johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima ambaye pia ni Mbunge wa Kawe amesema viongozi wa dini hawapingi chanjo ya Corona bali wanashangazwa kwa namna chanjo hiyo ilivyotafitiwa kwa muda mfupi sana
Askofu Gwajima amesema watakubali kupokea chanjo endapo patafanyika utafiti wa kutosha utakaobainisha chanjo hizo hazina madhara kwa binadamu
Askofu Gwajima alikuwa anahojiwa na Esther Kahumbi wa BBC
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
Maendeleo hayana vyama!
Askofu Gwajima amesema watakubali kupokea chanjo endapo patafanyika utafiti wa kutosha utakaobainisha chanjo hizo hazina madhara kwa binadamu
Askofu Gwajima alikuwa anahojiwa na Esther Kahumbi wa BBC
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
Maendeleo hayana vyama!