Askofu Gwajima usitumie viti vya ukumbi wa mahojiano

Askofu Gwajima usitumie viti vya ukumbi wa mahojiano

Nilidhani wanaoamini miujiza hawadhuriki na chochote.
 
Habari za asubuhi,

Napenda kumpongeza Askofu Gwajima kwa kupiga chenga ya kisigino pale alipokwepa kutumia kiti alicho wekewa. Napenda kumshauri yafuatayo atakapokwenda kesho.

1. Asikae kwenye viti vya pale mapokezi ikiwezekana asimame nje mpaka aje kuitwa.

2. Viti atakavyovikuta pembeni asiviamini kama vipi aje na chakwake, kuhusu microphone achukue ya mjumbe mwingine na aiweke kitambaa chenye unyevu.

3. Asishikane mkono na mtu wala asikaribiane na mtu.
Mkuu Gwajiboy ni mdogo sana katika nchi hii, kama unavyosema nadhani huelewi na hutoelewa. Achana na system ya nchi kama ikihitaji usiwepo kwa maslahi mapana ya nchi. Mfano alikuwepo mkuu wa kitengo mstaafu alisogezwa itakuwa tapeli anayetumia neno la mungu kuwaibia waumini wake?
 
Brother tulia hujui unalolisema. System inaweza isiwe imara kwenye mambo mengine ila si mambo kama hayo.

Yule alifanya vile jana kwa ajili ya kuwaondoa wale watu mchezoni, alitaka kuwa-win kabla ya yote na ndiyo maana akaingia akiwa na confidence ya juu akitaka abadilishiwe kiti na kipaza sauti.

Angalia alivyofika kitu cha kwanza anakaa kwa kukunja 4 ni wazi alitaka kuwaondoa mchezoni. Huwezi kuitwa kwenye kamati ya maadili wategemee uje na ile confidence na tena uchore 4 mbele yao.
Yap! Ule ulikuwa mkakati wake wa kuwashusha wajumbe kisaikolojia. Nakuhakikishia kuwa kwa hali ile kila mwenye swali lake aliliona halina maana. ... Psychological tool for psychologic warfare.
 
System wanna be mnajimwambafai ujinga tu kwenye comments, mngekuwa wa maana tusingekuwa tunaibiwa rasilimali zetu mchana kweupe na kusingekuwa na ubadhirifu wa ajabu unaotokea nchi hii, you are a failure if this nationa acheni kuanika akili zenu za kipuuzi mnajitia aibu.

ZZK tu anawahenyesha, Huwa mnacollable nae, kuna muda mnageukana mnaanza kumuwinda mmemshindwa hadi leo, eti system ikikutaka haishindwi nyenyenye! 😀

System ni watu kuna mistakes na failures vile vile, movies zilizoeditiwa zinawadanganya sana System MF's wannabe!
 
Lissu kawa blacklisted, hawezi kupata msaada serikalini, bungeni wala mahakamani.

Wazungu zaidi ya kutoa hifadhi sidhani kama kuna kitu cha ziada watatoa. Itakuwa vile vile kama Kambona, utakaa huko huko mpaka unakufa basi.

Na kibaya zaidi huko nje alhakuna anayekujua kwahiyo huwezi kupata heshima kama nyumbani wanakokujua vizuri.
Dah
 
Sasa wao ndio wamefuta na mfumo wao wa kufuta unaacha quoted post kuendelea kuonekana.

Inabidi post ikifutwa, ifutike kote automatically. Sijui hili jambo hawajaligundua na kulifanyia kazi..
Yeah maana ukifuta origin post halafu ikaendelea kuonekana kwa aliye-quote maana ya kufuta haipo tena hapo.
JF inapaswa kufanya marekebisho.
 
Brother tulia hujui unalolisema. System inaweza isiwe imara kwenye mambo mengine ila si mambo kama hayo.

Yule alifanya vile jana kwa ajili ya kuwaondoa wale watu mchezoni, alitaka kuwa-win kabla ya yote na ndiyo maana akaingia akiwa na confidence ya juu akitaka abadilishiwe kiti na kipaza sauti.

Angalia alivyofika kitu cha kwanza anakaa kwa kukunja 4 ni wazi alitaka kuwaondoa mchezoni. Huwezi kuitwa kwenye kamati ya maadili wategemee uje na ile confidence na tena uchore 4 mbele yao.
Yategemea na aina ya mtu. Kama maisha yako hayana mbinu nyingine, utaomba msamaha kabla ya mahojiano: Umuonavyo Gwajima na kipaji chake cha hotuba, kweli anaweza kukosa confidence?
 
Habari za asubuhi,

Napenda kumpongeza Askofu Gwajima kwa kupiga chenga ya kisigino pale alipokwepa kutumia kiti alicho wekewa. Napenda kumshauri yafuatayo atakapokwenda kesho.

1. Asikae kwenye viti vya pale mapokezi ikiwezekana asimame nje mpaka aje kuitwa.

2. Viti atakavyovikuta pembeni asiviamini kama vipi aje na chakwake, kuhusu microphone achukue ya mjumbe mwingine na aiweke kitambaa chenye unyevu.

3. Asishikane mkono na mtu wala asikaribiane na mtu.
Gwajima ni msomi au anakipaji.
Amefanya vile kwa makusudi. Kitendo kile kimemfanya yeye awezekuwa control wawo.
Tutake command. Kujenga confidence juu yao na kuwatia woga au wasiwasi kuwa tuna deal na mtu gani.
Kuwatoa kwenye msitari.
Sidhani kama alikuwa anahofia kufanyiwa kitu.
 
Squard watabuni njia nyingine mbali na maiki na kiti.
 
Sitaki kuzungumza majaribio ya mauaji kwa watu ambao wako hai nitakuwa nakosea Mungu wangu pia.

Ila kaa ukijua "System ikitaka, rudia kusoma IKITAKA haishindwi.

Unakwepa kuzungumzia walionusurika(failed mission), unataka waliokufa tu ili ujiridhishe kuwa hiyo unayoita system haishindwi..!!
 
Habari za asubuhi,

Napenda kumpongeza Askofu Gwajima kwa kupiga chenga ya kisigino pale alipokwepa kutumia kiti alicho wekewa. Napenda kumshauri yafuatayo atakapokwenda kesho.

1. Asikae kwenye viti vya pale mapokezi ikiwezekana asimame nje mpaka aje kuitwa.

2. Viti atakavyovikuta pembeni asiviamini kama vipi aje na chakwake, kuhusu microphone achukue ya mjumbe mwingine na aiweke kitambaa chenye unyevu.

3. Asishikane mkono na mtu wala asikaribiane na mtu.
Kwa Taarifa yenu Kazi imeshamalizwa Jana na ya nyongeza leo au Kesho.

Naanza Countdown yangu ya ama Siku 90 au Miezi Sita tu ijayo Kudadadeki.
 
Ndege mjanja, hunaswa kwenye tundu bovu...
 
Back
Top Bottom