Askofu Gwajima: Siasa isiyomsaidia mwananchi wa kawaida na kumuachia ufukara haina maana yoyote

Askofu Gwajima: Siasa isiyomsaidia mwananchi wa kawaida na kumuachia ufukara haina maana yoyote

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge wa Kawe mh askofu Gwajima amesema siasa isiyomsaidia mwananchi wa kawaida na kumuachia ufukara haina maana yoyote na amewataka wanasiasa kuwatendea haki wananchi.

Gwajima alikuwa akihojiwa na waandishi wa habari katika sherehe za maazimisho ya miaka 44 ya kuzaliwa CCM Mabwepande nje kidogo ya jiji la Dar es salaam.

Gwajima ameitaka CCM na vyama vingine vya siasa kuwaletea maendeleo ya kweli watanzania.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
 
Jimbo la Kawe sasa hivi halina mwenyewe, Mdee ameshaharibu kwa tamaa zake na wenzake, na Gwajima haaminiki, 2025 akitokea anayejielewa kupitia Chadema analibeba vizuri tu, huyo Gwajima kushinda labda wafanye "mipango" yao tena, nimesema Chadema kwasababu CCM haipo Tanzania hii ni maigizo ya Tume tu ndio yanawafanya waendelee kusikika.
 
Mbunge wa Kawe mh askofu Gwajima amesema siasa isiyomsaidia mwananchi wa kawaida na kumuachia ufukara haina maana yoyote na amewataka wanasiasa kuwatendea haki wananchi.

Gwajima alikuwa akihojiwa na waandishi wa habari katika sherehe za maazimisho ya miaka 44 ya kuzaliwa CCM Mabwepande nje kidogo ya jiji la Dar es salaam.

Gwajima ameitaka CCM na vyama vingine vya siasa kuwaletea maendeleo ya kweli watanzania.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

Nadhani kikubwa alitakiwa awape mbinu waumini wake jinsi ya kutafuta hela maana asilimia kubwa ya waumini wake ni fukara kwa asilimia kubwa
 
𝐍𝐚 𝐔𝐚𝐬𝐤𝐨𝐟𝐮 𝐮𝐬𝐢𝐨𝐦𝐬𝐚𝐢𝐝𝐢𝐚 𝐦𝐮𝐮𝐦𝐢𝐧𝐢 𝐤𝐢𝐫𝐨𝐡𝐨 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐮𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐮𝐣𝐢𝐧𝐠𝐚 𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐮𝐦𝐢𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐡𝐚𝐮𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐯𝐲𝐨 𝐬𝐢𝐚𝐬𝐚 𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐢𝐟𝐮 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐛𝐮𝐝𝐮 𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐚𝐦𝐥𝐚𝐤𝐚 𝐡𝐚𝐮𝐧𝐚 𝐌𝐚𝐚𝐧𝐚!
 
Hongera kwa kuangalia ITV, sisi wengine tumeachana na hzo TV za kumsujudia jiwe.
 
𝐍𝐚 𝐔𝐚𝐬𝐤𝐨𝐟𝐮 𝐮𝐬𝐢𝐨𝐦𝐬𝐚𝐢𝐝𝐢𝐚 𝐦𝐮𝐮𝐦𝐢𝐧𝐢 𝐤𝐢𝐫𝐨𝐡𝐨 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐮𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐮𝐣𝐢𝐧𝐠𝐚 𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐮𝐦𝐢𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐡𝐚𝐮𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐯𝐲𝐨 𝐬𝐢𝐚𝐬𝐚 𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐢𝐟𝐮 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐛𝐮𝐝𝐮 𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐚𝐦𝐥𝐚𝐤𝐚 𝐡𝐚𝐮𝐧𝐚 𝐌𝐚𝐚𝐧𝐚!

℅;=¢}¢÷÷×¢[℅℅^^π√|×¶={}℅™®^^¥£€£¶¶ 😎😎😆😍🤗😆😘😘😅😎😀😂😀😂😀
 
℅;=¢}¢÷÷×¢[℅℅^^π√|×¶={}℅™®^^¥£€£¶¶ 😎😎😆😍🤗😆😘😘😅😎😀😂😀😂😀
𝐍𝐝𝐮𝐠𝐮 𝐲𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐤𝐮𝐞𝐥𝐞𝐰𝐚 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢😂😂😂😂😂😂😂
 
𝐍𝐝𝐮𝐠𝐮 𝐲𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐤𝐮𝐞𝐥𝐞𝐰𝐚 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢😂😂😂😂😂😂😂
¶¶¶¶°=π¥€€ ©®¢|🎎🎎🎎😂😂😁😅
 
¶¶¶¶°=π¥€€ ©®¢|🎎🎎🎎😂😂😁😅
𝐍𝐚𝐣𝐮𝐚 𝐡𝐚𝐩𝐨 𝐦𝐨𝐲𝐨𝐧𝐢 𝐮𝐧𝐚𝐬𝐞𝐦𝐚 #𝐌𝐢𝐭𝐚𝐧𝐨𝐓𝐞𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐡𝐚𝐡𝐡𝐚𝐚𝐚𝐚𝐚
 
ttuvgghh bbhhobnn bjhhyrexdd.bnmm''&-;!(. Yttewwffyyt jikkkutrgya🙆🙆😀
𝐍𝐚𝐣𝐮𝐚 𝐡𝐚𝐩𝐨 𝐦𝐨𝐲𝐨𝐧𝐢 𝐮𝐧𝐚𝐬𝐞𝐦𝐚 #𝐌𝐢𝐭𝐚𝐧𝐨𝐓𝐞𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐡𝐚𝐡𝐡𝐚𝐚𝐚𝐚𝐚
 
Back
Top Bottom