#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

samahani naomba kuuliza, ikiwa mimi sijachoma na sina mpango wa kuchoma hizo chanjo je nikifamiliana na dem ambaye amechoma hizo MRNA vaccine kutakuwa na effect yoyote kwangu? naomba nielimishwe mapema juu ya hili
 
Chanjo ni hiari. Izingatiwe kuwa, binadamu tunazidi kuongezeka duniani. Inabidi wengine wapungue kiaina. Ile kauli "tutabanana hapahapa" imepitwa na wakati
 
Gwajima ni CCM mwenzangu....

Ila....

Ni mtu mjinga sana.....ndio maana NCHI ZETU tukatenganisha DINI NA UTAWALA.....

Hawa watu wa IMANI KALI za DINI ukiwapa waendeshe IKULU basi ujue TUTAUISHI UJINGA NA UPUMBAVU.....

#TwendeniTukachanjwe
#KaziIendelee
#NchiKwanza
Anza wewe uchanjwe na familia tuone madhar au faida y hiyo chanjo sio unatushawishi baada ya kuhongwa na mabeberu
 
Mtumishi wa Bwana

Nataka ujuwe sipingani na wewe wala sipo kinyume na wewe, nataka nieleze mawazo yangu kuhusu somo lako la leo kuhusu kuchanjwa.

Leo umehubiri kuhusu chanjo kwamba waumini wako wasikubali kuchanjwa, napenda nikufungue macho kidogo uweze kuona,


Nilipozaliwa nikiwa mtoto mchanga kutoka tumboni mwa mama yangu nilichanjwa chanjo tano siku ile ile nazaliwa,na kwa taarifa yako hao wazungu unaowapinga kwa nguvu zote wangependa kuniangamiza wangenimalizia kwenye zile chanjo tano nilizopokea wakati nazaliwa.

Napenda nikusaidie upate kuelewa,dunia hii tunayoishi inaongozwa na watu wachache sana wala hawafiki kumi


Napenda nikufahamishe kabla corona haijaingia kuna watu walikuwa na taarifa,nimekueleza hilo ili ujue nini kinaendelea duniani
chanjo ya corona inatoka kwa wazungu na wao wameonyesha mfano kuanza kuchanjwa wao.

Nataka ujue kama wazungu wana nia mbaya na sisi wangeweza kutumia njia yoyote ile kutumaliza,

Kwa taarifa tupo mikononi mwao na sisi kama waafrica hatuna chance ya kusimama mbele yao kwa kuwa hatuna jambo lolote tulilofanya katika kuchangia maendeleao ya dunia tangu tunajitawala mpaka muda huu

Mtumishi naomba ujuwe kuna dunia,mwili na roho,haya ni mambo matatu yanayotofautiana sana na sijakusikia ukigusia,huu mwili ukipata chanjo hauwezi kuathiri roho kwa sababu kila kitu kinajitegema,kumbuka ukifa roho inatoka ndani ya mwili na huo mwili unabaki kurudishwa mavumbini

Shirika la Afya Duniani linasimami chanjo dunia nzima unaingilia kati na kuanza kuwanyima washarika wako wasichanjwe naona kuna hatari inakujia hapo mbele

Corona inabadilika kila siku vipi kikija kirusi ambacho waliochanjwa wanapona na ambao wamechanjwa wanakufa??
Utaficha wapi uso wako Mtumishi wa Bwana

Nikiwa kama mkristo aliyeokoka nakushauri ubiri ujumbe wa aina nyingine kwa sababu haya mambo ni magumu kidogo,kumbuka ni watumishi wangapi wa Mungu wamekufa kwa corona?


Rudisha pesa za corona kwa wenyewe zitakuponza
 
Anza wewe uchanjwe na familia tuone madhar au faida y hiyo chanjo sio unatushawishi baada ya kuhongwa na mabeberu
Sawa mkuu nitaanza kwani si lazima kuchanjwa....ni hiyari....

Ila......

Tuuseme ujinga wa GWAJIMA....ujinga wake wa "kuzusha" uongo kiimani bila ya USHAHIDI WA KISAYANSI NA KITAFITI.....

Kwani Gwajima amefanya TAFITI?!!

Ama ameoteshwa?!!
Mbona haoteshwi dawa ya UKIMWI ilihali alisema kuwa YEYE NI MTU WA MBINGUNI NA UGONJWA WA UVIKO HAUTOINGIA TANZANIA!!

