Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mengine yote uliyoandika ni ugoro mtupu.
Haya ndicho ulichoona tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndicho ulichoona tu
Mtu analeta Teolojia kwenye Sayansi, ajabu Sana hii
Mimi nayewaambia watu kuhusu ukweli wa chanjo wasichanjwe wasichokijua Vs wewe unayewahamasisha watu wachanjwe wasichokijua yaani watu milioni 60 wageuzwe majaribio ya wazungu ni nani hatari kwa usalama wa taifa?
Mimi nayewaambia watu kuhusu ukweli wa chanjo wasichanjwe wasichokijua Vs wewe unayewahamasisha watu wachanjwe wasichokijua yaani watu milioni 60 wageuzwe majaribio ya wazungu ni nani hatari kwa usalama wa taifa?
Mimi nayewaambia watu kuhusu ukweli wa chanjo wasichanjwe wasichokijua Vs wewe unayewahamasisha watu wachanjwe wasichokijua yaani watu milioni 60 wageuzwe majaribio ya wazungu ni nani hatari kwa usalama wa taifa?
Mods naomba msiunganishe hii thread naomba ibaki hapa hapa...tuanze sasa...
Nipo nadrive ila nimepaki kwanza pembeni niandike captions kidogo tu
Kwanza kabisa kuna mtu atauliza mbona tulichanjwa toka utotoni sasa kwanini tupinge hii Nikuelemishe kidogo tu
Umechanjwa chanjo utotoni sawa hata mm pia ...hivi unajua kwamba chanjo za covid za pfzer,modena na j&j zimetengenezwa tofauti na chanjo nyingine zitengenezwavyo hizo tatu zimetengenezwa na mrna technology ambayo inaingizwa kwenye cell,vinasaba dna pamoja na genetics ambavyo ni hatari ndo maana watu wanapinga......
Gwajima yupo sahihi kwa asilimia 100%
Gwajima kaongea fact tupu nakubaliana nae kabisa
Chanjo za MRNA kama pfzer,moderna na JJ hazifai ni hatari tupu
Chanjo zote ni emergency authorization na hazijathibitishwa
Zote zinahesabiwa kama majaribio tu na madhara ni juu yako wewe mtumiaji
Chanjo hizi za mrna ni uongo mwingi mnooo na hata uwezo wake wa kuzuia version mpya ya virus ni mdogo unazuia mno ile ya wimbi la mwanzo tu
Wanaokufa wamechoma mrna vaccine ni maelfu huko marekani lakini media za mabeberu hawatangazi japo kwa uchache mnooo
Gwajima kaongea fact kabisa hata hao wanaojimwambafy wamechoma na wamegeuka pro chanjo kama yule wa ndege za tanapa kukodi yule tunamjua anavyoweza kutumika kwa vipande vya fedha.....
Gwajima nakuunga mkono sikatai chanjo ila hizi za mrna hapana aisee bora hata zile za wachina na wacuba ila sio huo utupolo wa mrna vaccines wa kuchoma mkachome ila mjue mrna zinagusa mpaka cell, dna,aka vinasaba na genetics hapo ndo noma
Halaf hawatengenezi kwa njia kama zilivyo za surua,polio etc....wao wanatengeneza kwa liteknolojia la mrna ambalo halijawahi kutengeza chanjo yoyote ile hiyo kitu ni hatari mno nenda hata google mkasome....
Mwishoni big up gwajima........umejitahidi sana broo....umeukataa huu ushetani
Ngoja niendelee na safari....tukutane baadae
Nipo na gwajima, hizi chanjo hazifai
Nashauri zitumike kuwachoma vijana wa bavicha tu, kwa kuwa hawana umuhimu wowote ule
Hivi mtu kama huyu kuna haja ya kumjadili?GWAJIMA ANAWASIWASI NA CHANJO YA CORONA TUU! LABDA NI KWA UJINGA WAKE AU KAAMUA KUIPINGA SERIKALI KWA UJEURI TUU.
