the J&J vaccine’s efficacy at around 66% against the original coronavirus strain, while the two-shot Pfizer and Moderna vaccines were more than 90% effective.
CDC Director Dr. Rochelle Walensky said Tuesday the Delta variant now makes up around 83% of all Covid cases in the United States.
The findings from the NYU studies contradict earlier, smaller studies published by Johnson & Johnson, which suggested the vaccine was effective against Delta and other new variants.
WHAT TO WATCH FOR
The study’s authors suggested J&J recipients might require booster shots for better protection against the Delta variant, but public health officials are not recommending boosters for any vaccines at this time.
BIG NUMBER
More than 13 million. That’s how many Americans received the single-dose Johnson & Johnson shot, according to the CDC. The number actually represents just a small slice of around 161.5 million Americans who have been fully vaccinated.
KEY BACKGROUND
Rising cases, hospitalizations and deaths across the U.S. are fueling concerns about another major Covid spike. Numerous cities and localities are now urging all residents to wear masks in public again, even if they’ve been fully vaccinated, while a stock market plunge on Monday was largely attributed to worries over the Delta variant. The vast majority of those impacted have not been vaccinated, though, leading Walensky to say last week: “This is becoming a pandemic of the unvaccinated.”
TANGENT
The Johnson & Johnson vaccine has had several reports of problems since it received approval in February. In April, the federal government recommended a 10-day pause on Johnson & Johnson vaccinations while it investigated links to a serious blood clotting issue. Another problem came up earlier this month, when it was reported the vaccine could raise the risk of a neurological disorder called Guillain–Barre syndrome. Instances of both Guillain–Barre syndrome and blood clotting after the J&J vaccine have been extremely rare, but the issues have been enough to lower public confidence in the vaccine compared to the other shots available in the United States.
FURTHER READING
One Dose of J.&J. Vaccine Is Ineffective Against Delta, Study Suggests (The New York Times)
Miami The Latest City Tightening Covid Guidelines—See Full List (Forbes)
Johnson & Johnson Vaccine Could Raise Risk For Rare Neurological Disorder, FDA To Warn (Forbes)
FDA And CDC Recommend Resuming Johnson & Johnson Vaccine For All U.S. Adults After Committee Vote (Forbes)
Full coverage and live updates on the Coronavirus
Get the best of Forbes to your inbox with the latest insights from experts across the globe.
Follow me on Twitter. Send me a secure tip.
Nicholas Reimann
I'm a New Orleans-based news reporter for Forbes covering the U.S. South and breaking news. Previously, I wrote for The Times-Picayune | The New Orleans Advocate covering
…Read More
CorrectionsReprints & Permissions
Loading ...
More From Forbes
Pittsburgh Pirates Knew They Weren’t Going To Get Elite Prospects For Adam Frazier
Outsmarted By China, Not Protected By Biden, Retail Takes A Hit
Only 15 Of 130 FBS Teams Will Not Play An FCS Team During 2021 College Football Season
Brands Are Invading Your Favorite Streaming Shows And Movies, Whether You Realize It Or Not
Carbon-Neutral LNG: Another Reason Why Natural Gas Could Win “The Energy Transition”
Nascar Free Agent Profile: Kurt Busch A Potential Coup For Upstart Teams
Meet The Youngest Olympians Competing At The Tokyo Games
See Skateboarders And Surfers Make Their Olympic Debut In Tokyo (Photos)
[emoji2398] 2021 Forbes Media LLC. All Rights Reserved.
Gwajima au wewe mmefanya utafiti upi wa kisayansi kama siyo porojo tu? Unapotilia mashaka jambo fulani la kitaalamu, lazima walau uwe umeshalifanyia kazi. Mfano, chanjo iliyoletwa hapa Tanzania na serikali ikakubali kwamba ni salama na wewe na Gwajima mnakataa, si walau mngeonyesha huo utafiti wenu ili kukataa kwenu kuwe na justification? Maoni tu ambayo yako nje ya mada kama haya ya kwako na ya Gwajima hayana substance.
Nimepata toka attachment yako, asante sana
In June, more than 9 out of 10 Americans, or 99.2 percent, of those who died from COVID-19 had not gotten vaccinated.
In Maryland, 100 percent of patients diagnosed with COVID-19 who died were not vaccinated, with 93 percent of those with new cases or those being hospitalized also are unvaccinated, The Washington Post reported.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.