#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Kwa kuwa babaako wanamdunga matakoni akakufundisha wakadunge unadhani ni kila mtu? Wahi wateja wako wakakufanye KITOWEO dunya wewe!
Uache kufakamia machanjo usoyajua utaoza kundu hilo nyau wee!

Unabong'oa na kudungwa michanjo hovyo hovyo huogopi?

Vipi, walikuingizia lile jiti la kichina au walikupimaje?
 
Mambo ya Roho acha yaende kiroho. Anaongoza kundi kubwa la watu anapenda hawavushe.

unapewa chanjo bado utakufa kwa Corona ukipata na pia utaambukizwa Corona, sasa kazi ya Chanjo ni nini mwako.

“Madhara ya hiyo Chanjo yatabaki kwa mhusika na siyo Serikali “ hata hii kauli hauelewi
Siyo yeye hata mi sitachoma na Family yangu
 
Si riziki wewe ná babaako kwa kuwa wahuni wameshawaharibu sasa mnavaa pampers. Ukipita kitaa watu wanashika pua zao kwa jinsi unavyonuka kinyesi. Rudi ukalime kijijini maisha ya mjini huyawezi dunya wewe!!
Uache kufakamia machanjo usoyajua utaoza kundu hilo nyau wee!

Unabong'oa na kudungwa michanjo hovyo hovyo huogopi?

Vipi, walikuingizia lile jiti la kichina au walikupimaje?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ule wa dhalimu mwendazake anaurudisha lini?
Hahahaau[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sawa bwana angeurudisha wa mwendazake kwa mara ya kwanza ningepingana naye hahahaha[emoji3][emoji3][emoji3] just jokes mzee hahah[emoji3][emoji3]
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Kinadharia hilo linawezekana ila hawa Watanzania siyo wa kuikabili serikali na vyombo vyake. DNA yetu haina ujasiri huo hata watufanyie nini. Huo ndiyo ukweli, sorry!

Kwenye hilo sikubaliani na wewe. Hii ni mentality ambayo watu wote hata humu JF wanapaswa kuitoa mawazoni.

Tanzania bora inaanza na wewe. Si sahihi kumlaumu yule au huyu. Kwanini wa kulaumiwa usiwe wewe? Nani awajibike kwa niaba ya nani?

Watu wanakuwa na ukondoo ambao ni lazima kuwasaidia kimawazo kuondokana nao. Wapo kimaslahi zaidi ikiwamo kusaka teuzi. Wanataka matunda ila si ushiriki kwenye kuyatafuta matunda hayo. Huo ni ubinafsi uliopitiliza ambao kila mtu ni shuruti kujihoji.

Wanaogopa kuwaambia ukweli vigogo ukweli hata kutokea kwenye fake IDs. Ukondoo katika ubora wake:

IMG_20210707_084839_278.jpg


Zaidi ni ubinafsi . Wanataka wengine kuwalipia wao gharama. Gharama haziepukiki. Unataka kula nani akulipie?


Taratibu tutaelewana tu.

Hadi chakula kuwiva huhitaji kwanza kutokota vilivyo!
 
Hahahahaha Mwenyezi Mungu Mkubwa Mkuu sala za Watanzania wengi amchukue yule dhalimu akazisikiliza na kuzifanyia kazi. Pamoja na ulinzi wake wa kutisha hawakuweza kufua dafu. Chaliiii!
Hahahaau[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sawa bwana angeurudisha wa mwendazake kwa mara ya kwanza ningepingana naye hahahaha[emoji3][emoji3][emoji3] just jokes mzee hahah[emoji3][emoji3]
 
Mbunge wa bunge la JMT kupitia jimbo la Kawe mh Josephat Gwajima amesema ni balaa kubwa kuchagua Kigeugeu kuwa kiongozi katika jambo lolote lile.

Mkiwa na Kiongozi anayebadilikabadilika kulingana na maslahi yake binafsi basi mjihesabu " mmekwisha" maana yeye anaijua kesho yake tu na siyo kesho yenu, amesema.
Huyu Gwajima ndiye mfadhili wa Sukuma Gang,kundi ambalo limejiapiza kumharibia Mama Samia. Kijembe hiki anakielekeza kwa Samia,na pia kwenye suala la chanjo anamtuhumu Mh. Rais kuwa amevuta mshiko ili kuruhusu chanjo ya Corona,huyu ni mtu hatari sana.
FB_IMG_1618549208269.jpg
 
Si riziki wewe ná babaako kwa kuwa wahuni wameshaharibu sasa mnavaa pampers. Ukipita kitaa watu wanashika pua zao kwa jinsi unavyonuka kinyesi. Rudi ukalime kijijini maisha ya mjini huyawezi dunya wewe!!
Ujinga mtupu.
 
Huyo amesha jijua atakuwa mbuge wa kipindi kimoja tu ndio maana unamuona kelele nyingi.

Na pili mtu mwenye akili timamu unaweza kumsikiliza huyu jamaa hana anacho jua zaidi ya porojo tu nyingi.
 
Mbunge wa bunge la JMT kupitia jimbo la Kawe mh Josephat Gwajima amesema ni balaa kubwa kuchagua Kigeugeu kuwa kiongozi katika jambo lolote lile.

Mkiwa na Kiongozi anayebadilikabadilika kulingana na maslahi yake binafsi basi mjihesabu " mmekwisha" maana yeye anaijua kesho yake tu na siyo kesho yenu, amesema.
Huyu ni chizi
 
Well educated than your entire family. Nenda telegram ka join group linaitwa LA QUINTA COLUMNA utapata information kibao kuhusiana na hizo chanjo...na sio group la waswahili ni hao hao wazungu mnao waamini na kuwaabudu.

Kwamba?

"...na sio group la waswahili ni hao hao wazungu mnao waamini na kuwaabudu."

Madhara ya porojo za mwendazake.

😂😂😂!

Hiiiiii bagosha!
 
Safi sana gwajima!! Hawa wachumia tumbo wanafiki wakubwa!! Wanatudanganya tuchanjwe na kuvaa barakoa, wavae wao na familia zao sisi tuna jina la Yesu lipitalo majina yote
Usitumie vibaya jina la Mkombozi wa Dunia. Swali..begani hauna kovu ya chanjo ya ndui?!
Barakoa utavaa tu, la sivyo kuna maeneo hautaingia. Chanjo ni hiyari yako.
 
Tatizo ni kiongozi aliyepo madarakani, haiwezekani kiongozi mwenye mamlaka makubwa ya nchi uchezewe na ngedere kama kina gwajima halafu ukawachekea tu kwa kisingizio cha eti kutaka kuonekana wewe ni muungwana na mvumilivu.
 
Hahahahaha Mwenyezi Mungu Mkubwa Mkuu sala za Watanzania wengi amchukue yule dhalimu akazisikiliza na kuzifanyia kazi. Pamoja na ulinzi wake wa kutisha hawakuweza kufua dafu. Chaliiii!
hahaaaaaa alisambaza usalama kila kona.alijiona yeye ndo yeye kuna mtu alisema Mungu amshukuru magufuli kwa aliyoyafanya.akafuta uchaguzi mkuu wabunge wote wa chadema akafukuza akateka watu akapiga risasi wapinzani.leo mdude yupo huru nje bora tuongozwe na mwanamke
kuliko magufuli
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom