#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Wewe ni mpuuzi huna ujualo umeandika maelfu ya waliopata chanjo wanakufa lakini huna ushahidi wowote ule wa kuthibitisha ulichoandika kuhusu vifo hivyo. Nimekuonyesha ushahidi wa kwamba 99% ya wanaokufa ná Covid kwa sasa ni wale ambao hawajapata chanjo maana yake waliopata ná chanjo ná wanakufa ni 1% lakini bado unaleta UBISHI WAKO wa KIPUMBAVU usio na kichwa wala miguu. Wazushi kama wewe ni watu hatari sana ná hasara kubwa kwa Taifa.
Ukija humu kuandika uzushi wako bila kuwa ná chembe ya ushahidi ujue uongo wako hautavumiliwa. Kadanganye kwingine siyo humu.
Na usisahau dr fauci yeye mwenyewe ana share kwenye kampuni za chanjo kainvest mamilioni ya dola sasa unatarajia ataongea ukweli ili aharibu biashara yake?
Fact-check: Does Anthony Fauci have millions invested in a coronavirus vaccine?

By Daniel Funke, PolitiFact.com

Posted Ap


[https://www-statesman-com]Dr. Anthony Fauci, director of the National Institute of Allergy and Infectious Diseases, speaks March 31 about the coronavirus in the James Brady Press Briefing Room of the White House. [Alex Brandon/The Associated Press]▲

This piece was originally published on PolitiFact.com on April 15, 2020.

The country's top infectious disease expert is discouraging the use of a potential COVID-19 treatment because he could earn millions of dollars from a vaccine, at least, that's according to a popular Facebook claim.

One post published by an anti-vaccine page on Sunday says Dr. Anthony Fauci, director of the National Institute of Allergy and Infectious Diseases, "stands to lose 100 million dollars" on a coronavirus vaccine from Bill Gates because he invested in it.

"If everyone can be healed with the Malaria drug and a Z pack, there will be no need for the vaccine if we could use drugs already on the market that helps heal 98 percent of the cornovirus (sic) patients," reads the image. "That's why he's been so hesitant to put his seal of approval on this form of treatment that has shown to drastically improve hundreds of people's symptoms."

The post was flagged as part of Facebook's efforts to combat false news and misinformation on its News Feed.

As a member of the White House's coronavirus task force, Fauci has tempered expectations for the use of chloroquine or hydroxychloroquine to treat COVID-19 patients. The drugs, which are used to treat conditions like malaria and lupus, have shown some promise in alleviating coronavirus symptoms, but the research is not conclusive.

PolitiFact has seen a lot of misinformation about public officials' financial interests in hydroxychloroquine. Fauci has become a popular target for coronavirus disinformation, so we wanted to check out this post, too.

The Facebook post draws a false connection between Gates' philanthropy and Fauci's public remarks about hydroxychloroquine. There is no evidence that Fauci is personally financially invested in a coronavirus vaccine, and scientists still don't know if hydroxychloroquine is effective in treating COVID-19.

Gates Foundation supports coronavirus research

The Bill and Melinda Gates Foundation is indirectly supporting the National Institute of Allergy and Infectious Diseases by funding a group that is helping the agency develop a potential coronavirus vaccine. But there is no evidence that Fauci himself stands to profit.

The Gates Foundation said in a Feb. 5 statement that it is investing up to $100 million for "the global response to the 2019 novel coronavirus." That includes efforts aimed at improving detection and treatment of the virus in addition to vaccine development.

"The foundation will commit up to $60 million to accelerate the discovery, development and testing of vaccines, treatments and diagnostics for 2019-nCoV (the formal name for the coronavirus)," the statement reads.

While the Gates Foundation has supported the National Institute of Allergy and Infectious Diseases in the past, the philanthropy told PolitiFact in an email that it does not provide funding to the agency now, even though the agency is currently developing a COVID-19 vaccine.

During his March 11 testimony to the House Oversight and Reform Committee, Fauci said it could take a year and a half to roll out a safe and effective coronavirus vaccine. There are 70 vaccines in development, according to the World Health Organization — three of which are in clinical trials.

The first trial began in mid-March. The potential vaccine was developed by National Institute of Allergy and Infectious Diseases scientists in partnership with pharmaceutical company Moderna, Inc. A search of the Securities Exchange Commission's database, which contains information on publicly traded companies, turned up no documents linking Fauci directly to Moderna.

