Askofu Gwajima usitumie viti vya ukumbi wa mahojiano

Askofu Gwajima usitumie viti vya ukumbi wa mahojiano

Mbona Kinana na Makamba walichora 4 mbele ya Katibu mkuu Dr Bashiru!!

Ukiwa na fedha 4 unachora popote pale.
Hahahahah Gwajima hategemei kula yake itoke CCM kule yupo for fun tu sababu anaupenda umaarufu na umaarufu raha yake uwe na pesa ๐Ÿ˜… sio unakuwa star mavi mavi unatokea kwenye slums za kiwalani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Zile za jana ni mbwembwe tu. Hivi unadhani system ikitaka kufuta mtu katika uso wa nchi au dunia itashindwa?
Labda wewe hujui historia ya dunia hii...

System za dunia hii zilishindwa kumfuta Yesu Kristo...

Na au hujui kuwa huyu binadamu Yesu Kristo alipitia njia hii hii apitiayo Mch. Gwajima na wachungaji wengine wa kweli...?

Unawakumbuka manabii na mitume watu kina Eliya, Elisha, Paul, Petro na wengine..?

System zilishindwa kuwaangamiza kabla ya wakati wa Mungu kufika...

Jibu la hoja yako kwa ufupi ni kuwa: SYSTEM HAIWEZI...!!!!
 
Sikuwahi kusikia popote pale kuwa Lissu alishambuliwa hii habari mpya kwangu.

Hilo shambulizi lilitokea wapi na lini? Nitakuwa mbali na ulimwengu wa habari na matukio kama ishu kubwa hivi ilinipita bila kujua.
Acha kujianika MATAKO wazi wewe.
 
Lissu kawa blacklisted, hawezi kupata msaada serikalini, bungeni wala mahakamani.

Wazungu zaidi ya kutoa hifadhi sidhani kama kuna kitu cha ziada watatoa. Itakuwa vile vile kama Kambona, utakaa huko huko mpaka unakufa basi.

Na kibaya zaidi huko nje alhakuna anayekujua kwahiyo huwezi kupata heshima kama nyumbani wanakokujua vizuri.
Umeandika huku unakunya kichakani?
Kuwa makini na mqundu, kuna nyoka
 
Ashakuambia yeye ni Jasusi la mbinguni

Ova
 
Lissu kawa blacklisted, hawezi kupata msaada serikalini, bungeni wala mahakamani.

Wazungu zaidi ya kutoa hifadhi sidhani kama kuna kitu cha ziada watatoa. Itakuwa vile vile kama Kambona, utakaa huko huko mpaka unakufa basi.

Na kibaya zaidi huko nje alhakuna anayekujua kwahiyo huwezi kupata heshima kama nyumbani wanakokujua vizuri.
Blacklisted na immigration ilimpatia passport mpya ya kielektroniki? Na alipewa fomu za kugombea Urais? Leo hii akirudi CCM anapewa Uwaziri au AG asubuhi tu!!

Kina waitara si tuliambiwa walitumika na Mbowe kumuua Wangwe..... Leo hii wapo CCM wamepewa Uwaziri!!!

U know nothing about politics young man.... not everyone has a price tag.
 
Blacklisted na immigration ilimpatia passport mpya ya kielektroniki? Na alipewa fomu za kugombea Urais? Leo hii akirudi CCM anapewa Uwaziri au AG asubuhi tu!!

Kina waitara si tuliambiwa walitumika na Mbowe kumuua Wangwe..... Leo hii wapo CCM wamepewa Uwaziri!!!

U know nothing about politics young man.... not everyone has a price tag.
Mimi naongelea vitu vingine na wewe unaleta stori nyingine
 
Kuna upuuzi mwingi humu unasemwa - eti system ikitaka kukuua au kukufanya chochote haiwezi kushindwa!! Ni ujinga na uwendawazimi wa hali ya juu. Hivi system ni nini? Nani anaumda hiyo system?

