Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kumbe dhalimu wako ana wafuasi kwa mamilioni hapa tz?
Toka lini shetani akakosa wafuasi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe dhalimu wako ana wafuasi kwa mamilioni hapa tz?
Umemalizia vzr tusubiri tuone. But hao waliotuletea chanjo ya Homa ya Ini ndio waliotuletea chanjo ya Corona. Sioni kwanini watudanganye wakati kwenye Homa ya Ini walitwambia ukweli.Sasa kama haizuii corona unachanja ili iweje?
Nimechaja homa ya ini, I am done with that once and forever, siwezi kuambukizwa homa ya ini wala kuathirika na homa ya inni hadi nakufa.
Sasa hii ya kuambiwa utajikwa lakini hata ukianguka hutaumia ni usanii mtupu. Unajua nitaangukia nini?
Huko ulaya cases za walio chanjwa kuugua n kufariki kwa covid zinaongezeka kila siku.
Hapo wanasema December kutakua na wave 4, inaweza kua dangerous kuliko hii Delta, je hizi chanjo zitaweza? Tusubiri tuone.
🐒👇Alisema wapi na lini?
Si mlikuwa mnasema anachukiwa sana hapa nchini?Toka lini shetani akakosa wafuasi?
Sasa hapo ndo pazuri.Ibada inaendelea.
Askofu Gwajima amesema kamati ya Corona ilipendekeza wananchi washawishiwe na serikali kuvhagua kuchanjwa ama LA na yeye Gwajima amechagua LA niko sahihi.
Rais Samia amechagua kuchanja naye yuko sahihi.
Msinigombanishe na mwenyekiti wangu wa chama.
========
Josephat Gwajima: Viongozi wanaoangalia kuweni makini, kuna wachonganishi hapa. Mimi naweka msimamo nchi iwe salama, watanzania wawe na afya, chama changu kipite salama.
Kanisa ambalo halina ufumbuzi dhidi ya Korona, litoeni msaada liwe hospitali, sasa la nini?
Mimi nawaza, wakakupima joto likawa juu, wanakwambia uingie usiingie? Sasa wale walioingia wanaombewa? Ni kashfa kwenye ufamlme wa Yesu kubwa sana.
Nitabaki risasi ya mwisho kwenye uwanja wa vita, mimi wa kwanza kuweka mguu uwanja wa mapambano na nitakuwa wa mwisho kuondoa. I will not quit from the battle front, Never.
Hii nchi sasa hivi, Rais wake ni mama Samia Suluhu Hassan, Mungu ndio kamchagua. Biblia inasema hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, lazima tumsupport.
Ni Rais anaetawala wakati mgumu sana kuliko wowote, kwanza kuna Rais mwingine alikuwa anaelekea hivi, bwana John alikuwa ana tabia zake. Wale ambao hamjajua, John alikuwa akikupigia simu, utafikiri kuzimu imefunguliwa leo. Kuna watu wengine wanasema tu Magufuli Magufuli, Magufuli alikuwa akikupigia simu unasema Mungu wangu, utafikiri kiama imeanza, akiongea anaongea kwa Mamlaka, akikupigia simu anajua vyote.
Huyo ameshaondoka, tuangalie nchi yetu na hatima yetu kwasasa. Tumwambie maam Samia tunakubeba twende na wewe, tupeleke ila tumesema, kuchanjwa wengine tumekataa, wengine wamekubali lakini mama twende.
Nenda kwenye nyumba za ibada vita anavyopigwa shetani, halafu fuatilia alivyo na nguvu.Si mlikuwa mnasema anachukiwa sana hapa nchini?
Sasa hao wafuasi wanatoka wapi
Kwa hiyo ana wafuasi wengi sana tofauti na mlivyokuwa mnatuamisha?Nenda kwenye nyumba za ibada vita anavyopigwa shetani, halafu fuatilia alivyo na nguvu.
Nani hakuwa na wafuasi? Hata Iddy Amini alikuwa nao. Kama dhalimu alikuwa na wafuasi wengi hivyo, mbona alinajisi uchaguzi?Kwa hiyo ana wafuasi wengi sana tofauti na mlivyokuwa mnatuamisha?
