Askofu Gwajima usitumie viti vya ukumbi wa mahojiano

Askofu Gwajima usitumie viti vya ukumbi wa mahojiano

Zile za jana ni MBWEMBWE tu. Hivi unadhani SYSTEM ikitaka kufuta mtu katika uso wa NCHI au DUNIA itashindwa?
Uhenda huko sahihi.

Ni kama vile system ingetaka kumwondoa Lissu, angeondoka taratibu na ugonjwa wa pressure! Na tusisingizie vile vijamaa vilivyopiga risasi zaidi ya 18 wakakosa target eti vimetumwa na system!
 
Zile za jana ni MBWEMBWE tu. Hivi unadhani SYSTEM ikitaka kufuta mtu katika uso wa NCHI au DUNIA itashindwa?
. Si kila mtu anabebwa kikondoo!. Mfano iko mingi. Tena sitaki kuyoangea haya mambo. Wewe ishia hapa hapa. Kama wewe huna ufahamu, usjiweke kuwa ni rula ya dunia. Uelewa wako unaishia hapa. Usinijibu kwa sababu ninajua utakachokuja nacho. Sitaki dhambi.
 
Uhenda huko sahihi.

Ni kama vile system ingetaka kumwondoa Lissu, angeondoka taratibu na ugonjwa wa pressure! Na tusisingizie vile vijamaa vilivyopiga risasi zaidi ya 18 wakakosa target eti vimetumwa na system!
Sema kama ungelitaka kumwondoa wewe!. What do you know about these things? Jamani tumieni MB zenu vizuri.
 
. Si kila mtu anabebwa kikondoo!. Mfano iko mingi. Tena sitaki kuyoangea haya mambo. Wewe ishia hapa hapa. Kama wewe huna ufahamu, usjiweke kuwa ni rula ya dunia. Uelewa wako unaishia hapa. Usinijibu kwa sababu ninajua utakachokuja nacho. Sitaki dhambi.
Hujatosha kuniambia nisikujibu. Hili linaloandika hapa ni JABALI siyo jitu puuzi na lenye uoga kama wewe.

Nimekujibu nasubiri kuona huo UHARO uliokubana.
 
Yeye ndie Mbunge pekee aliyeingia bungeni kwa aina yake na hayumbishwi na upepo wa namna yoyote neno moja kwake nalo ni hili MUNGU anayemtumikia azidi kumlinda na ampe maisha marefu ili siku atakapokuja kupumzika kwenye siasa na dini asimulie mambo aliyoyatenda nyakati hizo lizokuwa kijana kwa watoto wa watoto wake pia ashuhudie na vizazi vijavyo kwamba yeye katka utawala wake alisimamia haki na hakuwa mtu wa kuyumbishwa yumbishwa kwenye misimamo yake na ndie mtu pekee aliyejitoa muhanga kutetea watanzania gwajima Mungu akuweke
🙏
🙏
🙏
🙏
 
Unazungumziaje kuhusu shambulio la Lissu? System ilimfuta katika uso wa dunia?

NB: Kama unaamini kuwa yupo Mungu, basi amini pia system inaweza kushindwa.
Sikuwahi kusikia popote pale kuwa Lissu alishambuliwa hii habari mpya kwangu.

Hilo shambulizi lilitokea wapi na lini? Nitakuwa mbali na ulimwengu wa habari na matukio kama ishu kubwa hivi ilinipita bila kujua.
 
Back
Top Bottom