Kama aliwadanganya WAJINGA kuhusu hilo ,ni vipi tena WAMUAMINI kwa hili ?!??

#GwajimaAacheHadaaKoko
#GwajimaAacheUnabiiWaKiganga

#NchiKwanza
#JMTKwanza
#ChanjoMuhimu
#KaziIendelee
 
samahani naomba kuuliza, ikiwa mimi sijachoma na sina mpango wa kuchoma hizo chanjo je nikifamiliana na dem ambaye amechoma hizo MRNA vaccine kutakuwa na effect yoyote kwangu? naomba nielimishwe mapema juu ya hili
Kusema kweli mimi bado siwezi kukupa majibu ya moja kwa moja lakin kama hiyo Mrna vaccines itakua na shida au haifai lazima kuna possibility ya kumuathiri hata mtoto atakayezaliwa hapo nimezungumzia ikiwa hiyo mrna vaccine itakua sio safe...maana mpaka sasa haziwa approved zinatumika kama an emergency tu
 
Nipo na gwajima, hizi chanjo hazifai
Nashauri zitumike kuwachoma vijana wa bavicha tu, kwa kuwa hawana umuhimu wowote ule
Hapana hizo chanjo wakawachome makada wa CCM wote na viherehere vyao kuhongwa na mabeberu ili tutolewe kafara
 

Fauci: 99 percent of Americans who died of COVID-19 last month were unvaccinated​

Vaccinations save lives, experts say.
By
Christian Spencer | July 9, 2021


Story at a glance:
  • In June, more than 9 out of 10 Americans, or 99.2 percent, who died from COVID-19 had not gotten vaccinated.
  • The new variant accounts for 50 percent of the nation’s newest cases, and it dominates 80 percent of new cases in some regions.
  • About 67 percent of American adults aged 18 or older have received at least one dose of the vaccine, and only 58 percent are fully vaccinated.
There is a strong correlation between not getting vaccinated and dying inside a hospital because of COVID-19, according to the country’s top public health official.
ca._fauci_smile_gettyimages-1227856235.jpg

Most of the people who died from COVID-19 were unvaccinated, said Anthony Fauci, the director of the National Institute of Allergy and Infectious Diseases and President Biden's chief medical adviser, The Guardian reported.


In June, more than 9 out of 10 Americans, or 99.2 percent, of those who died from COVID-19 had not gotten vaccinated.
In Maryland, 100 percent of patients diagnosed with COVID-19 who died were not vaccinated, with 93 percent of those with new cases or those being hospitalized also are unvaccinated, The Washington Post reported.
With the rise of the new delta variant in certain regions, the urgency of getting vaccinated has been placed in the spotlight once again.
The new variant accounts for 50 percent of the nation’s newest cases, and in some regions it dominates 80 percent of new cases, the Centers for Disease Control and Prevention (CDC) reported in a statement.
The delta or B.1.617.2 variant was first identified in India in December 2020. While current vaccines were not designed to combat this variant, experts say they provide some protection as opposed to not being vaccinated.
President Biden, whose initial goal was to encourage 70 percent of the adult population to receive one vaccination shot by the Fourth of July — which wasn’t quite realized — has reiterated the importance of getting vaccinated
“We can’t get complacent now,” he said during a press briefing. “Millions of Americans are still unvaccinated and unprotected. And because of that, their communities are at risk, their friends are at risk, the people they care about are at risk.”
Data from the CDC shows that about 67 percent of American adults aged 18 or older have received at least one dose of the vaccine, and about 59 percent are fully vaccinated.
The data also reveals that most of the people getting vaccinated are from coastal states on the West Coast and in the Northeast, while southern states are the most resistant.
Vaccine hesitancy is a political issue, stemming from one’s distrust in their government or media, or the belief that receiving life-saving vaccines or practicing socially distancing favors one political party over the other, according to a WaPo-ABC poll.
“The solution is the vaccinations,” said Asa Hutchinson, Republican governor of Arkansas, which has one of the lowest vaccination rates in the country, on CNN’s State of the Union on Sunday. “We’re in a race against this Delta variant, which spreads very fast, and every state is going to be faced with this.”
Hata mimi nisingetarajia maajab ya dr Fauci ambaye ni pro bilgate na huyu amekua promoter wa chanjo za bilgate na ni mtu wa bilgate kwani ulitarajia atazisema vibaya chanjo za kina bilgate za mrna?subutu!!!

