#COVID19 Askofu Gwajima: Nitabaki risasi ya mwisho kwenye uwanja wa vita, kuchanjwa wengine tumekataa

Umemalizia vzr tusubiri tuone. But hao waliotuletea chanjo ya Homa ya Ini ndio waliotuletea chanjo ya Corona. Sioni kwanini watudanganye wakati kwenye Homa ya Ini walitwambia ukweli.
 
Alisema wapi na lini?
πŸ’πŸ‘‡
 
Sasa hapo ndo pazuri.

Abaki apo hapo..


Lakini atashangaa!!!

Na ndipo waamini wake wote wataunga mstari kuchanja..

Kama liishivyo kina lake Takatifu...

Nakumbuka issue ya Umeme kutopita kwenye nyaya za Umeme wakati fulani....

Guys

God is the first Scientist....he doesn't support nonsense....
 
Nenda kwenye nyumba za ibada vita anavyopigwa shetani, halafu fuatilia alivyo na nguvu.
Kwa hiyo ana wafuasi wengi sana tofauti na mlivyokuwa mnatuamisha?
 
Kwa hiyo ana wafuasi wengi sana tofauti na mlivyokuwa mnatuamisha?
Nani hakuwa na wafuasi? Hata Iddy Amini alikuwa nao. Kama dhalimu alikuwa na wafuasi wengi hivyo, mbona alinajisi uchaguzi?
 
Nani hakuwa na wafuasi? Hata Iddy Amini alikuwa nao. Kama dhalimu alikuwa na wafuasi wengi hivyo, mbona alinajisi uchaguzi?
Sasa mbona unajichanganya?

Unasema ana wafuasi, mara tena kama alikuwa na wafuasi wengi mbona alinajisi uchaguzi!

Wewe unashika lipi? Alikuwa na wafuasi au hakuwa nao kama mnavyosema alikuwa anachukiwa?
 
Sasa mbona unajichanganya?

Unasema ana wafuasi, mara tena kama alikuwa na wafuasi wengi mbona alinajisi uchaguzi!

Wewe unashika lipi? Alikuwa na wafuasi au hakuwa nao kama mnavyosema alikuwa anachukiwa?
Alisaidiwa kushinda kwa goli la mkono
 

Hongera kwake Gwajima

Amejua kumpa Mungu nafasi yake anayoihubiri kila siku na ameilinda imani

Kazi kwatu
 
Anadai chanjo tumepewa bure, ni mwongo sana huyu jamaa.
Amedai kuna wanaolazimisha watu kuchoma chanjo- akiambiwa amtaje hata mmoja hawezi, huu ndo uzushi sasa. Bado anashawishi waumini wake wasichanje akidai ni familia yake.
Anhangaika sana.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ukweli kuhusu ujio wa chanjo za UVIKO 19 huku kitaa. Bado watu wengi wanatembea na msimamo wa mwendazake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…