Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhenda huko sahihi.Zile za jana ni MBWEMBWE tu. Hivi unadhani SYSTEM ikitaka kufuta mtu katika uso wa NCHI au DUNIA itashindwa?
Hii hii ya kugharimia ugaidi kwa laki sita, tena kwa awamu mbalimbali???System ya Nchi yoyote ile hata Haiti ikikutaka kama uko mikononi mwao unaanguka
. Si kila mtu anabebwa kikondoo!. Mfano iko mingi. Tena sitaki kuyoangea haya mambo. Wewe ishia hapa hapa. Kama wewe huna ufahamu, usjiweke kuwa ni rula ya dunia. Uelewa wako unaishia hapa. Usinijibu kwa sababu ninajua utakachokuja nacho. Sitaki dhambi.Zile za jana ni MBWEMBWE tu. Hivi unadhani SYSTEM ikitaka kufuta mtu katika uso wa NCHI au DUNIA itashindwa?
Pamoja na kuifuta ila bado inaonekana kwenye quoteWameshafuta hiyo aya niliyo watuhumu ndo ujue hili jukwaa limegeuka sikuhizi
Sema kama ungelitaka kumwondoa wewe!. What do you know about these things? Jamani tumieni MB zenu vizuri.Uhenda huko sahihi.
Ni kama vile system ingetaka kumwondoa Lissu, angeondoka taratibu na ugonjwa wa pressure! Na tusisingizie vile vijamaa vilivyopiga risasi zaidi ya 18 wakakosa target eti vimetumwa na system!
Jana wametoka droo mpambano unaendelea dalili watapiga penalty.Kwani anarudi tena?
Hujatosha kuniambia nisikujibu. Hili linaloandika hapa ni JABALI siyo jitu puuzi na lenye uoga kama wewe.. Si kila mtu anabebwa kikondoo!. Mfano iko mingi. Tena sitaki kuyoangea haya mambo. Wewe ishia hapa hapa. Kama wewe huna ufahamu, usjiweke kuwa ni rula ya dunia. Uelewa wako unaishia hapa. Usinijibu kwa sababu ninajua utakachokuja nacho. Sitaki dhambi.
Kwani imeshindwa mara ngapi?Zile za jana ni MBWEMBWE tu. Hivi unadhani SYSTEM ikitaka kufuta mtu katika uso wa NCHI au DUNIA itashindwa?
Mmeshindwa kufananisha system ya Chama na Serikali.Kwani imeshindwa mara ngapi?
Mmeshindwa kufananisha system ya
Mungu ni mkuu kuliko H.squads mimi nimeshuhudia...we endelea kushadadia system hazishindwiMmeshindwa kufananisha system ya Chama na Serikali.
Haishindwi, ila angalau waangaike kidogo , NJIA za kukwepa mitego yao zipo nyingi,Zile za jana ni MBWEMBWE tu. Hivi unadhani SYSTEM ikitaka kufuta mtu katika uso wa NCHI au DUNIA itashindwa?
Hizo ulizoshuhudia ni system za Bongo movie director akiwa Vicent Kigosi.Mungu ni mkuu kuliko H.squads mimi nimeshuhudia...we endelea kushadadia system hazishindwi
Sawa endelea kuwa deluded.Hizo ulizoshuhudia ni system za Bongo movie director akiwa Vicent Kigosi.
Lengo lako wafute post yangu mkuu, ama!Pamoja na kuifuta ila bado inaonekana kwenye quote
Nawe endelea kuamini katika njia ya uongo uliyopita mara moja na ukajua ndiyo njia pekee.Sawa endelea kuwa deluded.
Unazungumziaje kuhusu shambulio la Lissu? System ilimfuta katika uso wa dunia?Zile za jana ni MBWEMBWE tu. Hivi unadhani SYSTEM ikitaka kufuta mtu katika uso wa NCHI au DUNIA itashindwa?
Sikuwahi kusikia popote pale kuwa Lissu alishambuliwa hii habari mpya kwangu.Unazungumziaje kuhusu shambulio la Lissu? System ilimfuta katika uso wa dunia?
NB: Kama unaamini kuwa yupo Mungu, basi amini pia system inaweza kushindwa.