Kwa Mkono wa, Robert Heriel.
Nimeiona Clip inayomuonyesha Ndugu Gwajima akitoa maoni yake Kanisani kwake kuhusu Masuala ya Chanjo ya Corona.
Katika Hotuba yake hiyo, Gwajima alitoa maudhui yaliyolenga kuwashawishi waumini na wasikilizaji wake kuwa wasikubali Chanjo ya Corona mpaka pale Madaktari wa kitanzania watakapo fanya uchunguzi wa contents akimaanisha Gradients au Chemical composition zilizopo kwenye Chanjo hiyo.
Kauli za Gwajima mbali na kushawishi waumini wake na waliokuwa wakimsikiliza, pia zililenga kutishia na kuwaogopesha baadhi ya watendaji katika sekta ya Afya, Kwa kuwataja Madaktari watakaohusika kuipitisha chanjo hiyo.
Gwajima alitoa kauli ambazo Mimi niliziona za kipuuzi na kitoto, kwani Kwa. Uelewa wake alidhani mungu anayemuamini yeye basi ni mungu wa watu wengine.
Gwajima kupitia kauli yake ya kutisha Madaktari namlimgamisha na Wale masheikhe waliomtishia Afande Sele wakidhani mungu wao ananguvu ya kufanya atakavyo Kwa watu wote Kama afanyavyo kwao. Jambo ambalo ni uongo.
Nikiachana na mambo ya Imani ili nisiguse makundi ya waaminio. Naomba nirejee kwenye hoja.
Gwajima anaongea Kama mtu asiyemtaalamu, anayebebwa na upepo wa propaganda za kitoto na watu wasioenda shule.
Na Kama kaenda shule basi elimu yake itakuwa na Shaka kubwa Sana, sio ajabu Mbunge Msukuma akiwakejeli wasomi ikiwa ndio akili zao zipo Kama hivi.
Gwajima lazima aelewe kuwa ishu ya Corona ipo kitabibu zaidi kuliko porojo zake au Siasa ambazo ni kuongea tuu.
Kuwaambia Madaktari ati wachunguze contents zilizopo ndani ya Chanjo ya Corona ni kujaribu Kueleza kuwa Madaktari WA nchi hii hawajui wajibu na kazi Yao.
Gwajima anataka kuwaambia Waumini na wasikilizaji wake kuwa, Madaktari wa Tanzania huwaga hawafanyagi uchunguzi katika madawa yanayotoka nje.
Gwajima anafikiri kuwa Madaktari WA Tanzania wanaongozwa na Teolojia inayomuongoza yeye ambayo ni Tawi la Falsafa ambayo Wachungaji huitumia kuwafundisha watu habari za Mungu, Jambo ambalo sio kweli. Madaktari huongozwa na Sayansi zaidi kuliko masuala dhahania.
Gwajima anajifanya anaakili mbele ya waumini na wasikilizaji wake na hawapi nafasi ya kufikiri kuliko upeo ili aonekane kaongea hoja yenye manufaa wakati Kwa akili ndogo ni kuwa ameongea pasipo kufikiri vizuri.
Kama Gwajima angetoa nafasi ya kuulizwa maswali huenda angejidharau pale pale na kujiona ameongea vitu visivyopaswa kuzungumzwa na mtu Kama yeye.
Mfano wa maswali;
1. Tangu nchi imepata Uhuru, ni lini Madaktari walitaja contents zilizopo kwenye madawa yatokayo nje au hata Chanjo ambazo tulichanjwa?
2. Kwa nini Gwajima Hana wasiwasi na Dawa zingine Kama vile ARVs, chanjo wapigwazo watoto wachanga, au wamama wajawazito, Kwa nini iwe Chanjo ya Korona na sio hizo?
