Jasusi Mbobezi
Senior Member
- May 17, 2020
- 195
- 851
Yes, kesho wamemwomba tena baada ya kumkoja jana wamedai bado mahojiano hayajakamilikaKwani anarudi tenaa?
Hizi ni tuhuma nzito ! JF do the needfulNB. JamiiForums wanazingua sana, mwezi wapili mwanzoni niliandika uzi kuwatahadharisha viongozi wa serikali kuchukua tahadhari yaani wasile sehemu moja wala kulala sehemu 1 wala kuwa na kijiwe kimoja wasije wakategewa sumu na kusingizia COVID, JF walifuta uzi as if wanahusika na mbinu hizo chafu.
Inaweza kushindwa si unaona jana imefeliZile za jana ni MBWEMBWE tu. Hivi unadhani SYSTEM ikitaka kufuta mtu katika uso wa NCHI au DUNIA itashindwa?
Edward Snow, CIA wanamtafuta kwa usongo sana.Zile za jana ni MBWEMBWE tu. Hivi unadhani SYSTEM ikitaka kufuta mtu katika uso wa NCHI au DUNIA itashindwa?
Wameshafuta hiyo aya niliyo watuhumu ndo ujue hili jukwaa limegeuka sikuhiziHizi ni tuhuma nzito ! JF do the needful
Brother tulia hujui unalolisema. System inaweza isiwe imara kwenye mambo mengine ila si mambo kama hayo.Inaweza kushindwa si unaona jana imefeli
Aisee!Wameshafuta hiyo aya niliyo watuhumu ndo ujue hili jukwaa limegeuka sikuhizi
Unaamini vipi kama jamaa anatumiwa na CIA kwa adui yake mkubwa Urusi.Edward Snow, CIA wanamtafuta kwa usongo sana.
ilishindwa kwa Lissu. Mungu akisema hapana ni hapana mbinguni na dunianiZile za jana ni MBWEMBWE tu. Hivi unadhani SYSTEM ikitaka kufuta mtu katika uso wa NCHI au DUNIA itashindwa?
Kabisa. Wamefutwa manguli nao kwenye system humo humo,manguli wa ushushushu. Kufutwa ukipangiliwa ni muda tu wala hakuna mjanjaZile za jana ni MBWEMBWE tu. Hivi unadhani SYSTEM ikitaka kufuta mtu katika uso wa NCHI au DUNIA itashindwa?
System ya bongo au ya kule Urusi?Zile za jana ni MBWEMBWE tu. Hivi unadhani SYSTEM ikitaka kufuta mtu katika uso wa NCHI au DUNIA itashindwa?
Sitaki kuzungumza majaribio ya mauaji kwa watu ambao wako hai nitakuwa nakosea Mungu wangu pia.ilishindwa kwa Lissu. Mungu akisema hapana ni hapana mbinguni na duniani
System ya Nchi yoyote ile hata Haiti ikikutaka kama uko mikononi mwao unaangukaSystem ya bongo au ya kule Urusi?
Ingekuwa hewa basi kwenye daladala na mabasi ya abirua ingeenea sana. Corona inaambukizwa kwa njia ya maji maji kutoka kwa mtu mwenye ugonjwa kupitia pua na mdomo.Corona inaambukizwa kwa hewa nani mpuuzi atakaa chumba kimoja tena kwenye AC akijua kuna kitu kimepandikizwa Covid