Askofu Gwajima usitumie viti vya ukumbi wa mahojiano

Askofu Gwajima usitumie viti vya ukumbi wa mahojiano

Brother tulia hujui unalolisema. System inaweza isiwe imara kwenye mambo mengine ila si mambo kama hayo.

Yule alifanya vile jana kwa ajili ya kuwaondoa wale watu mchezoni, alitaka kuwa-win kabla ya yote na ndiyo maana akaingia akiwa na confidence ya juu akitaka abadilishiwe kiti na kipaza sauti.

Angalia alivyofika kitu cha kwanza anakaa kwa kukunja 4 ni wazi alitaka kuwaondoa mchezoni. Huwezi kuitwa kwenye kamati ya maadili wategemee uje na ile confidence na tena uchore 4 mbele yao.
Aliwadharau kupita kiasi cha kawaida.

Gwajima ni mtu mzito.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Habari za asubuhi,

Napenda kumpongeza Askofu Gwajima kwa kupiga chenga ya kisigino pale alipokwepa kutumia kiti alicho wekewa. Napenda kumshauri yafuatayo atakapokwenda kesho.

1. Asikae kwenye viti vya pale mapokezi ikiwezekana asimame nje mpaka aje kuitwa.

2. Viti atakavyovikuta pembeni asiviamini kama vipi aje na chakwake, kuhusu microphone achukue ya mjumbe mwingine na aiweke kitambaa chenye unyevu.

3. Asishikane mkono na mtu wala asikaribiane na mtu.
Zile zilikuwa ni mbwembwe tu,wasiyoJuLiKaNa Kama wanahitaji uhai wake ni issue ndogo Sana kwao.
 
. Si kila mtu anabebwa kikondoo!. Mfano iko mingi. Tena sitaki kuyoangea haya mambo. Wewe ishia hapa hapa. Kama wewe huna ufahamu, usjiweke kuwa ni rula ya dunia. Uelewa wako unaishia hapa. Usinijibu kwa sababu ninajua utakachokuja nacho. Sitaki dhambi.
Povu nyingiiii! Content zero.
 
Huyu hapa.
 
Habari za asubuhi,

Napenda kumpongeza Askofu Gwajima kwa kupiga chenga ya kisigino pale alipokwepa kutumia kiti alicho wekewa. Napenda kumshauri yafuatayo atakapokwenda kesho.

1. Asikae kwenye viti vya pale mapokezi ikiwezekana asimame nje mpaka aje kuitwa.

2. Viti atakavyovikuta pembeni asiviamini kama vipi aje na chakwake, kuhusu microphone achukue ya mjumbe mwingine na aiweke kitambaa chenye unyevu.

3. Asishikane mkono na mtu wala asikaribiane na mtu.
Umeshauri vizur, bila hivyo corona itamnyonyoa!
 
Mtu anayeamini kuwa Mungu yuko upande wake, hawezi kuogopa kiti na microphone! Hata ukimuuliza alikuwa anaogopa nini atakwambia vitu “anavyodhani” vingeweza kuwa vimewekwa kumdhuru. Nilidhani anaweza kumtegemea Mungu asidhurike!!

Zaidi sana nawaza kwanini afikirie kudhuriwa - je anajua kuwa kuna watu hudhuriwa kwa namna ile?? Au alifahamu kuwa alitaka kudhuriwa?
 
Corona inaambukizwa kwa hewa nani mpuuzi atakaa chumba kimoja tena kwenye AC akijua kuna kitu kimepandikizwa Covid
Umeona eh! Kuna watu wengi tunaishi nao hawana akili nzuri za kutosha. Ni kuvumiliana tu?!
 
Zile za jana ni mbwembwe tu. Hivi unadhani system ikitaka kufuta mtu katika uso wa nchi au dunia itashindwa?


Ndiyo nini hiyo?

Huwa inawekwa na nani kwaajili ya kina nani?

Je nguvu hiyo hiyo inaweza kutumika kutuondolea umaskini ulokithiri nchini?
 
Kwa Lissu Magufuli alitamani amtafune aliyefelisha deal

Fidel castro wa cuba alikoswa mara ngapi na marekani????
Sijajua swali lako limelenga tumzungumzie Fidel castro, muhispania na mtoto wa nje aliezaliwa 13/8/1926, ambaye alisha kuwa adui wa Marekani, na kufanyiwa operation mbalimbali na Marekani,

Mfano wa operation ni ile ya Mongoose, KWa kupewa sigara iliyo jaa vilipuzi ,achilia mbali mbinu zingine za kufanya ndevu zake zianguke Ili punguza heshima yake n.k
Sasa sijui wataka mlinganisha Gwajima na Huyu mwamba ,ACHA utani,kabisa

Na Kama sivyo funguka tujadili,
 
Kwa Lissu Magufuli alitamani amtafune aliyefelisha deal

Fidel castro wa cuba alikoswa mara ngapi na marekani????
Sijajua swali lako limelenga tumzungumzie Fidel castro, muhispania na mtoto wa nje aliezaliwa 13/8/1983, ambaye alisha kuwa adui wa Marekani, na kufanyiwa operation mbalimbali na Marekani,

Mfano wa operation ni ile ya Mongoose, KWa kupewa sigara iliyo jaa vilipuzi ,achilia mbali mbinu zingine za kufanya ndevu zake zianguke Ili punguza heshima yake n.k
Sasa sijui wataka mlinganisha Gwajima na Huyu mwamba ,ACHA utani,kabisa

Na Kama sivyo funguka tujadili
 
Back
Top Bottom