Askofu Gwajima usitumie viti vya ukumbi wa mahojiano

Askofu Gwajima usitumie viti vya ukumbi wa mahojiano

Jasusi Mbobezi

Senior Member
Joined
May 17, 2020
Posts
195
Reaction score
851
Habari za asubuhi,

Napenda kumpongeza Askofu Gwajima kwa kupiga chenga ya kisigino pale alipokwepa kutumia kiti alicho wekewa. Napenda kumshauri yafuatayo atakapokwenda kesho.

1. Asikae kwenye viti vya pale mapokezi ikiwezekana asimame nje mpaka aje kuitwa.

2. Viti atakavyovikuta pembeni asiviamini kama vipi aje na chakwake, kuhusu microphone achukue ya mjumbe mwingine na aiweke kitambaa chenye unyevu.

3. Asishikane mkono na mtu wala asikaribiane na mtu.
 
NB. JamiiForums wanazingua sana, mwezi wapili mwanzoni niliandika uzi kuwatahadharisha viongozi wa serikali kuchukua tahadhari yaani wasile sehemu moja wala kulala sehemu 1 wala kuwa na kijiwe kimoja wasije wakategewa sumu na kusingizia COVID, JF walifuta uzi as if wanahusika na mbinu hizo chafu.
Hizi ni tuhuma nzito ! JF do the needful
 
Inaweza kushindwa si unaona jana imefeli
Brother tulia hujui unalolisema. System inaweza isiwe imara kwenye mambo mengine ila si mambo kama hayo.

Yule alifanya vile jana kwa ajili ya kuwaondoa wale watu mchezoni, alitaka kuwa-win kabla ya yote na ndiyo maana akaingia akiwa na confidence ya juu akitaka abadilishiwe kiti na kipaza sauti.

Angalia alivyofika kitu cha kwanza anakaa kwa kukunja 4 ni wazi alitaka kuwaondoa mchezoni. Huwezi kuitwa kwenye kamati ya maadili wategemee uje na ile confidence na tena uchore 4 mbele yao.
 
Corona inaambukizwa kwa hewa nani mpuuzi atakaa chumba kimoja tena kwenye AC akijua kuna kitu kimepandikizwa Covid
Ingekuwa hewa basi kwenye daladala na mabasi ya abirua ingeenea sana. Corona inaambukizwa kwa njia ya maji maji kutoka kwa mtu mwenye ugonjwa kupitia pua na mdomo.
 
Back
Top Bottom