Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninmt
Waziri kaolewa na mdogo was mchungaji gwajima
[/QU
maaniSilikumbuki jina , na undugu wao Ni baba zao ndio tumbo.moja yaan baba mkubwa na mdogoMdogo wake Gwajima (PhD) anaitwa nani?
Uviko inaelekea kua ni dini sasa inabidi uamini na imani yako itakuponya. 😂😂Huku chanjo, kule CDC inatoa maelekezo mapya kua hata kama umechanjwa vaa barakoa iwe nje ama ndani, social distance kama kawaida na sanitize.
Serikali inategemea kuchanja watu 12M, tutanye hii chanjo ni effective na salama 100%, lakini bado wanasema wataalam kua bado hata kama umechanjwa unaweza kuambukizwa ila hutapata matatizo makubwa kama ambae hajaambukizwa, sasa kuchanja 12M people unaacha 48M hawajachanjwa, maana yake hawa 48M wanaweza kuwaambukiza hawa 12M waliochanjwa na bado nchi nzima ikawa na covid.
Hii covid na chanjo issue bado ni sarakasi zisizo na maana.
Man and sister in law, doroth kaolewa kwa akima gwajimaGwajima (PhD) na Dorothy Gwajima (Dr) Hawa watu ni ndugu ?
Atakuwa amesahau,kliniki ya utotoni kuna kadi au fomu na inarekodi,chanjo,na maendeleo ya mtoto hata uzito na hatua za ukuaji,au nasema uongo ndugu zangu?Ibada inaendelea.
Askofu Gwajima amesema kamati ya Corona ilipendekeza wananchi washawishiwe na serikali kuvhagua kuchanjwa ama LA na yeye Gwajima amechagua LA niko sahihi.
Rais Samia amechagua kuchanja naye yuko sahihi.
Msinigombanishe na mwenyekiti wangu wa chama.
Shemeji Kula kaka hayupoMan and sister in law, doroth kaolewa kwa akima gwajima
Tena sarakasi inachezwa juu ya transform ya umeme wa wenye mabodygardHuku chanjo, kule CDC inatoa maelekezo mapya kua hata kama umechanjwa vaa barakoa iwe nje ama ndani, social distance kama kawaida na sanitize.
Serikali inategemea kuchanja watu 12M, tutanye hii chanjo ni effective na salama 100%, lakini bado wanasema wataalam kua bado hata kama umechanjwa unaweza kuambukizwa ila hutapata matatizo makubwa kama ambae hajaambukizwa, sasa kuchanja 12M people unaacha 48M hawajachanjwa, maana yake hawa 48M wanaweza kuwaambukiza hawa 12M waliochanjwa na bado nchi nzima ikawa na covid.
Hii covid na chanjo issue bado ni sarakasi zisizo na maana.
Gwajima (PhD) na Dorothy Gwajima (Dr) Hawa watu ni ndugu ?
Kadi ya clinic inajazwa na nesi bwashee!Atakuwa amesahau,kliniki ya utotoni kuna kadi au fomu na inarekodi,chanjo,na maendeleo ya mtoto hata uzito na hatua za ukuaji,au nasema uongo ndugu zangu?
Wote!Hivi kati ya hao wawili ni nani Gwajima?
Advocate Methusela Gwajima. Hapatani kabisa na kaka yake. Mara nyingi kampinga wazi wazi kabisa. Na yeye aligombea kawe CCM kwenye mchakato.Mdogo wake Gwajima (PhD) anaitwa nani?
Ibada inaendelea.
Askofu Gwajima amesema kamati ya Corona ilipendekeza wananchi washawishiwe na serikali kuvhagua kuchanjwa ama LA na yeye Gwajima amechagua LA niko sahihi.
Rais Samia amechagua kuchanja naye yuko sahihi.
Msinigombanishe na mwenyekiti wangu wa chama.
Anatoa ufafanuzi makini sana.
Amesema 2014 alitabiri kutengenezwa virusi hivi!
Wangeoana tu hawa magwajima hii couples ingefaa sanaGwajima (PhD) na Dorothy Gwajima (Dr) Hawa watu ni ndugu ?
Alisema viongozi walioamua kuchanja akili zao zimeenda likizo, sasa nani anamchonganisha na mwenyekiti wake🤣Ameanza kupiga U turn….. Tapeli mkubwa
Advocate Methusela Gwajima. Hapatani kabisa na kaka yake. Mara nyingi kampinga wazi wazi kabisa. Na yeye aligombea kawe CCM kwenye mchakato.
Gwajima ni game changer...!!! Ndo mtu pekee aliyebaki kuwa na mawazo mbadala despite overwhelming criticism