Gwaboy hana PhD, ni tapeli tu anayeishi kiujanja ujanja!.Gwajima (PhD) na Dorothy Gwajima (Dr) Hawa watu ni ndugu ?
Sasa mbona unajichanganya?Nani hakuwa na wafuasi? Hata Iddy Amini alikuwa nao. Kama dhalimu alikuwa na wafuasi wengi hivyo, mbona alinajisi uchaguzi?
Ila hakua kigeugeu kama gwajima,Daudi alimtumikia MUNGU na bado alikuwa mwanasiasa
NB:MIMI NI TIMU MAGUFULI JANA,LEO,KESHO NA HATA MILELE.
Alisaidiwa kushinda kwa goli la mkonoSasa mbona unajichanganya?
Unasema ana wafuasi, mara tena kama alikuwa na wafuasi wengi mbona alinajisi uchaguzi!
Wewe unashika lipi? Alikuwa na wafuasi au hakuwa nao kama mnavyosema alikuwa anachukiwa?
Jaribu kuwa muelewa kuwa na wafuasi sio point, hata shetani anawafuasi sio ajabu sanaKwa hiyo ana wafuasi wengi sana tofauti na mlivyokuwa mnatuamisha?
Ibada inaendelea.
Askofu Gwajima amesema kamati ya Corona ilipendekeza wananchi washawishiwe na serikali kuvhagua kuchanjwa ama LA na yeye Gwajima amechagua LA niko sahihi.
Rais Samia amechagua kuchanja naye yuko sahihi.
Msinigombanishe na mwenyekiti wangu wa chama.
========
Josephat Gwajima: Viongozi wanaoangalia kuweni makini, kuna wachonganishi hapa. Mimi naweka msimamo nchi iwe salama, watanzania wawe na afya, chama changu kipite salama.
Kanisa ambalo halina ufumbuzi dhidi ya Korona, litoeni msaada liwe hospitali, sasa la nini?
Mimi nawaza, wakakupima joto likawa juu, wanakwambia uingie usiingie? Sasa wale walioingia wanaombewa? Ni kashfa kwenye ufamlme wa Yesu kubwa sana.
Nitabaki risasi ya mwisho kwenye uwanja wa vita, mimi wa kwanza kuweka mguu uwanja wa mapambano na nitakuwa wa mwisho kuondoa. I will not quit from the battle front, Never.
Hii nchi sasa hivi, Rais wake ni mama Samia Suluhu Hassan, Mungu ndio kamchagua. Biblia inasema hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, lazima tumsupport.
Ni Rais anaetawala wakati mgumu sana kuliko wowote, kwanza kuna Rais mwingine alikuwa anaelekea hivi, bwana John alikuwa ana tabia zake. Wale ambao hamjajua, John alikuwa akikupigia simu, utafikiri kuzimu imefunguliwa leo. Kuna watu wengine wanasema tu Magufuli Magufuli, Magufuli alikuwa akikupigia simu unasema Mungu wangu, utafikiri kiama imeanza, akiongea anaongea kwa Mamlaka, akikupigia simu anajua vyote.
Huyo ameshaondoka, tuangalie nchi yetu na hatima yetu kwasasa. Tumwambie maam Samia tunakubeba twende na wewe, tupeleke ila tumesema, kuchanjwa wengine tumekataa, wengine wamekubali lakini mama twende.
Leo alijipanga kukaa katikati,, alikuwa akijikana na kuendelea kuchomeke dhamira yake. Kimsingi bado anashawishi watu wasichanje. Kisa legacy ya gengeAnatoa ufafanuzi makini sana.
Amesema 2014 alitabiri kutengenezwa virusi hivi!
Si mlisema alichukiwa sana?Jaribu kuwa muelewa kuwa na wafuasi sio point, hata shetani anawafuasi sio ajabu sana
😃😂😁😀😄😅😃😃Ameanza kupiga U turn. Tapeli mkubwa