According to a statement from the National Institutes of Health, which houses the National Institute of Allergy and Infectious Diseases, manufacturing for the potential vaccine was supported by the Coalition for Epidemic Preparedness Innovations, a foundation that funds vaccine research. The Gates Foundation said in its February release that it will allocate some of its research and development funding to the coalition.
 
Kuna chanjo inayotoa "sterilizing immunity" hiyo inazuia kabisa mwili kupata maambukizi ya ugonjwa, ni chanjo chache sana zenye uwezo huo hata kwa magonjwa tuliyoyazoea kama kifua kikuu ndio maana hata watu waliopata chanjo zamani ya kifua kikuu wanaweza kupata maambukizi mapya , kuumwa na kuambukiza wengine.

Chanjo yoyote ikiwemo hata hii ya corona inategemea na mwili wa mtu, wapo ambao itawalinda kabisa wasipate maambukizi, wapo ambao watapata maambukizi lakini hautokuwa ugonjwa mkali unaohitaji mtu apelekwe hospitali, unakuwa tu kama mafua ya kawaida tu, ama uchovu (chanjo zilizopitishwa na WHO zinafanya hili kwa ufanisi mkubwa) hivyo dhumuni la chanjo ni kuongeza kinga ya mwili kuuwezesha upambane na hivyo virusi huku kukiwa na uhakika wa asilimia kubwa (kama sio 100%) kwamba mtu hatofariki kutokana na maambukizi hayo.

Tatizo la kutokufuata miongozo ya wataalamu kwa ugonjwa kama COVID-19 baada ya kupata chanjo ni kwamba unaweza ukapata virusi wala usijue wakati mwili wako unapambana kwa ufanisi wa juu lakini ukawa unaambukiza wale ambao bado hawajapata chanjo. Pale ambapo asilimia kubwa ya wananchi hasa wale waliopo kwenye makundi hatarishi wakiwa wamepatiwa chanjo ni rahisi kuachana na hayo masharti ya kujilinda na corona.
Ndio umekaririshwa hivyo!? Kwa taarifa yako, wapo waliochanjwa wengi tu wamekufa kwa corona!
Hiyo siyo chanjo, ni majaribio ya human genetic engineering 😭!
 
Inasikitisha kiwango cha upotoshaji kuhusu Covid na chanjo yake, mleta mada fahamu kwamba mRNA sio concept mpya, ni maelekezo tu ya kuifundisha cell namna ya kutengeneza viral protein ambayo mwili utaitambua kama adui na kuweka kinga(immunity) Hata chanjo ambazo sio mRNA based, wanatumia kirusi halisi kinaingia kwenye cell kinazalisha mRNA then cycle inaendelea kma kawaida. Hapa ni kwamba wame-weza kusythesize mRNA bila kutumia kirusi chochote, hii ni medical breakthrough sio manyaunyau ya waafrika.

Mi sio daktari wala mtaalamu wa medicine but nimeamua kujielelimisha kwa kina tu out of interest nikaelewa ABCs zote, wenzetu wanatumia maarifa na utafiti usiku na mchana watatoa suluhisho la matatizo, waafrica kazi kulalamika tu, inasikitisha.
 
Pumbavu zakoKigwangala na udaktari wako una msaada gani kwa Watanzania kuhusu Corona? Wewe ni mtu wa kukopi na kupest tu huna capacity ya kufanya tafiti na kuleta majibu chanya, ulikopi na kupest hadi hotuma ya Joe Biden kwenye kuomba ridhaa ya urais 2015, hiyo inadhihirisha kichwa box unaishia kutupia picha kwenye mitandao tu. Huyo Makamba ndo anyamaze kabisa hajui lolote kuhusu chanjo ya Covid badala yake anajipendekeza tu kwa mama kutafuta uteuzi
Hahahaaaa.... !
 
Mods naomba msiunganishe hii thread naomba ibaki hapa hapa...tuanze sasa...

Nipo nadrive ila nimepaki kwanza pembeni niandike captions kidogo tu

Kwanza kabisa kuna mtu atauliza mbona tulichanjwa toka utotoni sasa kwanini tupinge hii Nikuelemishe kidogo tu
Umechanjwa chanjo utotoni sawa hata mm pia ...hivi unajua kwamba chanjo za covid za pfzer,modena na j&j zimetengenezwa tofauti na chanjo nyingine zitengenezwavyo hizo tatu zimetengenezwa na mrna technology ambayo inaingizwa kwenye cell,vinasaba dna pamoja na genetics ambavyo ni hatari ndo maana watu wanapinga......

