#COVID19 Askofu Gwajima: Viongozi na Wananchi wanaohimiza Chanjo ya COVID-19 ni wajinga na akili zao zimeenda likizo

#COVID19 Askofu Gwajima: Viongozi na Wananchi wanaohimiza Chanjo ya COVID-19 ni wajinga na akili zao zimeenda likizo

Mbunge wa Kawe Josephat Gwajima ameendelea kusisitiza kuwa viongozi na wananchi wanaohimiza watu kuchanjwa chanjo dhidi ya Covid19 ni wajinga na akili zao zimeenda likizo kwa sababu ya kile alichokiita chanjo hizo kuwa na madhara kwa binadamu na hazizuii maambukizi ya Corona

---
Nahisi kutakuwa kuna sababu nyingine wala si sababu ya chanjo,

kama haya ni ya kweli, Rais awe makini na huyu mtu
View attachment 1873787
Anazidi kushindilia

Anasema "ninaongea na wanafamilia"
 
Akikutajia hizo hoja, naomba uni-tag tafadhali
Ajabu sasa nenda YouTube ukasome hoja za wachangiaji ... utafikiri wameandaliwa na hoja zote ni za kumsifu mpwakwa mafuta wa bwana na kusifia misimamo feki ya homeboy wangu Jiwe(RIP)!
1627635004121.png
 
CCM wameparaganyika - Gwajima ni zao lao baada ya wizi wa kura kubarikiwa pale Kawe. haya hangaikeni naye huwenda ana hoja ya msingi, unaweza chanja ukajikuta baada ya miaka 10 unageuka zombi - teh teh teh
 
Ajabu sasa nenda YouTube ukasome hoja za wachangiaji ... utafikiri wameandaliwa na hoja zote ni za kumsifu mpwakwa mafuta wa bwana na kusifia misimamo feki ya homeboy wangu Jiwe(RIP)!
View attachment 1873843
Yaani ukienda YouTube na Instagram ndipo utakapojua Tanzania sio ina binadamu bali ina viumbe wenye mikono na miguu miwili, macho na masikio mawali, na pua kama walivyo wanyama wengine wote wasio hata kindergarten classes!
 
Hapo kuna makundi mawili,,wanaopinga chanjo za mRNa na wanaopinga chanjo zote kwasababu zimeharakishwa
 
Mmeshajiuliza haya MMASWALI1)
Uganda na KENYA WALICHANJA WATU WENGI SANA KWANINI MPAKA.LEO WANAZIKA FWATILIENI

2)UMESHAJUA KWANN MYSEVENI AMEPELEKA WATU LOCKDOWN WAKATI WANA CHANJO
3)UMESHAWAZA KWA NINI HIZI CHANJO KILA.MTU ANATAKA YAKE
NA KUNA NCHI USIPOPIGWA WALIOTAKA HUINGII MPAKA UCHANJWE HATA KAMA UNA J&J KUMI!!?
4)USHAJIULUZA HIZI CHANJO UNAZOCHANJWA BADO UKIENDA BAADHIYANCHI AWAELEWI UNACHANJWA TENA......
5)TULIZOEA KUONA WATOTO WANAKULA CHANJO HIZI ZA UKUBWANI ZINANINI!!????
6)UMEJIULIZQ KWANINI NCHI KAMA.UFARANSA INADIRIKI KUSEMA HUPATI HUDUMA BILA CHANJO
7)USHAJIULIZA KWANINI TANZANIA EANATUMIA AINA TOFAUTI NA UK NA MAREKANI ETC
8)USHAJIULIZA KWANINI MAREKAN WANAENDELEA KUFA HUKU WAKIWA NA CHANJO ZA KUTOSHAA!!?
9)KWANINI INDIA WAKUU WA CHANJO WAMETESEKA NA VIFO PAMOJA NA KULAMBA CHANJOOOOOO!??
9)USHAJIULIZA KWANINI KUNA NCHI ZILE CHANJO ZILIPOFIKA zilichunguzwaa na kurudishwa zilipotoka!?zilikuwa na niniii!!??UNAHISI HAZIKUWA NA VIWANGO!!!?
10)WANASEMA ZINATAKIWA ZIWE WE MEISHA NDAN YA MDA KADHAA USHAWAHI KUJIULIZA ZILIZO EXP zinaeda wapi.....

admin niwekee wimbooo huuu wa
nkwaaabuduuu nakuinuaaaaaa wewe n chanzoo Cha uhaii wanguu
nakusifuuu nakuabuduuu eeh Yes were n chanzo Cha uzima wangu..nakuinuaaaaaa nakuinuaa wewe n chanzo Cha uzima wangu



Ninajuaa kushiba na KUONA njaa wewe Badooo Mungu

Achaa gizaa naloo.litandee nitakuabudu wewe Badooo Mungu

Hataaaaa upepo naoo uvumee upite ktk yotee wewee Badoo n Mungu

MUNGU ATUTANGULIE ATUPE MWISHO MWEMA NDIO CHANZO CHA UHAI WANGU NA WAKO
 
We had a nice presentation on COVID-19 and CovVax today with some medical specialist from US. Nikiri kuwa, nimekua nikihimiza watu kukubali na kupokea Chanjo but as from now, sitofanya hivyo tena. I have just chosen to be a dumb Dr. I know it's against hypocratic oath that I pronounced to keep throughout my carrier but for the love of Humanity I prefer to shut up my mouth. Mwenyezi Mungu atuepushe na mabalaa.
Mungu atakuja kuihitaji damu yako mikononi mwake. Waokoe watu pale inapowezekana.
 
Mbunge wa Kawe Josephat Gwajima ameendelea kusisitiza kuwa viongozi na wananchi wanaohimiza watu kuchanjwa chanjo dhidi ya Covid19 ni wajinga na akili zao zimeenda likizo kwa sababu ya kile alichokiita chanjo hizo kuwa na madhara kwa binadamu na hazizuii maambukizi ya Corona

---
Nahisi kutakuwa kuna sababu nyingine wala si sababu ya chanjo,

kama haya ni ya kweli, Rais awe makini na huyu mtu
View attachment 1873787
Ngebe mie nahisi ww ni vyatu zombie! Kwani kakosea nini Askofu Gwajima?
 
Mbunge wa Kawe Josephat Gwajima ameendelea kusisitiza kuwa viongozi na wananchi wanaohimiza watu kuchanjwa chanjo dhidi ya Covid19 ni wajinga na akili zao zimeenda likizo kwa sababu ya kile alichokiita chanjo hizo kuwa na madhara kwa binadamu na hazizuii maambukizi ya Corona

---
Nahisi kutakuwa kuna sababu nyingine wala si sababu ya chanjo,

kama haya ni ya kweli, Rais awe makini na huyu mtu
View attachment 1873787
Gwajima kanyagia hapo hapo hakutishi mtu yoyote nchi hii,wanabweka bweka tu lakini wewe una watu. Hakugusi umbwa yoyote.
 
Haya yanachangiwa na laana ya kumuweka Mbowe Mahabusu na pia ni matokeo ya laana ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.

Lazima tu MATAGA watavurugana huko mbele.

Gwajima kamatia hapo hapo.

Msilojua ni kuwa, watu kama Gwajima walikuwa loyal kwa mtu(Magu) na si chama wala kiongozi wa chama au serikali na hawa bado wako wengi tu katika hii serikali ya Mama sema Gwajima kaamua kutojificha.

Inawezekana hata huu ubunge hana shida nao na ndio maana anafunguka kiasi hiki.

CCM mnavuna mlichopanda, hivyo msilalamike-ukipanda bangi, huwezi vuna mahindi.

All in all, hapo katuhumia uhuru wake wa kutoa maoni na kumuita mtu mjinga sio tusi.
Hata yule mkuu wa mkoa aliyetumbuliwa naskia alifurahi sana coz alisema asingeweza kufanya kazi na awamu ya sita kwa sababu alikuwa loyal kwa jiwe
 
Courage ipi unayoisema?!

Yaani tatizo unaloona ni yeye kushughulikiwa na watawala badala ya ujinga anaowajaza watu?!

Issue hapa sio yeye, bali jamii !!

Lau kama haya angeongelea nyumbani kwake na familia yake, no one would care!! Juzi tu hapa, mdogo wangu aliibuka from nowhere na kunitumia message kwamba hawezi kuchanjwa, na yupo tayari hata kuacha kazi kama itakuwa lazima kwa watumishi kwa sababu chanjo ina madhara!!

Ushahidi alionipa kuhusu madai yake ni huu hapa...

View attachment 1873818
Hapo juu nikabaki kucheka tu kwa masikitiko!

Na kwa kuonesha dogo yupo serious, leo tena akanitumia message...

View attachment 1873825

Kwahiyo kujaza watu ujinga unaoweza kusababisha madhara kwa jamii KATU hiyo huwezi kuita courage kwa sababu, yeye ni rahisi zaidi kunusurika na hili janga kuliko wale anaowajaza ujinga!!!

Hiyo haiwezi kuwa courage at all coz' it's not about him but about the community which's full of ignorant people!!!

South Korea kuna Mchungaji mmoja aina ya akina Gwajima!! Google mwenyewe "Pastor Lee Man-hee of Shincheonji Church of Jesus" na utapata habari zake!!!

Huyu nae aliwajaza wafuasi wake ujinga, kuja kushtuka, 36% ya Covid-19 Infected People in South Korea walikuwa wafuasi wake, hadi serikali ikamburuza mahakamani, na mwenyewe kuamua kuomba msamaha!!

Askofu chidi katika ubora wake wa chokochoko[emoji16][emoji16]
Mbna mnateseka Sana wazee , yeye kasema chanjo ya Jonson Jonson ni miyeyusho , tofaut na chanzo zingine wanazopewa Wazungu ,....!! Akadai mje mtudhibitishie ubora wa hyo chanjo , na sio kuchanja watu alaf mnawasainisha fomu ya kujitoa endapo litawapata la kuwapata...badala ya kujibu hoja mnapiga kelele humu , pumbavu kabisa
 
Yaani ukienda YouTube na Instagram ndipo utakapojua Tanzania sio ina binadamu bali ina viumbe wenye mikono na miguu miwili, macho na masikio mawali, na pua kama walivyo wanyama wengine wote wasio hata kindergarten classes!
Kuchanja ni hiari na imani.

Wewe kama unaamini basi usimbeze asiye amini.
Kila mtu afwate Imani yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM wameparaganyika - Gwajima ni zao lao baada ya wizi wa kura kubarikiwa pale Kawe. haya hangaikeni naye huwenda ana hoja ya msingi, unaweza chanja ukajikuta baada ya miaka 10 unageuka zombi - teh teh teh
Anatoa mtazamo wake kwani shida iko wapi?
 
Back
Top Bottom