#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Narudia tena dunya wewe kama babaako ni shoga na kakufundisha nawe uwe shoga usidhani kila mtu anafanya huo upumbavu. Rudini kijijini mkalime badala ya kuendelea kuvalishwa kanga mjini na kupakwa poda.
Hizo chanjo utazinywa na mashoga wenzio.

Watanzania wamesema hawazihitaji.

Kwa sasa wako bize wanachapa kazi [emoji818][emoji818][emoji818]
 
Wewe pia tukuulize una kiwango gani cha Elimu? Kwa nini Elimu yako haikupi kushtuka kuona chanjo isiyokubalika Amerika, Canada, ulaya na aftika ya kusini ndio tupewe sisi!
Jibu swali kama ni mtu mzima kwa kujadili hoja kwa manufaa ya wengi. Elimu yako tafadhali
 
Kabla ya huu ugonjwa hao ndugu na rafiki walikuwa hawafi?
Mkuu covid 19 inasambaa hewani ni hatari sana kulinganisha na aids au maradhi mengine. Ugonjwa unaoweza kusambazwa na mtu mmoja anayepanda ndani ya basi na akawaambukiza watu elfu moja ndani ya siku moja ni wa hatari kuliko maelezo.

Ubishi na ujuaji wetu hauna msaada. Ni kutambua hali halisi iliyopo sasa.
 
Narudia tena dunya wewe kama babaako ni shoga na kakufundisha nawe uwe shoga usidhani kila mtu anafanya huo upumbavu. Rudini kijijini mkalime badala ya kuendelea kuvalishwa kanga mjini na kupakwa poda.
Hahahahaaaaaaa......

Dalali utapata tabu sana na machanjo yako hayo!

Yakichacha sijui utaambia nini mabeberu!
 
Mbona hamjengi maghorofa au madaraja kwa kutumia akili mlizopewa na Mungu?
Mwambie kabisa anakazania akili kapewa na mungu na bado anahangaika kutumia vitu vya wengine badala atengeneze kwa akili alizopewa
 
Tupia kanga kiunoni kisha ujisilibe poda ná rangi ya mdomo wateja wako wanakungoja. Dunya wewe!!
Hahahahaaaaaaa......

Dalali utapata tabu sana na machanjo yako hayo!

Yakichacha sijui utaambia nini mabeberu!
 
Hili suala la Corona twende nalo taratibu, nafikiri miili ya waafrica ime react vizuri kwa ugonjwa huu wa corona. Mwezi huu nimekuwa na investors kutoka Qatar wamekuja Tz na walipimwa negative kwao huko , wamekuja na barakoa kibao nikawapokea bila barakoa na nimekaa nao siku tatu baadae na wao wakaacha kuvaa barakoa na tukawa nao week mbili , siku wanaondoka wakapewa covid certificate wakasafiri, kwao walipofika wakapimwa airport negative, wakasema hatuamini, baada ya week mbili wakaenda kupimwa tena negative, mimi hapa Tz negative, watu wote walio nizunguka negative, nimekuwa najiuliza sikatai tusichukue tahadhari lakini hizi pressure nyingi kutoka nje kuhusu chanjo na kulazimishwa kila mtu achanjwe na kutangaza wagonjwa kuna logic ipi? hii kitu lazima tujadiliane kwa mapana zaidi.
 
Tupia kanga kiunoni kisha ujisilibe poda ná rangi ya mdomo wateja wako wanakungoja. Dunya wewe!!
Hahahahaaaaaaa....

Nasikia wamekudunga chanjo matakoni!

Vipi unajisikiaje hapo nyuma?
 
Watanzania tunapenda sana kusikiliza matapeli na watu wasiojua vitu . Yaani mtu askofu fake anayedai kufufua watu tunamsikiliza badala ya wataalamu halafu mnaulizaga maswali hapa kwanini sisi ni masikini?[emoji848]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] anarudisha misukule ni kweli mzee
 
Kwa kuwa babaako wanamdunga matakoni akakufundisha wakadunge unadhani ni kila mtu? Wahi wateja wako wakakufanye KITOWEO dunya wewe!
Hahahahaaaaaaa....

Nasikia wamekudunga chanjo matakoni!

Vipi unajisikiaje hapo nyuma?
 
Kuna watu wanawashambulia Gwajima na Ndugai ila wao kama sehemu ya Bunge wanatakiwa kupingana na rais bila kuvunja katiba ya nchi.

Lazima tujifunze kuwa na mawazo huru hoja ya Gwajima ila mashiko inatakiwa kujibiwa kwa hoja

Waziri wa Afya aliwaaminisha watu ujinga leo amegeuka anatakiwa kujibu hoja za chanjo kwa undani zaidi ili watu waondoe shaka.

Hoja ya Ndugai pamoja na kuwa sikubaliani naye ila ana haki ya kutoa maoni yake.

Mimi napingana na Mwigulu kubishana na Rais maana yeye ni sehemu ya Serikali ila Gwajima na Ndugai sina sida nao.
Kwenye hili la chanjo kama ndilo unaloliongelea ni suala la kitafiti/kisayansi na kama mtu akichangia walau awe within scientific parameters. Otherwise, hata ukitoa maoni yanakuwa hayana maana kwani unakuwa huna justification au basis yoyote. Kwa mfano, ukisema chanjo siyo salama na ukawa na wasiwasi juu ya ubora wake, at least uwe umeshafanya utafiti zaidi ya ule wa wataalamu wa afya serikalini ili tupime kati ya utafiti wako na wa wataalamu wa afya upi umetumia methodolojia gani hadi kufikia hitimisho la kusema a) chanjo hii ni salama na haina madhara au b) chanjo hii si salama na ina madhara ABC. Nje ya hapo mimi siwezi hata kusikiliza hayo maoni maana naona kama mtu anayatoa kujifurahisha tu.
 
Kwa kuwa Babaako ni boga kakufundisha nawe uwe boga ili mjiuze pamoja usidhani kila mtu anafanya huo ujinga dunya wewe!
Eti Gwajima mtumishi wa Mungu!!! Mungu yupi ZWAZWA wewe! Dikteta Magufuli!?
mzee Gwajima anarudisha hadi misukule
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom