johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimekuelewa mkuu!Kwangu mimi naona kura ni mahusiano kura ni affiliation, kura ni mtazamo, kura ni matarajio ya ndani, kura ni falsafa ya wakati husika na abadani kura sio umeme wala maji wala barabara wala Maendeleo kama wengi wanavyoamini.
Kuna watu hupata kura nyingi tu na hawajafanya lolote.
Ndio maana labda wenzetu wanatuambia sauti ya wengi ni sauti ya Mungu maana mwenye kura nyingi halali ndio anatakiwa kuwa mshindi.
Mathalani huu waweza kuwa mjadala mzito eti
Yuko kifalsafa zaidi!Hajaeleweka mantiki yake ni nini kutoa hayo maneno!!
Chid kashachemsha aache kutia huruma ,yeye kama alichanganya dini na siasa muwache imcost,kitendo cha kuwatukana waislamu huko nyuma jibu lake atalipata tar 28 oct saa sita mchana tu.Yuko kifalsafa zaidi!
Aliwatukana Waislamu wa wapi bwashee?Chid kashachemsha aache kutia huruma ,yeye kama alichanganya dini na siasa muwache imcost,kitendo cha kuwatukana waislamu huko nyuma jibu lake atalipata tar 28 oct saa sita mchana tu.
Hafai kuwa kiongozi hata dak mojaChid kashachemsha aache kutia huruma ,yeye kama alichanganya dini na siasa muwache imcost,kitendo cha kuwatukana waislamu huko nyuma jibu lake atalipata tar 28 oct saa sita mchana tu.
Halima lazima akae mwaka huu!Huyu tapeli wa dini
Ndio anakwenda bungeni hivyo na moja kwa moja ataukwaa uspika wa bunge.Hafai kuwa kiongozi hata dak moja
Wewe jitoe ufahamu tu mkuu ,clip kibao za kuwatukana waislamu zipo mitandaoni na pia hata ile ya kumla kondoo nayo utasema ipo wapi? Chid HATOBOI Jimbo la kawe wakazi wake wengi wanajielewa.Aliwatukana Waislamu wa wapi bwashee?
Labda bunge la panyaNdio anakwenda bungeni hivyo na moja kwa moja ataukwaa uspika wa bunge.
Apangalo mola.......!
SureWewe jitoe ufahamu tu mkuu ,clip kibao za kuwatukana waislamu zipo mitandaoni na pia hata ile ya kumla kondoo nayo utasema ipo wapi? Chid HATOBOI Jimbo la kawe wakazi wake wengi wanajielewa.
Na sijui ile misukule yake pale ubungo ataibebea mbeleko gani maana ameshaikana imani aliyokuwa anaitumia kuwachukulia hela kiboya.Chid kashachemsha aache kutia huruma ,yeye kama alichanganya dini na siasa muwache imcost,kitendo cha kuwatukana waislamu huko nyuma jibu lake atalipata tar 28 oct saa sita mchana tu.
Askofu Gwajima amechimba visima misikitini wewe unataka kumzushia nini?Wewe jitoe ufahamu tu mkuu ,clip kibao za kuwatukana waislamu zipo mitandaoni na pia hata ile ya kumla kondoo nayo utasema ipo wapi? Chid HATOBOI Jimbo la kawe wakazi wake wengi wanajielewa.
Askofu Rashid Gwajima utamjua vizuri October 28 bwashee!Huyo Rashid na wewe wote ni wa kupuuzwa tu