Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na wewe ni mmoja wa kondoo mpendwa wa Askofu Rashidi.Gwajima hujibu jumapili Tu kwenye Ibada zake baasi , hayo ni maneno ya mashoga wasio na akili wamejitejgenezea accnt fake , ukitaka neno la gwajima njoo jumapili kwenye kanisa la ufufuo na uzima , baada ya hapo mpak jumapili tena ...!!!
Kwahiyo una maana yule wa majalalani nae anavuta tu kasi?Haya yanachangiwa na laana ya kumuweka Mbowe Mahabusu na pia ni matokeo ya laana ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.
Lazima tu MATAGA watavurugana huko mbele.
Gwajima kamatia hapo hapo.
Msilojua ni kuwa, watu kama Gwajima walikuwa loyal kwa mtu(Magu) na si chama wala kiongozi wa chama au serikali na hawa bado wako wengi tu katika hii serikali ya Mama sema Gwajima kaamua kutojificha.
Inawezekana hata huu ubunge hana shida nao na ndio maana anafunguka kiasi hiki.
Maoni kwa upande gani? Maana wengine ndiyo hivyo tenaNi uhuru wa maoni
Na ndio raha ya Tanzania
Nahisi kutakua kuna sababu nyingine wala si sababu ya chanjo,
kama haya ni ya kweli, Rais awe makini na huyu mtu
View attachment 1873787
Mkuu ingie utube ,msikilize mwanzo mwisho utamuelewa Gwajima,na kasema watafiti ambao hawajala mlungula waje mezani wamjibu kwa hoja ,waliokula hela wasimjibu maana atawalipua [emoji3]Asee unawezekana kuna kitu anakiona. Ingekuwa vyema kama angeenda ndani zaidi kueleza madhara kwa binadamu hasa ni yapi na nini kifanyike kama mbadara wa chanjo.
Mjinga ni wewe kuamini maneno ya vyanzo udaku...Nahisi kutakua kuna sababu nyingine wala si sababu ya chanjo,
kama haya ni ya kweli, Rais awe makini na huyu mtu
View attachment 1873787
Kabisa!Gwajima hujibu jumapili Tu kwenye Ibada zake baasi , hayo ni maneno ya mashoga wasio na akili wamejitejgenezea accnt fake , ukitaka neno la gwajima njoo jumapili kwenye kanisa la ufufuo na uzima , baada ya hapo mpak jumapili tena ...!!!
Courage ipi unayoisema?!Huyu Askofu anaweza kuwa sahihi au anakosea ,lakini mimi naapreaciate watu wa namna hii,he has courage to rise a hand and speak his thoughts pamoja na hatari zozote au madhara anayoweza kupata KWA kushughulikiwa na watawala,he has qualities of a MAN
Kwanza hiyo sio acc yake.Hana la kuthibitisha gwajiuno, katolewa chambo tu na lile gang la mwendazake.
Hoja gani? ... hizo za kuchanjwa halafu mkaingizwa kwenye laptop halafu mnalipuliwa kwa 'remote'? 😅Kwani hoja zake anazozitoa ni kwanini msizijibu tu?
NTUMA YA GWAJIMA KUNA UTITIRI UNAMSAPOTI SUBIRINI MDAHaya yanachangiwa na laana ya kumuweka Mbowe Mahabusu na pia ni matokeo ya laana ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.
Lazima tu MATAGA watavurugana huko mbele.
Gwajima kamatia hapo hapo.
Msilojua ni kuwa, watu kama Gwajima walikuwa loyal kwa mtu(Magu) na si chama wala kiongozi wa chama au serikali na hawa bado wako wengi tu katika hii serikali ya Mama sema Gwajima kaamua kutojificha.
Inawezekana hata huu ubunge hana shida nao na ndio maana anafunguka kiasi hiki.
Nahisi kutakua kuna sababu nyingine wala si sababu ya chanjo,
kama haya ni ya kweli, Rais awe makini na huyu mtu
View attachment 1873787
Je ana akili timamu ?Mbunge wa Kawe Josephat Gwajima ameendelea kusisitiza kuwa viongozi na wananchi wanaohimiza watu kuchanjwa chanjo dhidi ya Covid19 ni wajinga na akili zao zimeenda likizo kwa sababu ya kile alichokiita chanjo hizo kuwa na madhara kwa binadamu na hazizuii maambukizi ya Corona
---
Nahisi kutakuwa kuna sababu nyingine wala si sababu ya chanjo,
kama haya ni ya kweli, Rais awe makini na huyu mtu
View attachment 1873787
Taja hoja zake 3 hapa!! Na tunaposema hoja, lazima ukumbuke hili ni suala la kisayansi kwahiyo natarajia kusikia hoja za kisayansi!!!Kwanza hiyo sio acc yake.
Pili jibuni hoja zake,kashawaambia umjibu kwa hoja sio kelele hizi.
Hoja zake ziko wazi
Akikutajia hizo hoja, naomba uni-tag tafadhaliHoja gani? ... hizo za kuchanjwa halafu mkaingizwa kwenye laptop halafu mnalipuliwa kwa 'remote'? 😅
... yaani hata nikiangalia movie ya 'science fiction' iliyotengenezwa kwa hoja za Gwajima nitaboreka vibaya maana ni 'COUNTERINTUITIVE' MWANZO MWISHO!
View attachment 1873829