Askofu Gwajima, umekosea kujifanya mwamba na mwanaume, uwe mfano kwa jamii na heshimu familia yako. Uliyofanya na unayoyatetea si sahihi

Gwajiboy anaogopwa na Serikali kwenye hili CCM ishapasuka rasmi, timu mwendazake inakuja kwa kasi kubwa kuelekea 2025.
 
Gwajima siyo mfanyakazi au hana qualification inayohusu afya, anaenda off point kila anachoongea: Kwanza kasema kuwa covid-19, Corona virus december 2019, haijatosha kasema ile chanjo inaenda kwenye MRA (what the heck is that?), baadaye akasema hiyo chanjo inaingia kwenye DNA halafu inakubadilisha kuwa mazombies (Hivi kuna mtu mwenye akili timamu atakayezungumza pumba kama hili takataka?), akaendelea kuwa chanjo ya coronavirus-19 inatengenezwa kwa kutumia wadudu wa corona waliodhoofishwa (Siyo kweli, hao ni wadudu tofauti wa jamii ya chimpanzee wanaojulikana kama " adenovirus" ambao siyo lazima wawe wametoka kwenye chimps bali wanaweza kutengenezwa, refer Biology yako ya form IV kama umesoma hiyo, kuwa wanachotengeneza ni protein ya hao wadudu na wala si mdudu kamili, hayo ya attenuation yapo katika level nyingine. Kama mtu hafahamu anyamaze awaachie wanaofahamu...Huyo Gwajima ana uwezo gani wa ku-argue kitu asichokijua?
 
Yaani Hafai😩😩Ndio madhara Uaskofu wa Kujibandika. Ngoja umrudi yeye na anaowaongoza. Askofu ana Majibu kama ya Makuli wa Bandarini au Wamama wacheza Vigodoro!?!
 
Wewe kama nani kumkemea Gwajima? Wewe ndio Mwenye akili na maarifa?
Tulia. Demokrasia ndio hiyo
 
Yeye si doctor
 
Pamoja na kutokukubaliana na mambo mengi anayosema Gwajima lakini namwona ni mtu anayeshughulisha akili ukilinganisha na wanaoshindana naye. Gwajima anajibu kashfa kubwa kwa reasoning ndogo na hachafuliwi kirahisi rahisi.
 
Hivi ni kwa nini tuhangaishwe na minor issues kiasi hiko!? Jibuni hoja zake kama alivyohoji tangu awali akiwa bungeni!
 
Kujikwaa na kuanguka ktk safari siyo mwisho wa safari! Whether alifanya au lah, it is in the past, anajua makubariano yake na Mungu wake! Kama alifanya alishatubia na kumove on! Ww inayebakia kupaangalia alipoangukia utachelewa sana!
Learn to move on...let meet at the other side of the river okay😜😄😃😀🙏!
 

Hizo ni hoja zake za msingi ila kila mtu naona wanazikwepa sijui anapoanza kuziongea hizi wanaziba masikio!!? Wampinge kwa hoja, kama tuna waziri na naibu ambaye wote ni madaktari na bado wanashindwa hoja na maswali ya gwajiboy kitaalam na kuanza kumshambulia kwa hayo mambo yake mengine mi naona si sawa.

Ndio labda tuseme huyo mchungaji ana scandals na mambo yake machafu aliyofanya huko nyuma, ila hatuwezi tukayaacha hayo nyuma japo kwa mara moja na kujibu hii sintofahamu ya chanjo na usalama wake!!? Mkumbuke tu watu hawamtizami huyo pastor pekee yake online kuna taarifa mob zinazohusu hii chanjo na zinazungua mno.

Jibuni hoja zake🥱 wacha aendelee kukikawasha[emoji16]
 
Kwani hujui akili za wasukuma? Ubishi, kiburi na ubabe nikama Jiwe tu
 
Mie tofauti na nyie japo siabudu kwake
Mimi kama namuelewa vile
Mfano nimeangalia ile siku wanakabidhi ripoti ya uchaguzi mkuu nikaona karibu viongozi wakuu wote wamevaa barakoa na wao wote wamechanjwa

Ila nitoe tu rai wapendwa humu jamii forum kila mwanachama ana Uhuru wa kutoa hoja zake kama ukiipenda changia au hujaipenda basi wewe pita tu sio busara kuanza kutukanana
 
Gwajima kaupiga mwingi kwenye kamati🤣😀na maisha yanaendelea..
Your browser is not able to display this video.
 
Kina Petro aliyemkana yesu ni wengi. Huku ni kutawaliwa na woga. Ni wazi walitenda kwa kumwogopa mfalme sasa mfalme yule hayupo wanamkana.
Hivi watu hawaelewi hili hata wenyewe walimwogopa na vyeo walivyo navyo na matokeo ya matendo ya yule mfalme
 
Tunajua Chadema mna hasira na askofu kwa sababu aliwashughulikia sana toka muonyeshe msimamo wenu wa corona. Mnataka tu akomolewe kwa hoja za kuuunga unga.
Sidhani, kimsingi kuna ukweli wa hoja ambazo majibu yapo lakini haayawezi kutolewa. Waziri asingeweza kwenda kinyume na bosi wake na hata sasa hawezi tena.
Tatizo anahemka bila utafiti wa kisayansi.
Kama askofu angesimamia msingi wa imani pekee. lakini analeta kujua sayansi ambayo hana hata tone.
 
kama hukumuelewa ungetuuliza hapa tunaomfuatiliaga, usirukie gari kwa mbele ndugu yangu. Wewe huna kipimo cha uaskofu wa Gwajima. Walokole sio wajinga wala sio wapole kama unavyodhania, ukimjaribu anakupa majibu unayoyataka alafu moyo wako ufurahi😛😛😛😛. Nakushauri uwe unamfuatilia uanze sasa. hasa uanzie ibada za Kanisani kwake ndipo utaelewa...hilo la mrembo alishalijia zamani sana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…