The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Mwenzenu analikataa na kulizungumzia jambo hili katika perspective ya kibiblia/kiroho...Asee unawezekana kuna kitu anakiona. Ingekuwa vyema kama angeenda ndani zaidi kueleza madhara kwa binadamu hasa ni yapi na nini kifanyike kama mbadara wa chanjo.
Yule muuaji wala hakusakamwa alikuwa akisifiwa tu,ni kwa sababu alikuwa mkristo mwenzao.Do you believe that? No coincidence to the powers ruling the world. And to the contribution of members of various faith. Don't have that perspective. Tz ni kubwa kuliko rais.
Please speak out. I am eagerly awaiting your testimony. Na kama haujala bado, ongea halafu uje nyumbani nikupikie kuku wa kienyeji asiyewekwa majiWe had a nice presentation on COVID-19 and CovVax today with some medical specialist from US. Nikiri kuwa, nimekua nikihimiza watu kukubali na kupokea Chanjo but as from now, sitofanya hivyo tena. I have just chosen to be a dumb Dr. I know it's against hypocratic oath that I pronounced to keep throughout my carrier but for the love of Humanity I prefer to shut up my mouth. Mwenyezi Mungu atuepushe na mabalaa.
Mbona mwenyekiti cdm kamwita mkuu wa wilaya mjinga masaa machache baadaye katiba nguvuni? Wakati jambo analolipigania lipo na linaungwa mkono na wengi?mkishindwa kutoa maamuzi kwa matusi kwa viongozi wa kitaifa basi arudishe kadi yetuHaya yanachangiwa na laana ya kumuweka Mbowe Mahabusu na pia ni matokeo ya laana ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.
Lazima tu MATAGA watavurugana huko mbele.
Gwajima kamatia hapo hapo.
Msilojua ni kuwa, watu kama Gwajima walikuwa loyal kwa mtu(Magu) na si chama wala kiongozi wa chama au serikali na hawa bado wako wengi tu katika hii serikali ya Mama sema Gwajima kaamua kutojificha.
Inawezekana hata huu ubunge hana shida nao na ndio maana anafunguka kiasi hiki.
CCM mnavuna mlichopanda, hivyo msilalamike-ukipanda bangi, huwezi vuna mahindi.
All in all, hapo katuhumia uhuru wake wa kutoa maoni na kumuita mtu mjinga sio tusi.
🤣🤣🤣🤣 Uhuru wa kikatiba. Gwajima hana shida na UbungeHaya yanachangiwa na laana ya kumuweka Mbowe Mahabusu na pia ni matokeo ya laana ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.
Lazima tu MATAGA watavurugana huko mbele.
Gwajima kamatia hapo hapo.
Msilojua ni kuwa, watu kama Gwajima walikuwa loyal kwa mtu(Magu) na si chama wala kiongozi wa chama au serikali na hawa bado wako wengi tu katika hii serikali ya Mama sema Gwajima kaamua kutojificha.
Inawezekana hata huu ubunge hana shida nao na ndio maana anafunguka kiasi hiki.
CCM mnavuna mlichopanda, hivyo msilalamike-ukipanda bangi, huwezi vuna mahindi.
All in all, hapo katuhumia uhuru wake wa kutoa maoni na kumuita mtu mjinga sio tusi.