Dr fauci wanashirikiana na bilgate toka mwanzo broo kwahiyo usitarajie dr fauci kutoa takwimu za kweli za kuziponda hizo kampuni za chanjo...

Soma hicho kitabu hapo[emoji1313][emoji1313]View attachment 1869376
9781510766808.jpg
 

Fauci: 99 percent of Americans who died of COVID-19 last month were unvaccinated​

Vaccinations save lives, experts say.
By
Christian Spencer | July 9, 2021


Story at a glance:
  • In June, more than 9 out of 10 Americans, or 99.2 percent, who died from COVID-19 had not gotten vaccinated.
  • The new variant accounts for 50 percent of the nation’s newest cases, and it dominates 80 percent of new cases in some regions.
  • About 67 percent of American adults aged 18 or older have received at least one dose of the vaccine, and only 58 percent are fully vaccinated.
There is a strong correlation between not getting vaccinated and dying inside a hospital because of COVID-19, according to the country’s top public health official.
ca._fauci_smile_gettyimages-1227856235.jpg

Most of the people who died from COVID-19 were unvaccinated, said Anthony Fauci, the director of the National Institute of Allergy and Infectious Diseases and President Biden's chief medical adviser, The Guardian reported.


In June, more than 9 out of 10 Americans, or 99.2 percent, of those who died from COVID-19 had not gotten vaccinated.
In Maryland, 100 percent of patients diagnosed with COVID-19 who died were not vaccinated, with 93 percent of those with new cases or those being hospitalized also are unvaccinated, The Washington Post reported.
With the rise of the new delta variant in certain regions, the urgency of getting vaccinated has been placed in the spotlight once again.
The new variant accounts for 50 percent of the nation’s newest cases, and in some regions it dominates 80 percent of new cases, the Centers for Disease Control and Prevention (CDC) reported in a statement.
The delta or B.1.617.2 variant was first identified in India in December 2020. While current vaccines were not designed to combat this variant, experts say they provide some protection as opposed to not being vaccinated.
President Biden, whose initial goal was to encourage 70 percent of the adult population to receive one vaccination shot by the Fourth of July — which wasn’t quite realized — has reiterated the importance of getting vaccinated
“We can’t get complacent now,” he said during a press briefing. “Millions of Americans are still unvaccinated and unprotected. And because of that, their communities are at risk, their friends are at risk, the people they care about are at risk.”
Data from the CDC shows that about 67 percent of American adults aged 18 or older have received at least one dose of the vaccine, and about 59 percent are fully vaccinated.
The data also reveals that most of the people getting vaccinated are from coastal states on the West Coast and in the Northeast, while southern states are the most resistant.
Vaccine hesitancy is a political issue, stemming from one’s distrust in their government or media, or the belief that receiving life-saving vaccines or practicing socially distancing favors one political party over the other, according to a WaPo-ABC poll.
“The solution is the vaccinations,” said Asa Hutchinson, Republican governor of Arkansas, which has one of the lowest vaccination rates in the country, on CNN’s State of the Union on Sunday. “We’re in a race against this Delta variant, which spreads very fast, and every state is going to be faced with this.”
Na usisahau dr fauci yeye mwenyewe ana share kwenye kampuni za chanjo kainvest mamilioni ya dola sasa unatarajia ataongea ukweli ili aharibu biashara yake?
Fact-check: Does Anthony Fauci have millions invested in a coronavirus vaccine?

By Daniel Funke, PolitiFact.com

Posted Ap


[https://www-statesman-com]Dr. Anthony Fauci, director of the National Institute of Allergy and Infectious Diseases, speaks March 31 about the coronavirus in the James Brady Press Briefing Room of the White House. [Alex Brandon/The Associated Press]▲

This piece was originally published on PolitiFact.com on April 15, 2020.

The country's top infectious disease expert is discouraging the use of a potential COVID-19 treatment because he could earn millions of dollars from a vaccine, at least, that's according to a popular Facebook claim.

One post published by an anti-vaccine page on Sunday says Dr. Anthony Fauci, director of the National Institute of Allergy and Infectious Diseases, "stands to lose 100 million dollars" on a coronavirus vaccine from Bill Gates because he invested in it.

"If everyone can be healed with the Malaria drug and a Z pack, there will be no need for the vaccine if we could use drugs already on the market that helps heal 98 percent of the cornovirus (sic) patients," reads the image. "That's why he's been so hesitant to put his seal of approval on this form of treatment that has shown to drastically improve hundreds of people's symptoms."