3. Gwajima amegusia suala la biashara imejiingiza kwenye suala la Chanjo ya Corona, yupo sahihi. Ni Ugonjwa upo ambao sio biashara?
Na ni Huduma gani isiyobiashara Kwa sasa? Mbona hata kwenye dini biashara imejiingiza, yeye anaona Kwa wenzake haoni upande wake.
Gwajima alikuwa anaelezea Jambo ambalo Hana Uelewa nalo Kwa sababu yeye sio Daktari, hivyo kujifanya anaamrisha mambo asiyo na Uelewa nayo ni Kama kujivua nguo mbele za watu.
Gwajima sijui hajui au anafanya ukaidi, mambo mengi tunayoyatumia iwe Kwa kula au kutumia kawaida yanatoka nchi za nje, Kwa hao hao Wazungu. Hivyo Kama ni kutumaliza wangetumaliza hata kabla Gwajima mwenyewe hajazaliwa.
Gwajima anaweza akawa na hoja lakini uwasilishaji wake umekuwa wakijinga Kwa sababu maoni yake anajaribu kuyalazimisha na kutisha watu, huku akielezea mambo asiyo na utaalamu nayo.
Mahali ninapoungana na Gwajima;
Ninaungana na Gwajima ile siku alipompinga Mbowe kuhusu kauli yake kuwa Chanjo iwe Lazima,
Gwajima anajaribu kuifichua tabia ya Mbowe ya udikteta ya kulazimisha Chanjo ya Corona Kwa wote badala ya kutumia Demokrasia.
Hata hivyo Gwajima naye anajisahau, anataka kulazimisha watu wakatae Chanjo ya Corona badala ya kuruhusu demokrasia Kama Tamko la serikali lilivyoelekeza kuwa; Chanjo ya Corona ni Hiyari.
Anayetaka akapigwe, asiyetaka aache.
Gwajima usiwaze Kama mtu asiye na Uelewa wa mambo.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
MOROGORO
Umekosea hapo ulipoandika kwamba ana akili nyingi. Labda akili za kitapeli.Habari!
Hili jambo nililisikia 2020 toka kwa waumini 2 wa Gwajima.
Mimi niko karibu na waumini kadhaa wa Askofu Gwajima ambapo kati yao 2 ninafanya nao kazi ofisi moja, idara moja. Na hao wote ni wachungaji wa kikundi (Ministry pastors) wa kanisa la Ufufuo na Uzima.
Aliamini huenda angerithi mikoba ya Magufuli 2025 lakini Magufuli ametangulia mbele za haki.
Je, atasubiri mpaka 2030 pindi atakapomaliza Rais Samia Suluhu?
Hapana.
Hataweza kusubiri 2030 bali atajaribu karata yake ya bahati 2025.
Msitegemee 100% kuwa Gwajima atamuunga mkono Rais Samia Suluhu kwa sasa.
Gwajima mtu mwenye akili nyingi anaweza kuipiga ngome ya mama na ikapigika. Ngoja tusubiri.
Hii ni tetesi hivyo naomba msiufute huu uzi, hauna dhamira ya uchochezi.
Tatizo ni gwajima?
Au tatizo ni mtu kutaka kujua chanjo ya Corona imebeba nini?
Je ni vibaya mtu kutaka kujua chanjo imebeba nini?
Mbona chanjo zingine na dawa, vitu vilivyomo viko wazi?
Mambo ya kutishia madaktari kapuyanga, ila hoja ya msingi ni kuwa uchunguzi ufanyike na iwekwe wazi, kuna tatizo hapo?
Hamna majibu, juu ya hoja yake ya msingi,mmeishia kumshambulia tu.
Habari!
Hili jambo nililisikia 2020 toka kwa waumini 2 wa Gwajima.
Mimi niko karibu na waumini kadhaa wa Askofu Gwajima ambapo kati yao 2 ninafanya nao kazi ofisi moja, idara moja. Na hao wote ni wachungaji wa kikundi (Ministry pastors) wa kanisa la Ufufuo na Uzima.
