johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Askofu Gwajima amesema mtu kuwa mwanasiasa mahiri hakuhitaji kwenda darasani kwani uanasiasa ni kipaji " taranta" Siasa ni swala zima la kuwaletea watu maendeleo ikiwemo maji, umeme, elimu na Huduma za afya na kuyaweza hayo siyo lazima uwende darasani, amesisitiza.
Askofu Gwajima pia amesema kuna tofauti kati ya majukwaa ya kidini na majukwaa ya kisiasa na kwamba mambo ya kisiasa huwezi kuyapeleka kwenye imani za watu ( dini) lakini mafundisho ya dini unaweza kuyapeleka kwenye siasa ili watu wawe na amani na upendo utamalaki.
Chanzo: Channel ten!
Maendeleo hayana vyama!
Askofu Gwajima pia amesema kuna tofauti kati ya majukwaa ya kidini na majukwaa ya kisiasa na kwamba mambo ya kisiasa huwezi kuyapeleka kwenye imani za watu ( dini) lakini mafundisho ya dini unaweza kuyapeleka kwenye siasa ili watu wawe na amani na upendo utamalaki.
Chanzo: Channel ten!
Maendeleo hayana vyama!