Gwajima yupo sahihi kwa asilimia 100%

Gwajima kaongea fact tupu nakubaliana nae kabisa

Chanjo za MRNA kama pfzer,moderna na JJ hazifai ni hatari tupu

Chanjo zote ni emergency authorization na hazijathibitishwa

Zote zinahesabiwa kama majaribio tu na madhara ni juu yako wewe mtumiaji

Chanjo hizi za mrna ni uongo mwingi mnooo na hata uwezo wake wa kuzuia version mpya ya virus ni mdogo unazuia mno ile ya wimbi la mwanzo tu

Wanaokufa wamechoma mrna vaccine ni maelfu huko marekani lakini media za mabeberu hawatangazi japo kwa uchache mnooo

Gwajima kaongea fact kabisa hata hao wanaojimwambafy wamechoma na wamegeuka pro chanjo kama yule wa ndege za tanapa kukodi yule tunamjua anavyoweza kutumika kwa vipande vya fedha.....

Gwajima nakuunga mkono sikatai chanjo ila hizi za mrna hapana aisee bora hata zile za wachina na wacuba ila sio huo utupolo wa mrna vaccines wa kuchoma mkachome ila mjue mrna zinagusa mpaka cell, dna,aka vinasaba na genetics hapo ndo noma

Halaf hawatengenezi kwa njia kama zilivyo za surua,polio etc....wao wanatengeneza kwa liteknolojia la mrna ambalo halijawahi kutengeza chanjo yoyote ile hiyo kitu ni hatari mno nenda hata google mkasome....

Mwishoni big up gwajima........umejitahidi sana broo....umeukataa huu ushetani

Ngoja niendelee na safari....tukutane baadae
Haya tueleze Bwana Molecular Biologist hiyo mRNA inaingia vipi kwenye cytoplasm na kuungana na DNA.
Au ndiyo akina amfifiro????
 
Wacha propaganda!!!!!kama unachoma and you are still wear mask, unachoma bado unaugua refer case ya waziri wa afya wa uingereza, unachoma unapata side effects kibao....wapo waliochoma hizo mrna vaccine wanapata hadi magnetic problem....Waliochoma astrazeneca wakapata blood clot.......unayajua madhara ya milele ya hizo mrna vaccines?Hivi unajua mrna vaccines zinaweza kuvuruga hadi ule utu wa mtu na akawa kitu cha ajabu na ikabadilisha mfumo wote wa mwili maana Genetics,dna na cell ndo kila kitu kwa mtu?
Mkuu, pana wengine hukurupuka tu kupinga hoja bila tafakari. Toka mwanzo umesema HUPINGI hanjo ila si hizi za MRNA! Jamaa kakomaa tu na chanjo chanjo huyu hana tofauti na wanaotupigia kelele za CORONA kana kwamba kirusi hiki kimeanza 2019. Kirusi cha korona kipo duniani hapa miaka nendarudi ila sasa tunapigana na hiki cha CoVid19.
 
PURE LIES! sasa kama wataalamu wanakwambia hata kama umechanja bado ni muhimu kuvaa masks unataka kuwapinga? Kwa utaalamu upi uliokuwa katika PANDEMIC diseases hadi upinge? Usivae mask wala usipate chanjo soon utamfuata mwendazake. Kifo unakijua na makaburi pia unayajua lakini USIPOTOSHE kwa kuandika uongo humu.
Wewe kwani unavaa mask kama urembo au unavaa ili kijikinga na ugonjwa? Kama hivyo ndivyo ipi maana ya kuchanjwa ficha ujinga wako basi ndugu yetu
 
Mburula hawawezi kuamini, kama watu walioambukizwa korona wakapona bado wanaweza kuambukizwa tena na kuugua ndani ya kipindi kifupi, hiyo chanjo itasaidia nini zaidi ya kujidunga sumu.....
 
ukimpeleka mahakamani askofu Gwagima anaweza kukushinda kiurahisi sana

1.Tangia chanjo zimetolewa nchini ,hakuna hata siku moja watu au wazazi walosaini consent form .sasa hii ya corona unaambiwa usaini consent form.na kama ile niliyoiona ikizunguka matandaoni ni ya kweli hata mimi siko tiari kuchoma sindano hiyo .Ati ......madhara yatakayoijiyokeza baada ya chanjo serikali isihussike ?? how and why?.Hili nitatizo kubwa kwa wasomi amabao wanajua research .serikali na CCM wawe makini kumjibu askofu Gwajima vinginevyo waweza kujikuta matatani.


2.Tutofautishe consent form ya kufanyiwa operesheni na ile niliyoiona mitandaoni kama kweli ilitolewa na serikali.inaleta mashaka.mashaka yamesababishwa

3.wanaopinga chanjo hii siyo Tanzania peke yake.Hata America wapo ndo maana mpaka sasa waliyochanjwa kule USA ni milioni 161 tu .sasa unaweza kuona acceptance bado ni ndogo sana

4.the vaccine is only 65% effective .sasa kwenye reseach sijajuja kama hii ni statistically significant.

5.we have passed through phase one and two without vaccine .yes people died.but what about this phase 3.People who are against this vaccine have passed through phase one and two .so to me they may have right to go against this RNA vaccine

6.tumeruhusu uhuru wa kuongea .sasa tuyaogelee .the consequences ndiyo hizooo
 
GWAJIMA ANAWASIWASI NA CHANJO YA CORONA TUU! LABDA NI KWA UJINGA WAKE AU KAAMUA KUIPINGA SERIKALI KWA UJEURI TUU.

Kwa Mkono wa, Robert Heriel.

Nimeiona Clip inayomuonyesha Ndugu Gwajima akitoa maoni yake Kanisani kwake kuhusu Masuala ya Chanjo ya Corona.

Katika Hotuba yake hiyo, Gwajima alitoa maudhui yaliyolenga kuwashawishi waumini na wasikilizaji wake kuwa wasikubali Chanjo ya Corona mpaka pale Madaktari wa kitanzania watakapo fanya uchunguzi wa contents akimaanisha Gradients au Chemical composition zilizopo kwenye Chanjo hiyo.

Kauli za Gwajima mbali na kushawishi waumini wake na waliokuwa wakimsikiliza, pia zililenga kutishia na kuwaogopesha baadhi ya watendaji katika sekta ya Afya, Kwa kuwataja Madaktari watakaohusika kuipitisha chanjo hiyo.
Gwajima alitoa kauli ambazo Mimi niliziona za kipuuzi na kitoto, kwani Kwa. Uelewa wake alidhani mungu anayemuamini yeye basi ni mungu wa watu wengine.

Gwajima kupitia kauli yake ya kutisha Madaktari namlimgamisha na Wale masheikhe waliomtishia Afande Sele wakidhani mungu wao ananguvu ya kufanya atakavyo Kwa watu wote Kama afanyavyo kwao. Jambo ambalo ni uongo.

Nikiachana na mambo ya Imani ili nisiguse makundi ya waaminio. Naomba nirejee kwenye hoja.

Gwajima anaongea Kama mtu asiyemtaalamu, anayebebwa na upepo wa propaganda za kitoto na watu wasioenda shule.
Na Kama kaenda shule basi elimu yake itakuwa na Shaka kubwa Sana, sio ajabu Mbunge Msukuma akiwakejeli wasomi ikiwa ndio akili zao zipo Kama hivi.

Gwajima lazima aelewe kuwa ishu ya Corona ipo kitabibu zaidi kuliko porojo zake au Siasa ambazo ni kuongea tuu.

Kuwaambia Madaktari ati wachunguze contents zilizopo ndani ya Chanjo ya Corona ni kujaribu Kueleza kuwa Madaktari WA nchi hii hawajui wajibu na kazi Yao.

Gwajima anataka kuwaambia Waumini na wasikilizaji wake kuwa, Madaktari wa Tanzania huwaga hawafanyagi uchunguzi katika madawa yanayotoka nje.

Gwajima anafikiri kuwa Madaktari WA Tanzania wanaongozwa na Teolojia inayomuongoza yeye ambayo ni Tawi la Falsafa ambayo Wachungaji huitumia kuwafundisha watu habari za Mungu, Jambo ambalo sio kweli. Madaktari huongozwa na Sayansi zaidi kuliko masuala dhahania.

Gwajima anajifanya anaakili mbele ya waumini na wasikilizaji wake na hawapi nafasi ya kufikiri kuliko upeo ili aonekane kaongea hoja yenye manufaa wakati Kwa akili ndogo ni kuwa ameongea pasipo kufikiri vizuri.

Kama Gwajima angetoa nafasi ya kuulizwa maswali huenda angejidharau pale pale na kujiona ameongea vitu visivyopaswa kuzungumzwa na mtu Kama yeye.
Mfano wa maswali;

1. Tangu nchi imepata Uhuru, ni lini Madaktari walitaja contents zilizopo kwenye madawa yatokayo nje au hata Chanjo ambazo tulichanjwa?

2. Kwa nini Gwajima Hana wasiwasi na Dawa zingine Kama vile ARVs, chanjo wapigwazo watoto wachanga, au wamama wajawazito, Kwa nini iwe Chanjo ya Korona na sio hizo?

3. Gwajima amegusia suala la biashara imejiingiza kwenye suala la Chanjo ya Corona, yupo sahihi. Ni Ugonjwa upo ambao sio biashara?
Na ni Huduma gani isiyobiashara Kwa sasa? Mbona hata kwenye dini biashara imejiingiza, yeye anaona Kwa wenzake haoni upande wake.

Gwajima alikuwa anaelezea Jambo ambalo Hana Uelewa nalo Kwa sababu yeye sio Daktari, hivyo kujifanya anaamrisha mambo asiyo na Uelewa nayo ni Kama kujivua nguo mbele za watu.

Gwajima sijui hajui au anafanya ukaidi, mambo mengi tunayoyatumia iwe Kwa kula au kutumia kawaida yanatoka nchi za nje, Kwa hao hao Wazungu. Hivyo Kama ni kutumaliza wangetumaliza hata kabla Gwajima mwenyewe hajazaliwa.

Gwajima anaweza akawa na hoja lakini uwasilishaji wake umekuwa wakijinga Kwa sababu maoni yake anajaribu kuyalazimisha na kutisha watu, huku akielezea mambo asiyo na utaalamu nayo.

Mahali ninapoungana na Gwajima;
Ninaungana na Gwajima ile siku alipompinga Mbowe kuhusu kauli yake kuwa Chanjo iwe Lazima,
Gwajima anajaribu kuifichua tabia ya Mbowe ya udikteta ya kulazimisha Chanjo ya Corona Kwa wote badala ya kutumia Demokrasia.

Hata hivyo Gwajima naye anajisahau, anataka kulazimisha watu wakatae Chanjo ya Corona badala ya kuruhusu demokrasia Kama Tamko la serikali lilivyoelekeza kuwa; Chanjo ya Corona ni Hiyari.
Anayetaka akapigwe, asiyetaka aache.

Gwajima usiwaze Kama mtu asiye na Uelewa wa mambo.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
MOROGORO
 
... hataki chanjo akae pembeni sio kuwatakia vifo walio tayari kuipata. Jinga sana yule askofu magumashi mbunge kilaza wa CCM.
 
Nashkuru katika uzi wako wote hujalinajisi jina 'Askofu' .
Nilidhani utam-refer kama 'Askofu Gwajima' ila hujafanya hivyo.

Napendekeza pia neno 'Mheshimiwa' liheshimiwe, tusilitumie hovyo hovyo kwa hawa wahuni wa ccm.

Hatuwezi kumuita 'Askofu' mtu asiyekuwa hata na chembe ya maadili achilia mbali ucha Mungu/utumishi
 
... "nileteeni Gwajima! Nireteeeeni Gwajiiima! Nireteeeeeeeeni Geajimaaaaaaa!". Connect dots! Tunaposema Katiba Mpya watu wachaguliwe kwa sifa badala ya ubabaishaji.
 
Nashkuru katika uzi wako wote hujalinajisi jina 'Askofu' .
Nilidhani utam-refer kama 'Askofu Gwajima' ila hujafanya hivyo.

Napendekeza pia neno 'Mheshimiwa' liheshimiwe, tusilitumie hovyo hovyo kwa hawa wahuni wa ccm.

Hatuwezi kumuita 'Askofu' mtu asiyekuwa hata na chembe ya maadili achilia mbali ucha Mungu/utumishi

Ndio Mkuu, nimezingatia hayo. Nisije dhalilisha Kazi za watu
 
Back
Top Bottom