Aliamini huenda angerithi mikoba ya Magufuli 2025 lakini Magufuli ametangulia mbele za haki.
Je, atasubiri mpaka 2030 pindi atakapomaliza Rais Samia Suluhu?
Hapana.
Hataweza kusubiri 2030 bali atajaribu karata yake ya bahati 2025.
Msitegemee 100% kuwa Gwajima atamuunga mkono Rais Samia Suluhu kwa sasa.
Gwajima mtu mwenye akili nyingi anaweza kuipiga ngome ya mama na ikapigika. Ngoja tusubiri.
Hii ni tetesi hivyo naomba msiufute huu uzi, hauna dhamira ya uchochezi.
Akae jela kwa kosa lipi?Hii nchi hata Pablo Escobar angekuwepo angegombea urais...
Nchi zenye maadili Gwajima angekuwa jela siku nyingi
Bc ww uchanjee ili tuone km unajiamini au unabwabwaja trh 28 zoezi linaanzaUlichoandika hapa ni UONGO MTUPU! 99% ya wanaokufa ni wale ambao hawajapata chanjo ná 97% ya wanaolazwa ni wale ambao pia hawajapata chanjo.
Wanaokufa wamechoma mrna vaccine ni maelfu huko marekani lakini media za mabeberu hawatangazi japo kwa uchache mnooo
Unadrive gari gani?Mods naomba msiunganishe hii thread naomba ibaki hapa hapa...tuanze sasa...
Nipo nadrive ila nimepaki kwanza pembeni niandike captions kidogo tu
Kwanza kabisa kuna mtu atauliza mbona tulichanjwa toka utotoni sasa kwanini tupinge hii Nikuelemishe kidogo tu
Umechanjwa chanjo utotoni sawa hata mm pia ...hivi unajua kwamba chanjo za covid za pfzer,modena na j&j zimetengenezwa tofauti na chanjo nyingine zitengenezwavyo hizo tatu zimetengenezwa na mrna technology ambayo inaingizwa kwenye cell,vinasaba dna pamoja na genetics ambavyo ni hatari ndo maana watu wanapinga......
Gwajima yupo sahihi kwa asilimia 100%
Gwajima kaongea fact tupu nakubaliana nae kabisa
Chanjo za MRNA kama pfzer,moderna na JJ hazifai ni hatari tupu
Chanjo zote ni emergency authorization na hazijathibitishwa
Zote zinahesabiwa kama majaribio tu na madhara ni juu yako wewe mtumiaji
Chanjo hizi za mrna ni uongo mwingi mnooo na hata uwezo wake wa kuzuia version mpya ya virus ni mdogo unazuia mno ile ya wimbi la mwanzo tu
Wanaokufa wamechoma mrna vaccine ni maelfu huko marekani lakini media za mabeberu hawatangazi japo kwa uchache mnooo
Gwajima kaongea fact kabisa hata hao wanaojimwambafy wamechoma na wamegeuka pro chanjo kama yule wa ndege za tanapa kukodi yule tunamjua anavyoweza kutumika kwa vipande vya fedha.....
Gwajima nakuunga mkono sikatai chanjo ila hizi za mrna hapana aisee bora hata zile za wachina na wacuba ila sio huo utupolo wa mrna vaccines wa kuchoma mkachome ila mjue mrna zinagusa mpaka cell, dna,aka vinasaba na genetics hapo ndo noma
Halaf hawatengenezi kwa njia kama zilivyo za surua,polio etc....wao wanatengeneza kwa liteknolojia la mrna ambalo halijawahi kutengeza chanjo yoyote ile hiyo kitu ni hatari mno nenda hata google mkasome....
Mwishoni big up gwajima........umejitahidi sana broo....umeukataa huu ushetani
Ngoja niendelee na safari....tukutane baadae