#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Mtu analeta Teolojia kwenye Sayansi, ajabu Sana hii

Baadhi ya watu wanafikiri kusoma clinical studies ni ushetani. Hawajui kuwa Mungu ndio anatoa vipaji na hekima za watu kuwa mahiri kwenye fani za clinical studies and research.

Mbaya zaidi Watanzania nao wanaamini hoja mfu za kuwachukia wasomi wa clinical sciences wanaposisitiza umuhimu wa chanjo. #Maajabu!

 
Acha KUOKOTEZA OKOTEZA fake news kutoka vyanzo vya habari visivyo na CREDIBILITY na REPUTATION ni sawa kuchukua habari toka vyanzo vya magazeti ya UDAKU na kuleta habari hizo hapa. Narudia tena 97% ya wanaolazwa mahospitalini ni wale ambao ni unvaccinated ina only 3% ya wale ambao ni vaccinated ndiyo wanaolazwa vivyo hivyo 99% ya wanaokufa ni wale ambao ni unvaccinated na only 1% is from those who are vaccinated

USIKURUPUKE kuja hapa kuandika uongo.






Mimi nayewaambia watu kuhusu ukweli wa chanjo wasichanjwe wasichokijua Vs wewe unayewahamasisha watu wachanjwe wasichokijua yaani watu milioni 60 wageuzwe majaribio ya wazungu ni nani hatari kwa usalama wa taifa?
Mimi nayewaambia watu kuhusu ukweli wa chanjo wasichanjwe wasichokijua Vs wewe unayewahamasisha watu wachanjwe wasichokijua yaani watu milioni 60 wageuzwe majaribio ya wazungu ni nani hatari kwa usalama wa taifa?
Mimi nayewaambia watu kuhusu ukweli wa chanjo wasichanjwe wasichokijua Vs wewe unayewahamasisha watu wachanjwe wasichokijua yaani watu milioni 60 wageuzwe majaribio ya wazungu ni nani hatari kwa usalama wa taifa?
 
Gwajima hawezi kubadilika na kuwa mtu mwenye akili timamu tena, ameshakuwa muongo na mpotoshaji kiasi kwamba anauamini uongo wake mwenyewe kama ukweli.
 
Namuunga mkono Gwajima kwa mara ya kwanza, huo utopolo wachanje wenyewe, Alafu viongozi baadhi wanatuchezea danganya toto tu, mtu anaonyeshwa anachomwa live mna uhakika gani hachomwi maji ya dripu??

Sichanjwi, Imeisha hio!!
 
Eleza ubaya wa mRNA, acha kusagia tu bila facts
 
Tatizo ni gwajima?
Au tatizo ni mtu kutaka kujua chanjo ya Corona imebeba nini?
Je ni vibaya mtu kutaka kujua chanjo imebeba nini?
Mbona chanjo zingine na dawa, vitu vilivyomo viko wazi?
Mambo ya kutishia madaktari kapuyanga, ila hoja ya msingi ni kuwa uchunguzi ufanyike na iwekwe wazi, kuna tatizo hapo?
Hamna majibu, juu ya hoja yake ya msingi,mmeishia kumshambulia tu.
 
Hivi mtu kama huyu kuna haja ya kumjadili?
Your browser is not able to display this video.
 
Umekosea hapo ulipoandika kwamba ana akili nyingi. Labda akili za kitapeli.
 

Mkuu, umesoma ukaelewa nilichoandika?

Mbona nimeshaeleza kuwa, Huyo Gwajima Kwa nini asiwe na wasiwasi kwenye madawa mengine au Chanjo zingine isipokuwa Chanjo ya Corona yeye ndio kaiona?

Nani alimuambia Dawa zinazoletwa TANZANIA hazifanyiwi uchunguzi mbali na hiyo Chanjo ya Corona??

Au kihere here cha mdomo wake?

Yeye ni vitu vingapi anavitumia yakiwemo madawa yanathibitishwa na Wataalamu wa kitanzania pasipo kelele wala Matangazo?
 
Tangu Gwajima alivyojiapiza kuwa atamfufua Amina chifupa na akashindwa kumfufua basi nikajua huyu ni tapeli tu.
 

Huu Uzi ufutwe Maxence Melo Boqin Innovator Panel Moderator Paw
 
Ubunge tu hakushinda na aliiba kura, huyu ndiye tumuote eti Askofu? Hapana ! Askofu ni lazima awe MTU wa haki, MTU anayeichukia dhuluma, mtu anayeishi ndani ya ukweli, huyu hawezi kuwa askofu.
 
Bc ww uchanjee ili tuone km unajiamini au unabwabwaja trh 28 zoezi linaanza
 
Ni mwongo sana. Akitokea akawa rais nchi itakuwa imetumbukia kwenye shimo lenye kiza kinene. Hata huo ubunge hafai kuwa nao. Ni mwongo mno.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Unadrive gari gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…