The post was flagged as part of Facebook's efforts to combat false news and misinformation on its News Feed.

As a member of the White House's coronavirus task force, Fauci has tempered expectations for the use of chloroquine or hydroxychloroquine to treat COVID-19 patients. The drugs, which are used to treat conditions like malaria and lupus, have shown some promise in alleviating coronavirus symptoms, but the research is not conclusive.

PolitiFact has seen a lot of misinformation about public officials' financial interests in hydroxychloroquine. Fauci has become a popular target for coronavirus disinformation, so we wanted to check out this post, too.

The Facebook post draws a false connection between Gates' philanthropy and Fauci's public remarks about hydroxychloroquine. There is no evidence that Fauci is personally financially invested in a coronavirus vaccine, and scientists still don't know if hydroxychloroquine is effective in treating COVID-19.

Gates Foundation supports coronavirus research

The Bill and Melinda Gates Foundation is indirectly supporting the National Institute of Allergy and Infectious Diseases by funding a group that is helping the agency develop a potential coronavirus vaccine. But there is no evidence that Fauci himself stands to profit.

The Gates Foundation said in a Feb. 5 statement that it is investing up to $100 million for "the global response to the 2019 novel coronavirus." That includes efforts aimed at improving detection and treatment of the virus in addition to vaccine development.

"The foundation will commit up to $60 million to accelerate the discovery, development and testing of vaccines, treatments and diagnostics for 2019-nCoV (the formal name for the coronavirus)," the statement reads.

While the Gates Foundation has supported the National Institute of Allergy and Infectious Diseases in the past, the philanthropy told PolitiFact in an email that it does not provide funding to the agency now, even though the agency is currently developing a COVID-19 vaccine.

During his March 11 testimony to the House Oversight and Reform Committee, Fauci said it could take a year and a half to roll out a safe and effective coronavirus vaccine. There are 70 vaccines in development, according to the World Health Organization — three of which are in clinical trials.

The first trial began in mid-March. The potential vaccine was developed by National Institute of Allergy and Infectious Diseases scientists in partnership with pharmaceutical company Moderna, Inc. A search of the Securities Exchange Commission's database, which contains information on publicly traded companies, turned up no documents linking Fauci directly to Moderna.

According to a statement from the National Institutes of Health, which houses the National Institute of Allergy and Infectious Diseases, manufacturing for the potential vaccine was supported by the Coalition for Epidemic Preparedness Innovations, a foundation that funds vaccine research. The Gates Foundation said in its February release that it will allocate some of its research and development funding to the coalition.
 
Na ubaya wa MRNA vaccine ni kwamba madhara yake yapo mpaka miaka 20 baadae tofauti na covid vaccines nyingine ambazo hazitengenezwi ktk format ya mrna
Unaonaje ukitoa takwimu za chanjo zenye ahueni zisizofuata kanuni ya MRNA ili tuanze kuzifuatilia kabla hatujalazimishwa kukinga mabega
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wewe kweli taahira unaenda kuokoteza vitu vya kipumbavu vinavyoandikwa na wahuni wa conservative!?




Haya mimi nisingetarajia maajab ya dr Fauci ambaye ni pro bilgate na huyu amekua promoter wa chanjo za bilgate na ni mtu wa bilgate kwani ulitarajia atazisema vibaya chanjo za kina bilgate za mrna?subutu!!!


Dr fauci wanashirikiana na bilgate toka mwanzo broo kwahiyo usitarajie dr fauci kutoa takwimu za kweli za kuziponda hizo kampuni za chanjo...

Soma hicho kitabu hapo[emoji1313][emoji1313]View attachment 1869376View attachment 1869377
 
hakuna chanjo ilotengenezwa kwa nia mbaya

chanjo zinatengenezwa kwa nia ya kutibu

na kabla hawajaruhusu zitumike huzifanyia majaribio, zinapokutwa hazina sumu na madhara kwa miili ya wanaadam ndipo huruhusiwa zisambazwe na kutumika/kutumiwa.

Vilevile hiyo ni fursa kwa watengenezaji wa chanjo hizo maana huuzwa kwa mataifa mbalimbali, ndo maana kuna makampuni mengi yanayotengeneza chanjo hizo na majina ya chanjo hizo yanatofautiana kulingana na makampuni zinapotengenezewa.

Hivyo msiwe na wasiwasi chanjo zote ni salama kwa matumizi ya wanaadam.
 
Back
Top Bottom