Watu wanapoongelea system, wanaongelea TISS. TISS ni chombo cha Serikali, kija upungufu wa weledi, uzembe, na makosa mengi kama vilivyo vyombo vingi vya Serikali. Kwa nchi yetu taasisi za Serikali ndizo zinazoongoza kwa uzembe, upungufu wa ujuzi na weledi. Serikali yetu haijawahi kuwa na ufanisi wa jambo lolote. Kwenye biashara ilishindwa, kwenye utawala wa sheria imeshindwa, kwenye sera nzuri za uchumi imeshindwa, kwenye kutengeneza ajira imeshindwa, kwenye ujenzi wa uchumi imeshindwa, halafu ikawe na weledi wa hali ya juu huko TISS pekee?

Hawa watu wa TISS tunao mitaani mwetu, uwezo wao mdogo kimafunzo, kielimu na kiakili tunaufahamu. Ndiyo hao unasema wakitaka jambo, hawawezi kushindwa?
 
Mimi naongelea vitu vingine na wewe unaleta stori nyingine
Blacklist unalinganisha na case ya Kambona??? Lissu aliondoka kwa utashi wake wala hakuwa deported au kukimbia kesi sasa kivp aishi nje mpka afie huko?? Kama alikaa nchini miezi kibao na akamface JPM bila uoga na hamkumfanya kitu ndio aishi ugenini mpaka kifo??

Toeni cowardice zenu hapa..... Mlidai akikanyaga tu nchini atapigwa risasi. He's alive and kicking, and I assure you Lissu atarudi and there's nothing you can do about it.
 
Bila kufuta post yako, hicho uichoomba kifutwe halafu wewe ukakiquote kitaendelea kuonekana.
Nimetafisirika vibaya basi, mimi nilihitaji JF itoe ufafanuzi kwa kujibu tuhuma hizo na si kufuta! Here we dare to openly talk.
 
Zile za jana ni mbwembwe tu. Hivi unadhani system ikitaka kufuta mtu katika uso wa nchi au dunia itashindwa?

si kilawakati system inataka jambo moja kwa pamoja,kuna wakati wanafarakana pia.
 
Yeye ndie Mbunge pekee aliyeingia bungeni kwa aina yake na hayumbishwi na upepo wa namna yoyote neno moja kwake nalo ni hili MUNGU anayemtumikia azidi kumlinda na ampe maisha marefu ili siku atakapokuja kupumzika kwenye siasa na dini asimulie mambo aliyoyatenda nyakati hizo lizokuwa kijana kwa watoto wa watoto wake pia ashuhudie na vizazi vijavyo kwamba yeye katka utawala wake alisimamia haki na hakuwa mtu wa kuyumbishwa yumbishwa kwenye misimamo yake na ndie mtu pekee aliyejitoa muhanga kutetea watanzania gwajima Mungu akuweke
๐Ÿ™
๐Ÿ™
๐Ÿ™
๐Ÿ™
Huyu kibwetere ametetea Watanzania gani??
 
Nimetafisirika vibaya basi, mimi nilihitaji JF itoe ufafanuzi kwa kujibu tuhuma hizo na si kufuta! Here we dare to openly talk.
Sasa wao ndio wamefuta na mfumo wao wa kufuta unaacha quoted post kuendelea kuonekana.

Inabidi post ikifutwa, ifutike kote automatically. Sijui hili jambo hawajaligundua na kulifanyia kazi..
 
Uhenda huko sahihi.

Ni kama vile system ingetaka kumwondoa Lissu, angeondoka taratibu na ugonjwa wa pressure! Na tusisingizie vile vijamaa vilivyopiga risasi zaidi ya 18 wakakosa target eti vimetumwa na system!
Sasa hivyo vijamaa vinalindwa na nani miaka yote hiyo?
 
Zile za jana ni mbwembwe tu. Hivi unadhani system ikitaka kufuta mtu katika uso wa nchi au dunia itashindwa?
Mleta mada ni mpuuzi, yaani system itake kukufuta ishindwe! So ibaki na mbinu moja tu ya kiti na mike
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom