#COVID19 Askofu Gwajima: Viongozi na Wananchi wanaohimiza Chanjo ya COVID-19 ni wajinga na akili zao zimeenda likizo

#COVID19 Askofu Gwajima: Viongozi na Wananchi wanaohimiza Chanjo ya COVID-19 ni wajinga na akili zao zimeenda likizo

Ni uhuru wa maoni
Na ndio raha ya Tanzania
Uhuru wa maoni kutukana viongozi tena wa chama chake,nitashangaa kama viongozi wake watamwacha bila kumchukulia hatua yoyote,Huyu Sukuma gang kweli alikuwa muumini wa Mwenda zake.
 
ukipanda bangi, huwezi vuna mahindi.
ukipanda ganja huwezi vuna mchicha, sisi tulilaani sana Gwajima kupewa ubunge wa kawe, infact bora hata wangempa Benjamin Sitta ila Mwendakuzimu akaamua kumpa huyu kichaa wa sukuma gang. Kwanza huyu lofa hakuwa CCM tangu mwanzo anajulikana misimamo yake ya kisiasa. Namshauri raisi na CCM wamvue uanachama hatuwezi kuwa na watu wasio na adabu kiasi hiki.
 
Kukosa ubunge kumewamaliza akili kabisa

Gwajima kaupata ubunge, na yeye akili kapeleka wapi? Majizi ya kura bana. Huyo Gwajima anawafungukia tu maana anajua mko madarakani kwa wizi wa kura, na sio kwa kura halali za wananchi. Hivyo kinachoendelea na show ya majizi ya kura.
 
Gwajima kaupata ubunge, na yeye akili kapeleka wapi? Majizi ya kura bana. Huyo Gwajima anawafungukia tu maana anajua mko madarakani kwa wizi wa kura, na sio kwa kura halali za wananchi. Hivyo kinachoendelea na show ya majizi ya kura.
yaniwewe ndiyo hamnazokabisa nani kaiba kura kwanini hamkumshitaki kuwa kawaibia? acheni ujinga tumieni akili
 
yaniwewe ndiyo hamnazokabisa nani kaiba kura kwanini hamkumshitaki kuwa kawaibia? acheni ujinga tumieni akili

Tukashutaki kwenye hizi mahakama zilizokuwa zinaagizwa na dhalimu kubambikia watu hukumu. Huo wizi tumeuona kwa macho yetu na wala hatujahadithiwa.
 
Tukashutaki kwenye hizi mahakama zilizokuwa zinaagizwa na dhalimu kubambikia watu hukumu. Huo wizi tumeuona kwa macho yetu na wala hatujahadithiwa.
kama mlishindwa kushitaki basi mnatakiwa mkae kimya maana hamuna ushahidi
 
Siku akiupata watahakikisha hawamtibu ili afe
 
Haya yanachangiwa na laana ya kumuweka Mbowe Mahabusu na pia ni matokeo ya laana ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.

Lazima tu MATAGA watavurugana huko mbele....
Umemsahau Chalamila aliyehimiza wananchi wake na mabango hata ya matusi haikuwa kauli ya bahati mbaya ile
 
Haya yanachangiwa na laana ya kumuweka Mbowe Mahabusu na pia ni matokeo ya laana ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.

Lazima tu MATAGA watavurugana huko mbele.....
Catabolism is high under high age. CCM is old now. Serious diseases such as diabetes, pressure, poor sight, etc ; seek refuge in it.
 
MLIOSOMA UBU GO PRIMARY/MBUYUNI PRIMARY KAZIKWENU WALE ST JAMIIFORUMS TUENDELEE
Happy HTFT 2/1&3+

Screenshot_20210730-140135.png


Screenshot_20210730-140218.png


Screenshot_20210730-140213.png


Screenshot_20210730-140239.png


Screenshot_20210730-140351.png


Screenshot_20210730-140321.png


Screenshot_20210730-140259.png


Screenshot_20210730-140400.png


Screenshot_20210730-140420.png


Screenshot_20210730-140432.png
 
Haya yanachangiwa na laana ya kumuweka Mbowe Mahabusu na pia ni matokeo ya laana ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.

Lazima tu MATAGA watavurugana huko mbele...
Kwa hiyo demokrasia ni kukaa kimya kwenye mambo yanayoopingana utashi wako?
 
Nimeelewa 14 intervals hapo kama limalaria linakukumbuka Kati utameza TU vidonge hakuna jinsi
 
Back
Top Bottom