Askofu Gwajima umekuwa na maadui wengi usisahau kutembea na bastola yako yasije yakajirudia ya kipindi kile

Askofu Gwajima umekuwa na maadui wengi usisahau kutembea na bastola yako yasije yakajirudia ya kipindi kile

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Kipindi kile mwaka 2015 ulizua taharuki kubwa baada ya kuvunja sheria na kuagiza wasaidizi wako wakuletee bastola yako ukiwa hospitali.

Sasa hivi ni wazi kabisa kwa msimamo wako dhidi ya chanjo umeshajenga maadui katika jamii.

Kwa sababu na wewe ni muoga kuondokewa na uhai wako basi ni bora uwe unatembea na bastola yako kuliko kuiacha home alafu ukaagiza watu wakuletee.

Weka mkwasa kiunoni kisha chapa kazi kama kawaida.
 
Mwanzo walisema mpuuzi huyo, apuuzwe. Sijui kimewashinda Nini!

Chanjo zimedoda muda wa expire unawadia, sijui watawadunga hivyohivyo.

Badala ya kubadilika mbinu kufanikisha watu kuchanjwa wanaendelea na mbinu ileile ya kumsakama Gwajima. Hata mkimfunga kabisa hamutafanikiwa.
 
Kipindi kile mwaka 2015 ulizua taharuki kubwa baada ya kuvunja sheria na kuagiza wasaidizi wako wakuletee bastola yako ukiwa hospitali.

Sasa hivi ni wazi kabisa kwa msimamo wako dhidi ya chanjo umeshajenga maadui katika jamii.

Kwa sababu na wewe ni muoga kuondokewa na uhai wako basi ni bora uwe unatembea na bastola yako kuliko kuiacha home alafu ukaagiza watu wakuletee.

Weka mkwasa kiunoni kisha chapa kazi kama kawaida.
Si ni Askofu bastola ya nini tena?
 
Atembee na SMG hata AK47 hakuna mwenye shida naye labda mkewe.
 
Mwanzo walisema mpuuzi huyo, apuuzwe. Sijui kimewashinda Nini!

Chanjo zimedoda muda wa expire unawadia, sijui watawadunga hivyohivyo.

Badala ya kubadilika mbinu kufanikisha watu kuchanjwa wanaendelea na mbinu ileile ya kumsakama Gwajima. Hata mkimfunga kabisa hamutafanikiwa.
Zina expire lini na sisi tujue
 
Kipindi kile mwaka 2015 ulizua taharuki kubwa baada ya kuvunja sheria na kuagiza wasaidizi wako wakuletee bastola yako ukiwa hospitali.

Sasa hivi ni wazi kabisa kwa msimamo wako dhidi ya chanjo umeshajenga maadui katika jamii.

Kwa sababu na wewe ni muoga kuondokewa na uhai wako basi ni bora uwe unatembea na bastola yako kuliko kuiacha home alafu ukaagiza watu wakuletee.

Weka mkwasa kiunoni kisha chapa kazi kama kawaida.
Acha ujinga, Gwajima anawafuasi wengi wengi sana tena sana na analindwa na Mungu! So wewe pimbi nyamaza.
 
Mwanzo walisema mpuuzi huyo, apuuzwe. Sijui kimewashinda Nini!

Chanjo zimedoda muda wa expire unawadia, sijui watawadunga hivyohivyo.

Badala ya kubadilika mbinu kufanikisha watu kuchanjwa wanaendelea na mbinu ileile ya kumsakama Gwajima. Hata mkimfunga kabisa hamutafanikiwa.
Kibwetere ajikite kufufua misukule awaache wataalam wa afya wafanye kazi zao.
 
Hahaha mataga mnaruka na kukanyagana.

Kibwetere jana ameshukiwa kama mwewe 🤣
Wale wabunge 3 ndo unasema hao?
Jabali kutoka Mbinguni lipo tayari kwa lolote.Wanabaki kutupiana mpira tu.

Aliyeagiza aiitwe kamati ya maadili yamemshinda yeye analazimisha mihimili mingine ichukue hatua.

Je hao CCM hawajayasikia maneno ya Gwajima? Kwanini hwakuchukua hatua? Au Ndugai ni msemaji wa chama?
Je Ana amri juu ya vyombo vya usalama hata kuagiza akamatwe hata Kama Hana kosa?
 
Back
Top Bottom